-
Jeshi la Somalia na kikosi cha AU chakomboa mji wa Janale
Jul 01, 2017 02:07Wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika wameukomboa mji Janale ulioko kusini mwa nchi hiyo ambao ulikuwa ukishikiliwa na wanamgambo wa kundi la al Shabab.
-
Wanamgambo sita wa al-Shabab wauawa na jeshi la Somalia
Jun 30, 2017 09:41Vikosi vya usalama vya Somalia vimewaua wapiganaji sita wa kundi la kigaid na kitakfiri la al-Shabab na kujeruhiwa makumi ya wengine.
-
Save the Children: Maelfu ya watoto Somalia watakufa kwa njaa
Jun 30, 2017 03:26Taasisi moja ya kimataifa ya masuala ya kibinadamu imetahadharisha kuhusu hatari ya kuaga dunia watoto wa Kisomali elfu 20 kutokana na ukame na njaa iliyoiathiri Somalia.
-
Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia
Jun 27, 2017 11:13Duru za habari nchini Somalia zimeripoti habari ya kutokea mripuko mkubwa ndani ya meli katika pwani ya Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.
-
Watu 15 wauawa katika hujuma ya al-Shabab mjini Mogadishu, Somalia
Jun 20, 2017 09:09Watu wasiopungua 15 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia huku kundi la kigaidi la al-Shabab likitangaza kuhusika na shambulizi hilo.
-
Askari wa Somalia aliyemuua waziri ahukumiwa kifo
Jun 19, 2017 11:00Askari wa serikali ya Somalia amehukumiwa kifo kwa kumuua waziri wa serikali ya Mogadishu baada ya kudhania kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa kundi ya kigaidi la al Shabab.
-
AU yaahidi kurejesha utulivu Somalia licha ya kuongezeka kwa mashambulio ya al-Shabab
Jun 16, 2017 03:04Umoja wa Afrika umetangaza kuwa, umeazimia kurejesha amani na utulivu nchini Somalia licha ya kuongezeka mashambulio ya wanachama wa kundi la kigaidi la al-Shabab katika nchi hiyo ya Pembe ya Afrika.
-
UN yalaani mashambulizi ya kigaidi katika mji mkuu wa Somalia
Jun 15, 2017 12:42Mjumbe Maalumu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa nchini Somalia amelaani mashambulizi yaliyofanyika katika mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Magaidi wa Al Shabab waua watu 17 Mogadishu
Jun 15, 2017 02:44Magaidi wa kundi la Al Shabab nchini Somalia wamewaua watu 17 katika hoteli moja katika mji mkuu Mogadishu.
-
Marekani yadai kuua wanachama 8 wa al-Shabaab Somalia
Jun 12, 2017 03:15Kamandi ya Jeshi la Marekani barani Afrika (AFRICOM) imedai kuwa shambulizi la anga la wanajeshi wake limefanikiwa kuangamiza wanachama wanane wa kundi la kigaidi na kitakfiri la al-Shabaab kusini mwa Somalia.