Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Dec 19, 2016 11:20

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.

  • Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Dec 11, 2016 23:10

    Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Sudan amekiri kuwa nchi hiyo inakabiliwa na matatizo ya ndani na nje.

  • Vyama vya upinzani Sudan vyataka Rais al-Bashir aondoke madarakani

    Vyama vya upinzani Sudan vyataka Rais al-Bashir aondoke madarakani

    Dec 03, 2016 10:40

    Vyama vya upinzani nchini Sudan vimetangaza kuwa, Rais wa nchi hiyo Omar Hassan al-Bashir hana sifa za kuendelea kuiongoza nchi hiyo hivyo anapaswa kuondoka madarakani.

  • Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulalamikia bei ya mafuta

    Mgomo wa nchi nzima waanza Sudan kulalamikia bei ya mafuta

    Nov 28, 2016 12:27

    Mgomo wa nchi nzima kulalamikia kupungua kwa ruzuku ya mafuta kulikopelekea kupanda kwa bei ya nishati hiyo, umeanza leo nchini Sudan.

  • Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan

    Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa washambuliwa Sudan

    Nov 26, 2016 04:40

    Watu wenye silaha wamewalenga wafanyakazi wanne ambao ni wajumbe wa kamati ya Umoja wa Mataifa na Umoja wa Afrika katika mji wa Nyala katikati mwa mkoa wa Darfur Kusini nchini Sudan.

  • Upinzani dhidi ya serikali waongezeka nchini Sudan

    Upinzani dhidi ya serikali waongezeka nchini Sudan

    Nov 26, 2016 00:24

    Upinzani dhidi ya serikali ya Rais Omar Hassan al-Bashir wa Sudan unaripotiwa kuongezeka huku polisi na vikosi vya usalama vya nchi hiyo vikitumia mabavu kukabiliana na upinzani huo.

  • Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Sudan yawatia nguvuni viongozi wanne wakuu wa upinzani

    Nov 24, 2016 10:06

    Serikali ya Sudan imewakamata viongozi wanne mashuhuri wa upinzani nchini humo akiwemo mwanasiasa mkongwe Sadiq Youssef.

  • Madaktari wasimamisha mgomo wao nchini Sudan

    Madaktari wasimamisha mgomo wao nchini Sudan

    Nov 23, 2016 11:33

    Mgomo wa nchi nzima wa madaktari huko Sudan umesitishwa kwa muda baada ya vyombo vya dola kuwaachilia huru madaktari wawili waliokuwa wametiwa mbaroni kwa tuhuma za kushiriki katika mgomo wa kuipinga serikali.

  • Asasi za kiraia nchini Sudan zasisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Asasi za kiraia nchini Sudan zasisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali

    Nov 21, 2016 10:57

    Asasi za kiraia nchini Sudan, zimesisitizia kuendeleza maandamano dhidi ya serikali juu ya siasa zake mbovu katika kupandisha bei ya mafuta nchini.

  • Migomo na maandamano yaongezeka Sudan, sasa ni zamu ya madaktari, wauguzi

    Migomo na maandamano yaongezeka Sudan, sasa ni zamu ya madaktari, wauguzi

    Nov 20, 2016 00:20

    Madaktari nchini Sudan wameojiunga na matabaka mbalimbali ya nchi hiyo kupinga sera za serikali ya Rais Omar al Bashir na mwenendo wake wa kupuuza matakwa ya kisheria ya tabaka hilo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS