-
Magaidi wa al-Shabaab wateka na kudhibiti mji kusini mwa Somalia
Aug 05, 2017 03:38Kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab la Somalia limetangaza kuwa limeuteka na kuudhibiti mji wa Leego, ulioko kusini mwa nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
Kiongozi wa mashambulizi ya ash-Shabab aangamizwa Somalia
Aug 01, 2017 08:47Wizara ya Habari ya Somalia imetangaza kuwa kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab anayehusika na suala la kupanga shambulizi ya kundi hilo ameangamizwa la jeshi la nchi hiyo.
-
Askari 12 wa Uganda wauawa nchini Somalia
Jul 31, 2017 11:05Jeshi la Uganda limetangaza kuwa, askari 12 wa nchi hiyo wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wapiganaji wa kundi la kigaidi la al Shabab kusini mwa Somalia.
-
Makumi wauawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu Mogadishu, Somalia
Jul 30, 2017 10:44Watu sita wameuawa na wengine zaidi ya 20 wamejeruhiwa baada ya bomu lililokuwa limetegwa ndani ya gari kuripuka katika mji mkuu wa Somalia, Mogadishu.
-
60 wauawa, kujeruhiwa katika mapigano ya makundi hasimu ya kigaidi Somalia
Jul 23, 2017 09:19Kwa akali watu 20 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya makundi hasimu ya wanamgambo kutandikana yenyewe kwa yenyewe katikati mwa Somalia.
-
Kuharibiwa kituo cha as-Shabaab kusini mwa Somalia
Jul 22, 2017 02:23Jeshi la Somalia katika operesheni ya pamoja na kikosi cha walinda amani cha Umoja wa Afrika AMISOM limefanikiwa kuharibu kituo kimoja kikubwa cha magaidi wa as-Shabaab kusini mwa nchi hiyo.
-
Uganda kutuma wanajeshi elfu mbili Somalia kukabiliana na al Shabab
Jul 15, 2017 23:45Serikali ya Uganda imesema kuwa imetuma wanajeshi wake elfu mbili huko Somalia ili kuendesha mapambano dhidi ya wanamgambo wa al Shabab wenye makao yao nchini Somalia.
-
Watu kadhaa wauawa katika mripuko wa bomu karibu na mji mkuu wa Somalia
Jul 13, 2017 03:38Habari kutoka Somalia zinaripoti kwamba, watu 11 wameuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea asubuhi ya leo karibu na mji mkuu wa nchi hiyo, Mogadishu.
-
Wapiganaji 18 wa Al Shabab wauawa kaskazini mwa Somalia
Jul 10, 2017 01:53Wapiganaji wasiopungua 18 wa kundi la kigaidi la al Shabab wameuawa katika operesheni iliyofanywa na jeshi la Somalia katika maeneo ya kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Somali inapata hasara ya dola milioni 10 kila siku kutokana na kukatika Intaneti
Jul 09, 2017 03:36Kukatika huduma ya Intaneti nchini Somalia kumeisababisha nchi hiyo ya pembe ya Afrika matatizo mengi ikiwemo kupata hasara ya mamilioni ya dola kila siku.