-
Mauaji ya watu 276 katika shambulio la kigaidi nchini Somalia
Oct 15, 2017 23:05Mripuko wa lori lililotegwa bomu ndani yake uliua watu wasiopungua 276 mjini Mogadishu, Somalia siku ya Jumamosi jioni.
-
Mripuko wa lori lililotegwa bomu waua watu 40 mjini Mogadishu, Somalia
Oct 14, 2017 13:48Polisi ya Somalia imetangaza kuwa watu wapatao 40 wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa baada ya lori lililotegwa bomu kuripuka katika eneo lenye msongamano wa watu katika mji mkuu wa nchi hiyo Mogadishu.
-
Waziri wa Ulinzi wa Somalia na Mkuu wa Majeshi wajiuzulu
Oct 13, 2017 00:36Waziri wa Ulinzi wa Somalia na Mkuu wa Majeshi wa nchi hiyo waliokuwa wakiongoza vita dhidi ya kundi la kigaidi la al-Shabab wamejiuzulu.
-
Uturuki yafungua kituo chake kikubwa cha kijeshi nchini Somalia
Oct 01, 2017 03:13Uturuki imefungua kituo chake kikubwa zaidi cha kijeshi barani Afrika ambacho kiko katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
15 wauawa katika hujuma ya al Shabab dhidi ya kituo cha kijeshi Somalia
Sep 29, 2017 10:26Magaidi wakufurishaji wa al-Shabab wameshambulia na kuteka kituo kimoja cha kijeshi karibu na mji mkuu wa Somalia, Mogadishu ambapo wanajeshi 15 Wasomali wameuawa katika tukio hilo.
-
Watu saba wauawa katika mlipuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Sep 29, 2017 00:41Watu wasiopungua saba wanaripotiwa kufariki dunia katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya kutokea mlipuko mkubwa katika eneo moja mjini humo.
-
Kenya yataka dunia isaidie kikosi cha AMISOM kulinda amani Somalia
Sep 23, 2017 04:43Kenya imeitaka jamii ya kimataifa iongeze zaidi usaidizi wake kwa Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda amani Somalia, AMISOM ili kiweze kushughulikia kwa kina vitisho vya usalama kabla ya kuanza kutekelezwa mpango wa kupunguza idadi ya askari wake.
-
Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar
Sep 22, 2017 04:27Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.
-
Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia
Sep 18, 2017 22:08Watu zaidi ya 50 wameuawa katika mapigano ya wiki moja katika maeneo la Oromiya na Somali nchini Ethiopia huku wengine 50,000 wakilazimika kukimbia makazi yao.
-
9 wauawa katika makabiliano baina ya vikosi tofauti vya usalama Somalia
Sep 17, 2017 02:58Kwa akali watu tisa wameuawa katika makabiliano baina ya wanajeshi na maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.