-
Wanane wauawa na kujeruhiwa karibu na Mogadishu Somalia
Jul 02, 2017 10:43Watu wanane wameripoti kuuawa na kujeruhiwa katika mripuko wa bomu uliotokea karibu na Mogadishu, mji mkuu wa Somalia.
-
Mgawanyiko waripotiwa katika safu za al Shabab, Somalia
Jul 02, 2017 01:43Ripoti zinasema kuwa, kumetokea hitilafu na mgawanyiko katika kundi la kigaidi la al Shabab la Somalia baada ya kusambaa habari kwamba, msemaji wa kundi hilo amejitenga na kwamba anaungwa mkono na jeshi la serikali ya Mogadishu.
-
Ongezeko la bidhaa za Iran zinazouzwa Somalia
Jul 01, 2017 12:24Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la bidhaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zinazouzwa nchini Somalia.
-
Wanachama saba wa ash-Shabab watiwa kitanzi nchini Somalia
Jul 01, 2017 08:46Viongozi wa kijeshi katika eneo la Puntland, kaskazini mwa Somalia, wamewanyonga wanachama saba wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la ash-Shabab.
-
Jeshi la Somalia na kikosi cha AU chakomboa mji wa Janale
Jul 01, 2017 02:07Wanajeshi wa serikali ya Somalia na wale wa kulinda amani wa Umoja wa Afrika wameukomboa mji Janale ulioko kusini mwa nchi hiyo ambao ulikuwa ukishikiliwa na wanamgambo wa kundi la al Shabab.
-
Wanamgambo sita wa al-Shabab wauawa na jeshi la Somalia
Jun 30, 2017 09:41Vikosi vya usalama vya Somalia vimewaua wapiganaji sita wa kundi la kigaid na kitakfiri la al-Shabab na kujeruhiwa makumi ya wengine.
-
Save the Children: Maelfu ya watoto Somalia watakufa kwa njaa
Jun 30, 2017 03:26Taasisi moja ya kimataifa ya masuala ya kibinadamu imetahadharisha kuhusu hatari ya kuaga dunia watoto wa Kisomali elfu 20 kutokana na ukame na njaa iliyoiathiri Somalia.
-
Mripuko wa kutisha watokea melini katika pwani ya Puntland, Somalia
Jun 27, 2017 11:13Duru za habari nchini Somalia zimeripoti habari ya kutokea mripuko mkubwa ndani ya meli katika pwani ya Puntland, kaskazini mashariki mwa Somalia.
-
Watu 15 wauawa katika hujuma ya al-Shabab mjini Mogadishu, Somalia
Jun 20, 2017 09:09Watu wasiopungua 15 wameuawa katika hujuma ya kigaidi huko Mogadishu, mji mkuu wa Somalia huku kundi la kigaidi la al-Shabab likitangaza kuhusika na shambulizi hilo.
-
Askari wa Somalia aliyemuua waziri ahukumiwa kifo
Jun 19, 2017 11:00Askari wa serikali ya Somalia amehukumiwa kifo kwa kumuua waziri wa serikali ya Mogadishu baada ya kudhania kuwa ni mmoja kati ya wanachama wa kundi ya kigaidi la al Shabab.