Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia

    Oct 15, 2017 23:05

    Mripuko wa lori lililotegwa bomu ndani yake uliua watu wasiopungua 276 mjini Mogadishu, Somalia siku ya Jumamosi jioni.

  • Mripuko wa lori lililotegwa bomu waua watu 40 mjini Mogadishu, Somalia

    Mripuko wa lori lililotegwa bomu waua watu 40 mjini Mogadishu, Somalia

    Oct 14, 2017 13:48

    Polisi ya Somalia imetangaza kuwa watu wapatao 40 wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya lori lililotegwa bomu kuripuka katika eneo lenye msongamano wa watu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.

  • Waziri wa Ulinzi wa Somalia na Mkuu wa Majeshi wajiuzulu

    Waziri wa Ulinzi wa Somalia na Mkuu wa Majeshi wajiuzulu

    Oct 13, 2017 00:36

    Waziri wa Ulinzi wa Somalia na Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo waliokuwa wakiongoza vita dhidi ya kundi la kigaidi la al-Shabab wamejiuzulu.

  • Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia

    Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia

    Oct 01, 2017 03:13

    Uturuki imefungua kituo chake kikubwa zaidi cha kijeshi barani Afrika ambacho kiko katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • 15 wauawa katika hujuma ya al Shabab dhidi ya kituo cha kijeshi Somalia

    15 wauawa katika hujuma ya al Shabab dhidi ya kituo cha kijeshi Somalia

    Sep 29, 2017 10:26

    Magaidi wakufurishaji wa al-Shabab wameshambulia na kuteka kituo kimoja cha kijeshi karibu na mji mkuu wa Somalia, Mogadishu ambapo wanajeshi 15 Wasomali wameuawa katika tukio hilo.

  • Watu saba wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Watu saba wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Sep 29, 2017 00:41

    Watu wasiopungua saba wanaripotiwa kufariki dunia katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa katika eneo moja mjini humo.

  • Kenya yataka dunia isaidie kikosi cha AMISOM kulinda amani Somalia

    Kenya yataka dunia isaidie kikosi cha AMISOM kulinda amani Somalia

    Sep 23, 2017 04:43

    Kenya imeitaka jamii ya kimataifa iongeze zaidi usaidizi wake kwa Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda amani Somalia, AMISOM ili kiweze kushughulikia kwa kina vitisho vya usalama kabla ya kuanza kutekelezwa mpango wa kupunguza idadi ya askari wake.

  • Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar

    Sep 22, 2017 04:27

    Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.

  • Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia

    Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia

    Sep 18, 2017 22:08

    Watu zaidi ya 50 wameuawa katika mapigano ya wiki moja katika maeneo la Oromiya na Somali nchini Ethiopia huku wengine 50,000 wakilazimika kukimbia makazi yao.

  • 9 wauawa katika makabiliano baina ya vikosi tofauti vya usalama Somalia

    9 wauawa katika makabiliano baina ya vikosi tofauti vya usalama Somalia

    Sep 17, 2017 02:58

    Kwa akali watu tisa wameuawa katika makabiliano baina ya wanajeshi na maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS