Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Somalia

  • Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia

    Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia

    Aug 05, 2017 03:38

    Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limetangaza kuwa limeuteka na kuudhibiti mji wa Leego, ulioko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.

  • Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia

    Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia

    Aug 01, 2017 08:47

    Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab anayehusika na suala la kupanga shambulizi ya kundi hilo ameangamizwa la jeshi la nchi hiyo.

  • Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia

    Jul 31, 2017 11:05

    Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia

    Jul 30, 2017 10:44

    Watu sita wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.

  • 60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia

    Jul 23, 2017 09:19

    Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.

  • Kuharibiwa kituo cha as-Shabaab kusini mwa Somalia

    Kuharibiwa kituo cha as-Shabaab kusini mwa Somalia

    Jul 22, 2017 02:23

    Jeshi la Somalia katika operesheni ya pamoja na kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Afrika AMISOM limefanikiwa kuharibu kituo kimoja kikubwa cha magaidi wa as-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.

  • Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab

    Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab

    Jul 15, 2017 23:45

    Serikali ya Uganda imesema kuwa imetuma wanajeshi wake elfu mbili huko Somalia ili kuendesha mapambano dhidi ya wanamgambo wa al Shabab wenye makao yao nchini Somalia.

  • Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia

    Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia

    Jul 13, 2017 03:38

    Habari kutoka Somalia zinaripoti kwamba, watu 11 wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea asubuhi ya leo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.

  • Wapiganaji 18 wa Al Shabab wauawa kaskazini mwa Somalia

    Wapiganaji 18 wa Al Shabab wauawa kaskazini mwa Somalia

    Jul 10, 2017 01:53

    Wapiganaji wasiopungua 18 wa kundi la kigaidi la al Shabab wameuawa katika operesheni iliyofanywa na jeshi la Somalia katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Somali inapata hasara ya dola milioni 10 kila siku kutokana na kukatika Intaneti

    Somali inapata hasara ya dola milioni 10 kila siku kutokana na kukatika Intaneti

    Jul 09, 2017 03:36

    Kukatika huduma ya Intaneti nchini Somalia kumeisababisha nchi hiyo ya pembe ya Afrika matatizo mengi ikiwemo kupata hasara ya mamilioni ya dola kila siku.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS