Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Mji wa Bariire Somalia wakombolewa kutoka mikononi mwa wanamgambo wa al-Shabab

    Mji wa Bariire Somalia wakombolewa kutoka mikononi mwa wanamgambo wa al-Shabab

    Aug 21, 2017 09:33

    Jeshi na Somalia likishirikiana na kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini humo AMISOM vimefanikiwa kuukomboa mji wa kiistratejia wa Bariire wa kusini mwa nchi hiyo uliokuwa ukidhibitiwa na wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabab.

  • Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab

    Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab

    Aug 14, 2017 02:45

    Serikali ya Somalia imayaonya mashirika na taasisi za mawasiliano na za kifedha zinazohusika na usafirishaji wa fedha kwa ajili ya kundi la kigaidi na kiwahabi la al Shabab nchini humo.

  • Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Aug 13, 2017 23:06

    Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji Mukhtar Robow Abu Mansur, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu 20 wauawa katika mapigano yaliyowahusisha ash-Shabab wasiokubaliana Somalia

    Watu 20 wauawa katika mapigano yaliyowahusisha ash-Shabab wasiokubaliana Somalia

    Aug 10, 2017 23:43

    Watu 20 wanaripotiwa kuuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya wanachama wa kundi la ash-Shabab huko kusini magharibi mwa Somalia.

  • KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia

    KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia

    Aug 10, 2017 10:15

    Ndege za Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF zimeshambulia ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Weelmarow karibu na wilaya ya Afmadow, eneo la Lower Juba, kusini mwa Somalia.

  • Askari 7, raia 1 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Somalia

    Askari 7, raia 1 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Somalia

    Aug 06, 2017 03:10

    Kwa akali askari saba wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya mabomu yalilolenga msafara wa magari ya jeshi karibu na mji wa Baidoa nchini Somalia.

  • Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia

    Aug 05, 2017 03:38

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limetangaza kuwa limeuteka na kuudhibiti mji wa Leego, ulioko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia

    Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia

    Aug 01, 2017 08:47

    Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab anayehusika na suala la kupanga shambulizi ya kundi hilo ameangamizwa la jeshi la nchi hiyo.

  • Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Jul 31, 2017 11:05

    Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Jul 30, 2017 10:44

    Watu sita wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS