Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Mkuu wa chama cha upinzani Sudan asema yuko tayari kwa ajili ya amani

    Mkuu wa chama cha upinzani Sudan asema yuko tayari kwa ajili ya amani

    Jan 26, 2017 23:41

    Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani nchini Sudan amesema yuko tayari kujiunga na mchakato wa kurejesha amani na demokrasia nchini humo.

  • Indonesia: Tumeshangazwa na jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wetu

    Indonesia: Tumeshangazwa na jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wetu

    Jan 24, 2017 23:31

    Serikali ya Indonesia imetangaza kuwa, imeshangazwa na hatua ya jeshi la Sudan kuwatia mbaroni askari wa nchi hiyo na kwamba, kitendo hicho ni kinyume na sheria.

  • Serikali ya Sudan yafikia makubaliano ya amani na waasi

    Serikali ya Sudan yafikia makubaliano ya amani na waasi

    Jan 23, 2017 11:37

    Serikali ya Sudan imefikia makubaliano na kundi moja la waasi wa Darfur linalojiita Jeshi la Ukombozi wa Sudan ikiwa ni katika kalibu ya mwafaka wa amani ya Darfur uliotiwa saini mjini Doha Qatar.

  • Amnesty yaitaka Sudan iache kukiuka haki za wanafunzi wa Vyuo Vikuu

    Amnesty yaitaka Sudan iache kukiuka haki za wanafunzi wa Vyuo Vikuu

    Jan 18, 2017 23:27

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limeitaka serikali ya Sudan ikomeshe dhulma na ukandamizaji dhidi ya wanafunzi wa Vyuo Vikuu nchini humo na hususan katika jimbo la Darfur.

  • Sudan na Sudan Kusini zaafikiana kuhusu kusafirisha msaada wa kibinadamu

    Sudan na Sudan Kusini zaafikiana kuhusu kusafirisha msaada wa kibinadamu

    Jan 06, 2017 04:33

    Serikali za Sudan na Sudan Kusini zimerefusha muda wa makubaliano ya pamoja kuhusu Sudan Kusini kupokea misaada ya kibinadamu kupitia ardhi ya Sudan kwa miezi sita zaidi.

  • Sudan yaongeza muda wa usitishaji vita katika maeneo yenye mzozo

    Sudan yaongeza muda wa usitishaji vita katika maeneo yenye mzozo

    Jan 01, 2017 13:05

    Rais wa Sudan ametangaza kuongeza muda wa usitishaji vita kwa mwezi mmoja mwingine katika maeneo yanayozozaniwa nchini humo.

  • Wabunge Sudan warejesha nafasi ya waziri mkuu

    Wabunge Sudan warejesha nafasi ya waziri mkuu

    Dec 29, 2016 03:49

    Wabunge nchini Sudan wamepiga kura ya kubadilisha katiba ili nafasi ya waziri mkuu irejeshwa tena nchini humo baada ya miongo miwili.

  • Serikali ya Sudan yawaachilia huru wapinzani kadhaa wa kisiasa

    Serikali ya Sudan yawaachilia huru wapinzani kadhaa wa kisiasa

    Dec 27, 2016 01:12

    Wapinzani kadhaa wa kisiasa nchini Sudan wameachiliwa huru baada ya kushikiliwa na vyombo vya usalama kwa karibu miezi miwili kufuatia kile kilichoelezwa kuwa nia yao ya kutaka kufanya maandamano dhidi ya serikali.

  • Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yaongezeka

    Dec 19, 2016 11:20

    Maandamano dhidi ya serikali ya Sudan yameshadidi sambamba na mgomo wa nchi nzima.

  • Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Msaidizi wa Rais wa Sudan: Nchi inakabiliwa na matatizo mengi ya ndani na nje

    Dec 11, 2016 23:10

    Msaidizi wa ngazi ya juu wa Rais wa Sudan amekiri kuwa nchi hiyo inakabiliwa na matatizo ya ndani na nje.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS