Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Spika

  • Spika: Mauaji ya kigaidi kuharakisha kuporomoka utawala wa Kizayuni

    Spika: Mauaji ya kigaidi kuharakisha kuporomoka utawala wa Kizayuni

    Oct 11, 2024 07:02

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, mashambulizi ya anga na mauaji ya kigaidi yanayofanywa na utawala haramu wa Israel hayatakuwa na matokeo mengine isipokuwa kuharakisha kusambaratika na kuangamia kwa utawala huo wa Kizayuni.

  • Qalibaf asisitizia umoja wa Waislamu katika kadhia ya Palestina

    Qalibaf asisitizia umoja wa Waislamu katika kadhia ya Palestina

    Sep 15, 2024 04:02

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitizia haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja na mshikamano katika suala la Palestina.

  • Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu

    Qalibaf: Israel haielewi lugha nyingine isipokuwa ya mabavu

    Aug 11, 2024 04:03

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imedhamiria kujibu mapigo kwa Israel kufuatia mauaji ya kigaidi ya Ismail Haniyah, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS hapa Tehran akisisitiza kuwa, utumiaji wa nguvu na mabavu ndiyo njia pekee ya kukabiliana na Uzayuni.

  • Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni

    Qalibaf: Mataifa ya Kiislamu yasimamishe mashambulizi ya Wazayuni

    Nov 08, 2023 00:03

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amelaani vikali mashambulizi ya kinyama utawala wa Kizayuni huko Gaza na kusisitiza kuwa, mataifa ya Kiislamu yana wajibu wa kusimamisha dhulma na hujuma hizo za kikatili za Wazayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Qalibaf: Marekani ingali inafuatilia sera za ubeberu dhidi ya Iran

    Qalibaf: Marekani ingali inafuatilia sera za ubeberu dhidi ya Iran

    Aug 17, 2022 07:57

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani ya leo, ndiyo ile ile ya huko nyuma ya wakati wa mapinduzi ya serikali Iran ya mwaka 1953 (Mapinduzi ya Mordad 28).

  • Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Sisitizo la Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kuhusu kuunga mkono sera ya China Moja

    Aug 05, 2022 02:40

    Hossein Amirabdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza uungaji mkono wa Iran kwa sera ya "China Moja" na kusema: 'Hatua za kichochezi za Marekani zimekuwa tishio kubwa kwa amani na uthabiti wa kimataifa.'

  • Iran: Kurutubisha urani kwa 60% ni jibu kwa njama za maadui

    Iran: Kurutubisha urani kwa 60% ni jibu kwa njama za maadui

    Apr 18, 2021 22:24

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema urutubishaji wa madini ya urani kwa kiwango cha asilimia 60 hapa nchini ni jibu kwa njama na chokochoko za maadui wa taifa hili.

  • Spika: Nchi za Kiislamu zisifuate nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran

    Spika: Nchi za Kiislamu zisifuate nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran

    Oct 20, 2020 04:10

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezitaka serikali za nchi za Kiislamu zisikubali kufuata nyayo za Marekani za kuiwekea vikwazo Iran katika kipindi hiki cha janga la corona.

  • Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia Lebanon: Israel inachezea moto

    Aug 25, 2019 08:01

    Mkuu wa Baraza Kuu la Mashia nchini Lebanon amesema, kuendeleza utawala wa Kizayuni wa Israel uchokozi dhidi ya Lebanon na Syria ni kuchezea moto, ambao utapelekea kuteketezwa utawala huo.

  • Spika wa Bunge la Lebanon: Eneo lote la Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Spika wa Bunge la Lebanon: Eneo lote la Quds ni mji mkuu wa Palestina

    Mar 11, 2019 23:24

    Spika wa Bunge la Lebanon kwa mara nyingine tena amesisitiza msimamo wa nchi yake kuhusiana na kuiunga mkono Baytul -Muqaddas na Palestina na kusema kuwa, eneo lote la Quds Tukufu ni mji mkuu wa nchi ya Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS