Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Hitilafu kati ya Misri na Sudan zapamba moto zaidi

    Hitilafu kati ya Misri na Sudan zapamba moto zaidi

    Apr 21, 2017 11:26

    Sudan imewasilisha malalamiko yake dhidi ya Misri katika Umoja wa Mataifa kuhusu umiliki wa maeneo ya Hala'ib na Shalatiin.

  • Marekani yalegeza misimamo yake kwa Sudan

    Marekani yalegeza misimamo yake kwa Sudan

    Apr 19, 2017 21:57

    Tangu baada ya Rais Omar al Bashir wa Sudan kujiunga na Saudi Arabia katika mashambulizi dhidi ya raia wasio na ulinzi wa Yemen, nchi za Magharibi zimeonekana kulegeza misimamo yao kuhusu serikali ya Khartoum. Kwa mara ya kwanza Sudan imeruhusiwa kushiriki katika kikao cha wakuu wa kikosi cha pamoja cha kundi la nchi za Marekani, Ulaya na Afrika, maarufu kwa jina la Africom.

  • Wafanya magendo ya binadamu watiwa mbaroni Sudan

    Wafanya magendo ya binadamu watiwa mbaroni Sudan

    Apr 12, 2017 09:26

    Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Sudan ametangaza habari ya kutiwa nguvuni watu watano wanaojihusisha na magendo ya binadamu karibu na mpaka wa nchi hiyo na Libya.

  • Wasi wasi wa Sudan kuhusu kuongezeka wimbi la wakimbizi wa Sudan Kusini

    Wasi wasi wa Sudan kuhusu kuongezeka wimbi la wakimbizi wa Sudan Kusini

    Apr 07, 2017 23:44

    Serikali ya Sudan imeonyesha wasi wasi wake mkubwa juu ya mgogoro unaotokana na ongezeko la wakimbizi wa Sudan Kusini wanaoingia nchi hiyo.

  • Afrika Kusini kizimbani ICC leo kwa kutomkamata Rais wa Sudan

    Afrika Kusini kizimbani ICC leo kwa kutomkamata Rais wa Sudan

    Apr 07, 2017 02:27

    Afrika Kusini hii leo inatazamiwa kupanda kizimbani katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kutoa sababu za kutomkamata Rais Omar al-Bashir wa Sudan alipoitembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.

  • Maafisa usalama wa Afrika watahadharisha kuhusu hatari ya makundi ya kigaidi

    Maafisa usalama wa Afrika watahadharisha kuhusu hatari ya makundi ya kigaidi

    Apr 06, 2017 10:04

    Maafisa wa upelelezi na vyombo vya usalama wa nchi 30 za Afrika walioshiriki katika mkutano wa amani nchini Sudan wametahadharisha kuhusu vitisho vya makundi ya kigaidi barani humo.

  • Watu wenye silaha wawafyatulia risasi raia wakiwa sokoni nchini Sudan, saba wauawa

    Watu wenye silaha wawafyatulia risasi raia wakiwa sokoni nchini Sudan, saba wauawa

    Apr 03, 2017 00:12

    Watu wenye silaha wasiojulikana wametekeleza shambulizi katika soko nchini Sudan na kuua watu saba na wengine kadhaa kujeruhiwa.

  • Kamisheni ya Haki za Binadamu yaikosoa Jordan kwa kumkaribisha al Bashir

    Kamisheni ya Haki za Binadamu yaikosoa Jordan kwa kumkaribisha al Bashir

    Mar 31, 2017 23:17

    Kamisheni Kuu ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa imeikemea serikali ya Jordan kwa kumkaribisha nchini humo Rais Omar Hassan al Bashir wa Sudan anayesakwa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • Uhusiano wa Saudia na Sudan, hakika au maslahi ya muda?

    Uhusiano wa Saudia na Sudan, hakika au maslahi ya muda?

    Mar 31, 2017 22:02

    Saudi Arabia inafanya mazoezi ya pamoja ya kijeshi na Sudan yajulikanayo kama 'Ngao ya Samawati -1' huku nchi hizo mbili zikijaribu kuimarisha uhusiano wao kutokana na vizingiti vya ndani ya nchi na kieneo.

  • Sudan yaafiki kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya misaada ya kibinadamu Sudan Kusini

    Sudan yaafiki kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya misaada ya kibinadamu Sudan Kusini

    Mar 27, 2017 00:09

    Serikali ya Sudan imeafiki suala la kuanzishwa njia ya amani kwa ajili ya kutuma misaada ya kibinadamu kwa watu walioathiriwa na ukame na njaa katika nchi jirani ya Sudan Kusini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS