Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan

    Wanamgambo wa RSF watuhumiwa kwa 'mauaji ya halaiki' katika jimbo la Gezira, Sudan

    Oct 27, 2024 07:40

    Mashambulizi yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) huko kaskazini na mashariki mwa jimbo la Gezira nchini Sudan yametajwa na taasisi ya kieneo ya Gezira Conference kuwa ni mauaji ya halaiki.

  • Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi

    Sudan: Madai ya Wamagharibi dhidi yetu hayana msingi

    Oct 24, 2024 02:47

    Sudan imezishutumu nchi za Magharibi kwa kuingiza siasa katika suala la misaada ya kibinadamu na kulilaumu jeshi la Sudan na serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu ya kaskazini mwa Afrika kwa 'kuzuia misaada.'

  • Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan

    Raia 46 wauawa katika mapigano mapya nchini Sudan

    Oct 23, 2024 06:38

    Takriban raia 46 wameuawa huku wengine 44 wajeruhiwa katika siku mbili za mapigano kati ya jeshi la Sudan na Kikosi cha Radimali ya Haraka (RSF) katika majimbo ya Khartoum na Al-Jazira.

  • Jeshi la Sudan lafanya mashambulizi ili kudhibiti mji wa Khartoum

    Jeshi la Sudan lafanya mashambulizi ili kudhibiti mji wa Khartoum

    Sep 26, 2024 08:11

    Jeshi la Sudan leo Alhamisi limefanya mashambulizi ya anga na ya mizinga katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum katika operesheni iliyotajwa kuwa kubwa zaidi ya kudhibiti mji huo mkuu tangu kuanza vita kati yake na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) miezi 17 iliyopita.

  • Guterres asikitishwa pakubwa na hali ya mambo ya al Fasher; Sudan

    Guterres asikitishwa pakubwa na hali ya mambo ya al Fasher; Sudan

    Sep 22, 2024 04:24

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa "amesikitishwa sana" na ripoti za mashambulizi makubwa yaliyofanywa na Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa al Fasher, makao makuu ya Jimbo la Darfur, Kaskazini mwa Sudan. Haya yameelezwa na Msemaji wa Antonio Guterres, Stephane Dujarric.

  • Watu 40 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa RSF Sudan

    Watu 40 wauawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa RSF Sudan

    Sep 16, 2024 08:33

    Makumi ya raia wameuawa katika shambulio lililofanywa na wanamgambo wa Kikosi cha Msaada wa Haraka (RSF) katika kijiji kimoja katikati mwa Sudan.

  • Mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF yaua takriban raia 21 katikati mwa Sudan

    Mashambulizi ya makombora ya wanamgambo wa RSF yaua takriban raia 21 katikati mwa Sudan

    Sep 09, 2024 07:07

    Raia wasiopungua 21 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa baada ya wanamgambo wa kikosi cha radiamali ya haraka (RSF) kuvurumisha makombora sokoni katika mji wa Sinnar katikati mwa Sudan.

  • Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa

    Sudan yapinga ripoti ya Umoja wa Mataifa, yasema ni ya kisiasa

    Sep 08, 2024 08:33

    Sudan imekadhibisha ripoti mpya ya Jopo Huru la Umoja wa Mataifa la Kutafuta Ukweli, ambayo inazituhumu pande zinazozozana nchini humo kwa kufanya ukiukaji mkubwa wa haki za binadamu ambao unaweza kuwa uhalifu wa kivita.

  • Bwawa laporomoka na kuua watu zaidi ya 60 nchini Sudan

    Bwawa laporomoka na kuua watu zaidi ya 60 nchini Sudan

    Aug 26, 2024 07:34

    Kwa akali watu 60 wameripotiwa kufariki dunia baada ya bwawa moja kuvunjika huko mashariki mwa Sudan kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha nchini humo.

  • Malori ya misaada yawasili Sudan baada ya kukwama kwa miezi kadhaa

    Malori ya misaada yawasili Sudan baada ya kukwama kwa miezi kadhaa

    Aug 22, 2024 08:31

    Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa zaidi ya malori 12 kutoka mashirika ya misaada yamevuka mpaka na kuingia Sudan kupitia kivuko cha Adre katika mpaka na Chad ili kuleta misaada kwa ajili ya raia walioathiriwa na njaa katika  jimbo la Darfur.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS