-
Kenya yataka dunia isaidie kikosi cha AMISOM kulinda amani Somalia
Sep 23, 2017 04:43Kenya imeitaka jamii ya kimataifa iongeze zaidi usaidizi wake kwa Kikosi cha Umoja wa Afrika cha Kulinda amani Somalia, AMISOM ili kiweze kushughulikia kwa kina vitisho vya usalama kabla ya kuanza kutekelezwa mpango wa kupunguza idadi ya askari wake.
-
Somalia yakerwa na hatua ya Galmudug kukata uhusiano na Qatar
Sep 22, 2017 04:27Serikali kuu ya Somalia imekosoa vikali hatua ya eneo lenye mamlaka ya ndani la Galmudug kutangaza kuwa linaziunga mkono Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu katika mgogoro wa nchi za Kiarabu.
-
Watu 50 wauawa, 50,000 wakimbia mapigano mashariki mwa Ethiopia
Sep 18, 2017 22:08Watu zaidi ya 50 wameuawa katika mapigano ya wiki moja katika maeneo la Oromiya na Somali nchini Ethiopia huku wengine 50,000 wakilazimika kukimbia makazi yao.
-
9 wauawa katika makabiliano baina ya vikosi tofauti vya usalama Somalia
Sep 17, 2017 02:58Kwa akali watu tisa wameuawa katika makabiliano baina ya wanajeshi na maafisa wa polisi katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
Jeshi la Somalia lakomboa eneo la mpakani kutoka kwa al Shabab
Sep 12, 2017 22:02Jeshi al Somalia limefanikiwa kukomboa eneo la mpaka wa nchi hiyo na Kenya lililokuwa limetekwa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab.
-
Watu sita wauawa katika hujuma ya kigaidi Beledweyne Somalia
Sep 10, 2017 09:54Watu wasiopungua sita wameuawa leo Jumapili baada ya gaidi mmoja kujiripua katika mkahawa ulioko nje ya ofisi ya kiserikali katika mji wa Beledweyne kati mwa Somalia.
-
Kundi la al-Shabaab la Somalia ladai kuua makumi ya askari Kismayu
Sep 03, 2017 03:04Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab limedai kuwa limeua makumi ya askari wa Somalia karibu na mji wa bandari wa Kismayu mapema leo Jumapili.
-
Shambulio la bomu la al-Shabaab siku ya Iddi laua 12 Puntland, Somalia
Sep 02, 2017 03:05Watu 12 wameuawa katika shambulizi la bomu lililofanywa na genge la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo lenye mamlaka ya ndani la Puntland nchini Somalia.
-
Serikali ya Somalia yakiri kuua raia katika operesheni ya pamoja na Marekani
Aug 31, 2017 09:23Serikali ya Somalia hatimaye imekiri kwamba raia 10 wa Kisomali waliuawa eti kimakosa katika operesheni ya pamoja iliyofanywa na jeshi la nchi hiyo na askari wa Marekani Ijumaa iliyopita.
-
Somalia yakataa "rushwa" ya Saudia, yagoma kujiunga na nchi zinazoisusia Qatar
Aug 30, 2017 22:23Rais wa Somalia amekataa pendekezo la kupewa Euro milioni 68 lililotolewa na utawala wa Kifalme wa Saudi Arabia mkabala wa kujiunga na muungano wa nchi zilizokata uhusiano wao na kuisusia Qatar.