Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Wasomali wakataa kuzika watu wao mpaka serikali ikiri ilihusika na mauaji yao

    Wasomali wakataa kuzika watu wao mpaka serikali ikiri ilihusika na mauaji yao

    Aug 27, 2017 10:09

    Familia za Wasomali zimekataa kuzika maiti za wapendwa wao 10 wakiwemo watoto watatu mpaka serikali ikubali kubeba dhima ya mauaji yao yaliyofanywa katika shambulio lililotekelezwa kwa msaada wa jeshi la Marekani.

  • Wanajeshi wa Marekani waua watoto 3 katika hujuma Somalia

    Wanajeshi wa Marekani waua watoto 3 katika hujuma Somalia

    Aug 26, 2017 03:21

    Raia wasiopungua 10, wakiwemo watoto watatu, wameuawa katika hujuma ya pamoja na Jeshi la Marekani na Jeshi la Somalia kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu 10 wauawa na wanamgambo wanaoungwa mkono na Marekani kusini mwa Somalia

    Watu 10 wauawa na wanamgambo wanaoungwa mkono na Marekani kusini mwa Somalia

    Aug 25, 2017 23:25

    Serikali ya Somalia imetangaza habari ya kuuawa watu 10 ambao ni raia wa kawaida katika shambulizi la wabeba silaha kijiji cha Barire, jimbo la Lower Shebelle, kusini mwa nchi hiyo.

  • Wakimbizi 70,000 warejea kwa hiari Somalia kutoka Kenya

    Wakimbizi 70,000 warejea kwa hiari Somalia kutoka Kenya

    Aug 25, 2017 01:59

    Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi UNHCR limesema limewarejesha nyumbani wakimbizi 70,516 wa Somalia kutoka Kenya, tangu kazi hiyo ianze mwaka 2014.

  • Mji wa Bariire Somalia wakombolewa kutoka mikononi mwa wanamgambo wa al-Shabab

    Mji wa Bariire Somalia wakombolewa kutoka mikononi mwa wanamgambo wa al-Shabab

    Aug 21, 2017 09:33

    Jeshi na Somalia likishirikiana na kikosi cha kusimamia amani cha Umoja wa Afrika nchini humo AMISOM vimefanikiwa kuukomboa mji wa kiistratejia wa Bariire wa kusini mwa nchi hiyo uliokuwa ukidhibitiwa na wanamgambo wa kigaidi wa al-Shabab.

  • Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab

    Serikali ya Somalia yayaonya mashirika na taasisi za fedha zinazoisaidia al Shabab

    Aug 14, 2017 02:45

    Serikali ya Somalia imayaonya mashirika na taasisi za mawasiliano na za kifedha zinazohusika na usafirishaji wa fedha kwa ajili ya kundi la kigaidi na kiwahabi la al Shabab nchini humo.

  • Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Kamanda wa zamani al-Shabaab ajiunga na serikali ya Somalia

    Aug 13, 2017 23:06

    Aliyekuwa Naibu Kiongozi wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab na pia msemaji wa zamani wa genge hilo la ukufurishaji Mukhtar Robow Abu Mansur, amejisalimisha kwa jeshi la nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Watu 20 wauawa katika mapigano yaliyowahusisha ash-Shabab wasiokubaliana Somalia

    Watu 20 wauawa katika mapigano yaliyowahusisha ash-Shabab wasiokubaliana Somalia

    Aug 10, 2017 23:43

    Watu 20 wanaripotiwa kuuawa katika mapigano yaliyotokea kati ya wanachama wa kundi la ash-Shabab huko kusini magharibi mwa Somalia.

  • KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia

    KDF yashambulia ngome za al-Shabaab karibu na Afmadow, Somalia

    Aug 10, 2017 10:15

    Ndege za Jeshi la Ulinzi la Kenya KDF zimeshambulia ngome za kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab katika eneo la Weelmarow karibu na wilaya ya Afmadow, eneo la Lower Juba, kusini mwa Somalia.

  • Askari 7, raia 1 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Somalia

    Askari 7, raia 1 wauawa katika mashambulizi ya mabomu Somalia

    Aug 06, 2017 03:10

    Kwa akali askari saba wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa katika mashambulizi ya mabomu yalilolenga msafara wa magari ya jeshi karibu na mji wa Baidoa nchini Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS