Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Puntland yatangaza hali ya hatari kutokana na ukame

    Puntland yatangaza hali ya hatari kutokana na ukame

    Dec 06, 2017 04:24

    Eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia limetangaza hali ya hatari kutokana na kushtadi ukame, huku likiiomba jamii ya kimataifa msaada wa chakula na maji.

  • AMISOM: Kupunguzwa wanajeshi wa AU Somalia kutakuwa na taathira hasi

    AMISOM: Kupunguzwa wanajeshi wa AU Somalia kutakuwa na taathira hasi

    Dec 04, 2017 23:43

    Kikosi cha Askari wa Kulinda Amani cha Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM kimeeleza wasi wasi wake kuhusiana na mpango wa kupunguza idadi ya wanajeshi wanaohudumu kwenye kikosi hicho.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512

    Idadi ya waliopoteza maisha katika hujuma ya kigaidi Somalia Oktoba yafika 512

    Dec 02, 2017 00:45

    Watu 512 sasa wamebainika kupoteza maisha katika miripuko miwili ya mabomu iliyojiri katika mkuu wa Somalia, Mogadishu mwezi Oktoba, imesema kamati ya kuchunguza hujuma hiyo.

  • Al-Shabaab yadai kuua askari kadhaa wa Somalia, akiwemo kamanda

    Al-Shabaab yadai kuua askari kadhaa wa Somalia, akiwemo kamanda

    Dec 03, 2017 23:09

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) linadai kuwa limeua askari kadhaa wa Jeshi la Ulinzi la Somalia SNA akiwemo kamanda wa ngazi za juu wa jeshi hilo.

  • Waziri wa Masuala ya Dini wa Somalia afutwa kazi

    Waziri wa Masuala ya Dini wa Somalia afutwa kazi

    Nov 26, 2017 10:33

    Hassan Ali Khayre, Waziri Mkuu wa Somalia amemfuta kazi Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo bila kutangaza sababu ya uamuzi wake huo.

  •  Wanamgambo wa al Shabab zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la Marekani Somalia

    Wanamgambo wa al Shabab zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la Marekani Somalia

    Nov 21, 2017 23:35

    Jeshi la Marekani limeeleza kuwa limeuwa wanamgambo wa kundi la al Shabab zaidi ya 100 katika shambulio la ndege za kivita za nchi hiyo dhidi ya kambi ya kundi hilo huko Somalia.

  • Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa

    Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa

    Nov 14, 2017 03:53

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Somaliland nchini Somalia wamejitokeza katika uchaguzi wa kumchagua rais wa tano wa eneo hilo, ambao unashuhudia ushindani mkali kati ya serikali na kambi ya upinzani.

  • Marekani imezidisha harakati zake za kijeshi nchini Somalia

    Marekani imezidisha harakati zake za kijeshi nchini Somalia

    Nov 13, 2017 04:40

    Kamandi ya jeshi la Marekani barani Afrika imetangaza kuwa nchi hiyo imeongeza kiwango cha harakati zake za kijeshi nchini Somalia.

  • Zaidi ya wakimbizi laki moja wamesharejea Somalia

    Zaidi ya wakimbizi laki moja wamesharejea Somalia

    Nov 11, 2017 04:14

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetangaza kuwa, zaidi ya wakimbizi laki moja wa Kisomali wamesharejea nchini kwao.

  • AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia licha ya kuendelea kukosekana uthabiti nchini humo

    AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia licha ya kuendelea kukosekana uthabiti nchini humo

    Nov 09, 2017 04:13

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umetangaza kuwa utaondoa askari 1,000 kutoka Somalia kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS