-
Waziri wa Masuala ya Dini wa Somalia afutwa kazi
Nov 26, 2017 10:33Hassan Ali Khayre, Waziri Mkuu wa Somalia amemfuta kazi Waziri wa Masuala ya Dini wa nchi hiyo bila kutangaza sababu ya uamuzi wake huo.
-
Wanamgambo wa al Shabab zaidi ya 100 wauawa katika shambulio la Marekani Somalia
Nov 21, 2017 23:35Jeshi la Marekani limeeleza kuwa limeuwa wanamgambo wa kundi la al Shabab zaidi ya 100 katika shambulio la ndege za kivita za nchi hiyo dhidi ya kambi ya kundi hilo huko Somalia.
-
Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa
Nov 14, 2017 03:53Mamia ya maelfu ya wananchi wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Somaliland nchini Somalia wamejitokeza katika uchaguzi wa kumchagua rais wa tano wa eneo hilo, ambao unashuhudia ushindani mkali kati ya serikali na kambi ya upinzani.
-
Marekani imezidisha harakati zake za kijeshi nchini Somalia
Nov 13, 2017 04:40Kamandi ya jeshi la Marekani barani Afrika imetangaza kuwa nchi hiyo imeongeza kiwango cha harakati zake za kijeshi nchini Somalia.
-
Zaidi ya wakimbizi laki moja wamesharejea Somalia
Nov 11, 2017 04:14Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetangaza kuwa, zaidi ya wakimbizi laki moja wa Kisomali wamesharejea nchini kwao.
-
AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia licha ya kuendelea kukosekana uthabiti nchini humo
Nov 09, 2017 04:13Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umetangaza kuwa utaondoa askari 1,000 kutoka Somalia kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia
Nov 08, 2017 11:56Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umetangaza kuwa utaondoa askari 1,000 kutoka Somalia hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
Jeshi la Somalia lakomboa maeneo muhimu yaliyokuwa chini ya al-Shabaab
Nov 05, 2017 11:36Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kukomboa ngome nyeti zilizokuwa chini ya makucha ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika maeneo ya Shabelle ya Chini na Kati.
-
Malengo ya hatua za kijeshi za Marekani nchini Somalia
Nov 04, 2017 23:43Kutokana na kushadidi mashambulizi ya kigaidi katika ardhi ya Somalia, ndege za kivita za Marekani kwa mara ya kwanza zimefanya mashambulizi dhidi ya ngome za makundi ya kigaidi katika nchi hiyo ya mashariki mwa Afrika.
-
Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia
Nov 01, 2017 04:51Kundi la kigaidi la al Shabab limeuteka mji wa Rassadi ulioko kusini mwa Somalia baada ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika kuondoka katika eneo hilo.