-
Rais wa Somalia atangaza azma imara ya kupambana na ugaidi
Oct 31, 2017 10:12Rais wa Somalia ametangaza azma yake imara ya kupambana na magaidi katika nchi hiyo ambayo wiki za hivi karibuni imepoteza mamia ya watu katika mashambulio ya magaidi.
-
Umoja wa Ulaya wataka kutatuliwa hitilafu za ndani nchini Somalia
Oct 30, 2017 10:09Umoja wa Ulaya umetoa wito wa kupatiwa ufumbuzi hitilafu za ndani nchini Somalia ili kuboresha hali ya usalama wa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika inayokabiliwa na hali ya mchafukoge.
-
Wakuu wa usalama wapigwa kalamu kufuatia mashambulizi ya kigaidi Somalia
Oct 29, 2017 12:29Wakuu wa vyombo vya usalama nchini Somalia wamepigwa kalamu nyekundu kufuatia mashambulizi ya kigaidi ya jana Jumamosi yaliyosababisha makumi ya watu kuuawa na kujeruhiwa.
-
Watu 10 wauawa 16 wajeruhiwa katika shambulizi jipya nchini Somalia
Oct 25, 2017 12:07Mripuko wa bomu la kutegwa ardhini na ufyatulianaji risasi baina ya askari wa AU na wanamgambo wa al Shabab umeua watu wasiopungua 10 na kujeruhi wengine 16 kusini mwa Somalia.
-
Ethiopia kuendelea kushirikiana na Somalia katika vita dhidi ya al-Shabaab
Oct 25, 2017 00:33Waziri Mkuu wa Ethiopia, Hailemariam Desalegn amesema nchi yake itaendelea kushirikiana na Somalia katika mapambano dhidi ya kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab.
-
Watu saba wauawa katika hujuma ya kigaidi karibu na Mogadishu, Somalia
Oct 22, 2017 10:25Watu wasiopungua saba, wengi wakiwa wanawake wakulima, wameuawa karibu na mji mkuu wa Somalia kufuatia hujuma ya kigaidi huku mji huo ukiwa bado unaomboleza shambulizi la hivi karibuni lililoua mamia ya watu.
-
Idadi ya waliouawa katika shambulio la Mogadishu, Somalia yafikia 358
Oct 21, 2017 04:18Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi la siku ya Jumamosi iliyopita katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu imeongezeka na kufikia 358.
-
Rais wa Somalia aapa kupambana na magaidi wa al Shabab baada ya hujuma ya kigaidi
Oct 19, 2017 04:13Rais Mohammad Abdullahi Mohamed wa Somalia ameapa kupambana na kundi la kigaidi la al-Shabab kufatia hujuma mbaya zaidi ya kigaidi kuwahi kushuhudiwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu ambapo watu zaidi ya 300 waliuawa.
-
Kamanda wa zamani al-Shabaab alaani mashambulizi ya Mogadishu
Oct 17, 2017 23:20Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo Mukhtar Robow amelaani vikali shambulizii la kigaidi lililoua watu zaidi ya 300 katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu Jumamosi iliyopita.
-
Serikali Somalia yawaomba raia wachangie damu, waliouawa wapindukia 300
Oct 17, 2017 11:48Serikali ya Somalia imetoa wito kwa wananchi kuchangia damu kwa ajili ya kutibu majeruhi wa shambulizi la kigaidi la Jumamosi iliyopita mjini Mogadishu ambalo limeua mamia ya raia wasio na hatia.