-
Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka
Dec 19, 2016 11:20Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.
-
Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje
Dec 11, 2016 23:10Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Sudan amekiri kuwa nchi hiyo inakabiliwa na matatizo ya ndani na nje.
-
Vyama vya upinzani Sudan vyataka Rais al-Bashir aondoke madarakani
Dec 03, 2016 10:40Vyama vya upinzani nchini Sudan vimetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir hana sifa za kuendelea kuiongoza nchi hiyo hivyo anapaswa kuondoka madarakani.
-
Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulalamikia bei ya mafuta
Nov 28, 2016 12:27Mgomo wa nchi nzima kulalamikia kupungua kwa ruzuku ya mafuta kulikopelekea kupanda kwa bei ya nishati hiyo, umeanza leo nchini Sudan.
-
Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan
Nov 26, 2016 04:40Watu wenye silaha wamewalenga wafanyakazi wanne ambao ni wajumbe wa kamati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika mji wa Nyala katikati mwa mkoa wa Darfur Kusini nchini Sudan.
-
Upinzani dhidi ya serikali waongezeka nchini Sudan
Nov 26, 2016 00:24Upinzani dhidi ya serikali ya Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan unaripotiwa kuongezeka huku polisi na vikosi vya usalama vya nchi hiyo vikitumia mabavu kukabiliana na upinzani huo.
-
Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani
Nov 24, 2016 10:06Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.
-
Madaktari wasimamisha mgomo wao nchini Sudan
Nov 23, 2016 11:33Mgomo wa nchi nzima wa madaktari huko Sudan umesitishwa kwa muda baada ya vyombo vya dola kuwaachilia huru madaktari wawili waliokuwa wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kushiriki katika mgomo wa kuipinga serikali.
-
Asasi za kiraia nchini Sudan zasisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali
Nov 21, 2016 10:57Asasi za kiraia nchini Sudan, zimesisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali juu ya siasa zake mbovu katika kupandisha bei ya mafuta nchini.
-
Migomo na maandamano yaongezeka Sudan, sasa ni zamu ya madaktari, wauguzi
Nov 20, 2016 00:20Madaktari nchini Sudan wameojiunga na matabaka mbalimbali ya nchi hiyo kupinga sera za serikali ya Rais Omar al Bashir na mwenendo wake wa kupuuza matakwa ya kisheria ya tabaka hilo.