Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa

    Wananchi wa Somaliland washiriki uchaguzi wa rais, matokeo Ijumaa

    Nov 14, 2017 03:53

    Mamia ya maelfu ya wananchi wa eneo lenye mamlaka ya ndani la Somaliland nchini Somalia wamejitokeza katika uchaguzi wa kumchagua rais wa tano wa eneo hilo, ambao unashuhudia ushindani mkali kati ya serikali na kambi ya upinzani.

  • Marekani imezidisha harakati zake za kijeshi nchini Somalia

    Marekani imezidisha harakati zake za kijeshi nchini Somalia

    Nov 13, 2017 04:40

    Kamandi ya jeshi la Marekani barani Afrika imetangaza kuwa nchi hiyo imeongeza kiwango cha harakati zake za kijeshi nchini Somalia.

  • Zaidi ya wakimbizi laki moja wamesharejea Somalia

    Zaidi ya wakimbizi laki moja wamesharejea Somalia

    Nov 11, 2017 04:14

    Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limetangaza kuwa, zaidi ya wakimbizi laki moja wa Kisomali wamesharejea nchini kwao.

  • AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia licha ya kuendelea kukosekana uthabiti nchini humo

    AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia licha ya kuendelea kukosekana uthabiti nchini humo

    Nov 09, 2017 04:13

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umetangaza kuwa utaondoa askari 1,000 kutoka Somalia kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

  • AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia

    AMISOM kuondoa askari 1,000 nchini Somalia

    Nov 08, 2017 11:56

    Ujumbe wa Umoja wa Afrika nchini Somalia (AMISOM) umetangaza kuwa utaondoa askari 1,000 kutoka Somalia hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.

  • Jeshi la Somalia lakomboa maeneo muhimu yaliyokuwa chini ya al-Shabaab

    Jeshi la Somalia lakomboa maeneo muhimu yaliyokuwa chini ya al-Shabaab

    Nov 05, 2017 11:36

    Vikosi vya jeshi la Somalia vimefanikiwa kukomboa ngome nyeti zilizokuwa chini ya makucha ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika maeneo ya Shabelle ya Chini na Kati.

  • Malengo ya hatua za kijeshi za Marekani nchini Somalia

    Malengo ya hatua za kijeshi za Marekani nchini Somalia

    Nov 04, 2017 23:43

    Kutokana na kushadidi mashambulizi ya kigaidi katika ardhi ya Somalia, ndege za kivita za Marekani kwa mara ya kwanza zimefanya mashambulizi dhidi ya ngome za makundi ya kigaidi katika nchi hiyo ya mashariki mwa Afrika.

  • Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al Shabab wateka mji wa Rassadi kusini mwa Somalia

    Nov 01, 2017 04:51

    Kundi la kigaidi la al Shabab limeuteka mji wa Rassadi ulioko kusini mwa Somalia baada ya askari wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika kuondoka katika eneo hilo.

  • Rais wa Somalia atangaza azma imara ya kupambana na ugaidi

    Rais wa Somalia atangaza azma imara ya kupambana na ugaidi

    Oct 31, 2017 10:12

    Rais wa Somalia ametangaza azma yake imara ya kupambana na magaidi katika nchi hiyo ambayo wiki za hivi karibuni imepoteza mamia ya watu katika mashambulio ya magaidi.

  • Umoja wa Ulaya wataka kutatuliwa hitilafu za ndani nchini Somalia

    Umoja wa Ulaya wataka kutatuliwa hitilafu za ndani nchini Somalia

    Oct 30, 2017 10:09

    Umoja wa Ulaya umetoa wito wa kupatiwa ufumbuzi hitilafu za ndani nchini Somalia ili kuboresha hali ya usalama wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa na hali ya mchafukoge.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS