-
Mji wa Bariire Somalia wakombolewa kutoka mikononi mwa wanamgambo wa al-Shabab
Aug 21, 2017 09:33Jeshi na Somalia likishirikiana na kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini humo AMISOM vimefanikiwa kuukomboa mji wa kiistratejia wa Bariire wa kusini mwa nchi hiyo uliokuwa ukidhibitiwa na wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabab.
-
Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab
Aug 14, 2017 02:45Serikali ya Somalia imayaonya mashirika na taasisi za mawasiliano na za kifedha zinazohusika na usafirishaji wa fedha kwa ajili ya kundi la kigaidi na kiwahabi la al Shabab nchini humo.
-
Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia
Aug 13, 2017 23:06Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji Mukhtar Robow Abu Mansur, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Watu 20 wauawa katika mapigano yaliyowahusisha ash-Shabab wasiokubaliana Somalia
Aug 10, 2017 23:43Watu 20 wanaripotiwa kuuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya wanachama wa kundi la ash-Shabab huko kusini magharibi mwa Somalia.
-
KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia
Aug 10, 2017 10:15Ndege za Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF zimeshambulia ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Weelmarow karibu na wilaya ya Afmadow, eneo la Lower Juba, kusini mwa Somalia.
-
Askari 7, raia 1 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Somalia
Aug 06, 2017 03:10Kwa akali askari saba wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya mabomu yalilolenga msafara wa magari ya jeshi karibu na mji wa Baidoa nchini Somalia.
-
Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia
Aug 05, 2017 03:38Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limetangaza kuwa limeuteka na kuudhibiti mji wa Leego, ulioko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia
Aug 01, 2017 08:47Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab anayehusika na suala la kupanga shambulizi ya kundi hilo ameangamizwa la jeshi la nchi hiyo.
-
Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia
Jul 31, 2017 11:05Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Jul 30, 2017 10:44Watu sita wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.