-
Malalamiko ya wananchi yaongezeka nchini Sudan
Nov 06, 2016 09:56Malalamiko ya wananchi yameongezeka mjini Khartoum Sudan baada ya serikali ya nchi hiyo kupandisha bei ya nishati.
-
Wasiwasi wa kutokea ghasia watanda Sudan, bei ya nishati imeongezwa
Nov 05, 2016 03:16Kuongezwa kwa bei ya nishati nchini Sudan kumezidisha wasiwasi wa kutokea ghasia na maandamano ya wananchi dhidi ya serikali ya nchi hiyo.
-
Sudan yakosoa kurefushwa vikwazo dhidi yake na Marekani
Nov 01, 2016 11:08Serikali ya Sudan imekosoa vikali hatua ya Marekani ya kuirefushia vikwazo Khartoum kwa muda wa mwaka mmoja mwingine.
-
Mazungumzo ya Marais wa Misri na Sudan
Oct 07, 2016 02:30Misri na Sudan ni nchi mbili jirani zenye mivutano katika masuala mbalimbali. Mivutano hiyo imewafanya viongozi wa nchi hizo kukutana na kutiliana saini hati ya ushirikiano wa kiistratijia kama juhudi za kupunguza mivutano hiyo.
-
UN: Sudan izungumzie 'kutumiwa silaha za kemikali Darfur'
Oct 05, 2016 11:31Umoja wa Mataifa umeitaka Sudan ieleze msimamo wake kuhusu madai ya kutumiwa silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur.
-
Ripoti: Majeshi ya Sudan yametumia silaha za kemikali dhidi ya raia Darfur
Sep 29, 2016 04:10Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International limevituhumu vikosi vya serikali ya Sudan kwamba, vimetumia silaha za kemikali dhidi ya raia katika jimbo la Darfur magharibi mwa nchi hiyo.
-
Sudan yaunga mkono kutumwa wanajeshi wa Kiafrika nchini Sudan Kusini
Sep 28, 2016 03:39Serikali ya Sudan imesema kuwa inaunga mkono kutumwa wanajeshi wa kulinda amani wa Kiafrika huko Sudan Kusini.
-
Sudan inawahifadhi wakimbizi wa S/Kusini karibu laki nne
Sep 22, 2016 00:48Sudan imetangaza kuwa inawahifadhi wakimbizi wa Sudan Kusini karibu laki nne ambao wamelazimika kuikimbia nchi yao kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe.
-
Mivutano ya kisiasa yaongezeka kati ya Sudan na Sudan Kusini
Sep 21, 2016 10:31Duru za nchini Sudan zimekosoa upuuzaji unaofanywa na Sudan Kusini katika kuwadhibiti waasi waliopo katika maeneo ya mipaka ya nchi mbili hizo.
-
Sudan: Ni matumaini yetu amani itapatikana karibuni hivi Sudan Kusini
Aug 24, 2016 10:50Waziri wa Habari wa Sudan amesisitizia wajibu wa kufanywa juhudi za makusudi za kukomesha mapigano ya silaha nchini Sudan Kusini na kutatuliwa mgogoro wa nchi hiyo kwa njia ya mazungumzo.