-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Kuharibiwa kituo cha as-Shabaab kusini mwa Somalia
Jul 22, 2017 02:23Jeshi la Somalia katika operesheni ya pamoja na kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Afrika AMISOM limefanikiwa kuharibu kituo kimoja kikubwa cha magaidi wa as-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.
-
Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab
Jul 15, 2017 23:45Serikali ya Uganda imesema kuwa imetuma wanajeshi wake elfu mbili huko Somalia ili kuendesha mapambano dhidi ya wanamgambo wa al Shabab wenye makao yao nchini Somalia.
-
Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia
Jul 13, 2017 03:38Habari kutoka Somalia zinaripoti kwamba, watu 11 wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea asubuhi ya leo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Wapiganaji 18 wa Al Shabab wauawa kaskazini mwa Somalia
Jul 10, 2017 01:53Wapiganaji wasiopungua 18 wa kundi la kigaidi la al Shabab wameuawa katika operesheni iliyofanywa na jeshi la Somalia katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Somali inapata hasara ya dola milioni 10 kila siku kutokana na kukatika Intaneti
Jul 09, 2017 03:36Kukatika huduma ya Intaneti nchini Somalia kumeisababisha nchi hiyo ya pembe ya Afrika matatizo mengi ikiwemo kupata hasara ya mamilioni ya dola kila siku.
-
Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia
Jul 02, 2017 10:43Watu wanane wameripoti kuuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
Mgawanyiko waripotiwa katika safu za al Shabab, Somalia
Jul 02, 2017 01:43Ripoti zinasema kuwa, kumetokea hitilafu na mgawanyiko katika kundi la kigaidi la al Shabab la Somalia baada ya kusambaa habari kwamba, msemaji wa kundi hilo amejitenga na kwamba anaungwa mkono na jeshi la serikali ya Mogadishu.
-
Ongezeko la bidhaa za Iran zinazouzwa Somalia
Jul 01, 2017 12:24Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la bidhaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinazouzwa nchini Somalia.
-
Wanachama saba wa ash-Shabab watiwa kitanzi nchini Somalia
Jul 01, 2017 08:46Viongozi wa kijeshi katika eneo la Puntland, kaskazini mwa Somalia, wamewanyonga wanachama saba wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab.