-
Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan
Oct 27, 2024 07:40Mashambulizi yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko kaskazini na mashariki mwa jimbo la Gezira nchini Sudan yametajwa na taasisi ya kieneo ya Gezira Conference kuwa ni mauaji ya halaiki.
-
Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi
Oct 24, 2024 02:47Sudan imezishutumu nchi za Magharibi kwa kuingiza siasa katika suala la misaada ya kibinadamu na kulilaumu jeshi la Sudan na serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika kwa 'kuzuia misaada.'
-
Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan
Oct 23, 2024 06:38Takriban raia 46 wameuawa huku wengine 44 wajeruhiwa katika siku mbili za mapigano kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha Radimali ya Haraka (RSF) katika majimbo ya Khartoum na Al-Jazira.
-
Jeshi la Sudan lafanya mashambulizi ili kudhibiti mji wa Khartoum
Sep 26, 2024 08:11Jeshi la Sudan leo Alhamisi limefanya mashambulizi ya anga na ya mizinga katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum katika operesheni iliyotajwa kuwa kubwa zaidi ya kudhibiti mji huo mkuu tangu kuanza vita kati yake na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) miezi 17 iliyopita.
-
Guterres asikitishwa pakubwa na hali ya mambo ya al Fasher; Sudan
Sep 22, 2024 04:24Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa "amesikitishwa sana" na ripoti za mashambulizi makubwa yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa al Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur, Kaskazini mwa Sudan. Haya yameelezwa na Msemaji wa Antonio Guterres, Stephane Dujarric.
-
Watu 40 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa RSF Sudan
Sep 16, 2024 08:33Makumi ya raia wameuawa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika kijiji kimoja katikati mwa Sudan.
-
Mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF yaua takriban raia 21 katikati mwa Sudan
Sep 09, 2024 07:07Raia wasiopungua 21 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya wanamgambo wa kikosi cha radiamali ya haraka (RSF) kuvurumisha makombora sokoni katika mji wa Sinnar katikati mwa Sudan.
-
Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa
Sep 08, 2024 08:33Sudan imekadhibisha ripoti mpya ya Jopo Huru la Umoja wa Mataifa la Kutafuta Ukweli, ambayo inazituhumu pande zinazozozana nchini humo kwa kufanya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ambao unaweza kuwa uhalifu wa kivita.
-
Bwawa laporomoka na kuua watu zaidi ya 60 nchini Sudan
Aug 26, 2024 07:34Kwa akali watu 60 wameripotiwa kufariki dunia baada ya bwawa moja kuvunjika huko mashariki mwa Sudan kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini humo.
-
Malori ya misaada yawasili Sudan baada ya kukwama kwa miezi kadhaa
Aug 22, 2024 08:31Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa zaidi ya malori 12 kutoka mashirika ya misaada yamevuka mpaka na kuingia Sudan kupitia kivuko cha Adre katika mpaka na Chad ili kuleta misaada kwa ajili ya raia walioathiriwa na njaa katika jimbo la Darfur.