Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • HRW yataka Rais wa Sudan azuiwe kuingia Jordan au akamatwe

    HRW yataka Rais wa Sudan azuiwe kuingia Jordan au akamatwe

    Mar 26, 2017 22:13

    Shirika la kimataifa la Haki za Binadamu HRW limetaka Rais Omar al Bashir wa Sudan azuiwe kuingia nchini Jordan.

  • Safari ya Waziri Mkuu wa Libya nchini Sudan yaakhirishwa

    Safari ya Waziri Mkuu wa Libya nchini Sudan yaakhirishwa

    Mar 15, 2017 13:00

    Ziara ya Waziri Mkuu wa serikali ya umoja wa kitaifa ya Libya nchini Sudan imeakhirishwa kutokana na matukio ya kiusalama nchini humo.

  • Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Sudan

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wakimbilia Sudan

    Mar 13, 2017 03:28

    Maelfu ya raia wa Sudan Kusini wamekimbilia Sudan kutokana na matatizo mengi yanayoikabili nchi yao ukiwemo ukame.

  • Afrika Kusini yatakiwa ifike ICC kujieleza kwa kutomkamata rais Bashir wa Sudan

    Afrika Kusini yatakiwa ifike ICC kujieleza kwa kutomkamata rais Bashir wa Sudan

    Mar 08, 2017 12:24

    Afrika Kusini imetakiwa kufika katika Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC mwezi Aprili kujieleza baada ya kukataa kumkamata Rais Omar al Bashir wa Sudan alipotembelea nchi hiyo miaka miwili iliyopita.

  • AI: Kufanyike uchunguzi wa mashambulizi ya silaha za kemikali Darfur

    AI: Kufanyike uchunguzi wa mashambulizi ya silaha za kemikali Darfur

    Mar 07, 2017 12:11

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limetoa wito wa kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali yaliyofanywa na serikali ya Sudan dhidi ya raia katika eneo la Darful lililoko magharibi mwa nchi hiyo.

  • Sudan yawahukumu jela wanaharakati watatu wa haki za binadamu

    Sudan yawahukumu jela wanaharakati watatu wa haki za binadamu

    Mar 06, 2017 04:00

    Mahakama moja nchini Sudan imewahukumu wanaharakati watatu wa haki za binadamu kifungo cha mwaka mmoja jela kila mmoja baada ya kuwapata na hatia katika kesi iliyohusiana na ripoti za uwongo.

  • Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127

    Waasi Sudan wawaachia huru wafungwa 127

    Mar 06, 2017 00:30

    Waasi wanaopigana dhidi ya serikali katika maeneo ya kusini mwa Sudan wamewaachia huru mateka 127 huku jeshi la nchi hiyo likikaribisha hatua hiyo.

  • Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni

    Wanajeshi wa Sudan waachiliwa huru kwa upatanishi wa Rais Museveni

    Mar 05, 2017 04:09

    Waasi wa Harakati ya Wananchi ya Ukombozi wa Sudan wamewaachilia huru wanajeshi kadhaa wa nchi hiyo waliokuwa wanawashikilia mateka.

  • UNICEF: Watoto milioni 2 wa Sudan wanakabiliwa na utapiamlo

    UNICEF: Watoto milioni 2 wa Sudan wanakabiliwa na utapiamlo

    Feb 16, 2017 04:20

    Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa (UNICEF) umesema unahitaji dola milioni 110 za Marekani ili kuwanusuru mamia ya maelfu ya watoto ambao wako katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na utapiamlo nchini Sudan.

  • Sudan yakosoa sheria ya kibaguzi ya Trump dhidi ya Waislamu

    Sudan yakosoa sheria ya kibaguzi ya Trump dhidi ya Waislamu

    Jan 31, 2017 10:15

    Msuguano wa kidiplomasia kati ya Washington na Khartoum umeibuka tena baada ya Rais wa Marekani Donald Trump kupasisha sheria ya kuzuia raia wa Sudan na nchi nyingine 6 za Kiislamu kuingia nchini Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS