Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan

    Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan

    Nov 06, 2016 09:56

    Malalamiko ya wananchi yameongezeka mjini Khartoum Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kupandisha bei ya nishati.

  • Wasiwasi wa kutokea ghasia watanda Sudan, bei ya nishati imeongezwa

    Wasiwasi wa kutokea ghasia watanda Sudan, bei ya nishati imeongezwa

    Nov 05, 2016 03:16

    Kuongezwa kwa bei ya nishati nchini Sudan kumezidisha wasiwasi wa kutokea ghasia na maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya nchi hiyo.

  • Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani

    Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani

    Nov 01, 2016 11:08

    Serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuirefushia vikwazo Khartoum kwa muda wa mwaka mmoja mwingine.

  • Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan

    Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan

    Oct 07, 2016 02:30

    Misri na Sudan ni nchi mbili jirani zenye mivutano katika masuala mbalimbali. Mivutano hiyo imewafanya viongozi wa nchi hizo kukutana na kutiliana saini hati ya ushirikiano wa kiistratijia kama juhudi za kupunguza mivutano hiyo.

  • UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'

    UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'

    Oct 05, 2016 11:31

    Umoja wa Mataifa umeitaka Sudan ieleze msimamo wake kuhusu madai ya kutumiwa silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur.

  • Ripoti: Majeshi ya Sudan yametumia silaha za kemikali dhidi ya raia Darfur

    Ripoti: Majeshi ya Sudan yametumia silaha za kemikali dhidi ya raia Darfur

    Sep 29, 2016 04:10

    Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limevituhumu vikosi vya serikali ya Sudan kwamba, vimetumia silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.

  • Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini

    Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini

    Sep 28, 2016 03:39

    Serikali ya Sudan imesema kuwa inaunga mkono kutumwa wanajeshi wa kulinda amani wa Kiafrika huko Sudan Kusini.

  • Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne

    Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne

    Sep 22, 2016 00:48

    Sudan imetangaza kuwa inawahifadhi wakimbizi wa Sudan Kusini karibu laki nne ambao wamelazimika kuikimbia nchi yao kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

  • Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini

    Sep 21, 2016 10:31

    Duru za nchini Sudan zimekosoa upuuzaji unaofanywa na Sudan Kusini katika kuwadhibiti waasi waliopo katika maeneo ya mipaka ya nchi mbili hizo.

  • Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini

    Aug 24, 2016 10:50

    Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS