Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Sudan yatangaza janga la kipindupindu baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo

    Sudan yatangaza janga la kipindupindu baada ya mvua kubwa kunyesha nchini humo

    Aug 18, 2024 03:34

    Waziri wa Afya wa Sudan ametangaza janga la kipindupindu nchini humo baada ya mvua kubwa kunyesha kwa wiki kadhaa.

  • Udhalilishaji wa kingono watumiwa kama silaha ya vita katika mzozo huko Sudan

    Udhalilishaji wa kingono watumiwa kama silaha ya vita katika mzozo huko Sudan

    Aug 17, 2024 22:58

    Pande husika katika vita vya ndani nchini Sudan zimetekeleza udhalilishaji wa kingono na vitendo vingine vya unyanyasaji kama silaha ya vita tangu kuanza mapigano ya ndani nchini humo mwezi Aprili mwaka jana.

  • Waliokufa kutokana na mvua, mafuriko Sudan wapindukia 50

    Waliokufa kutokana na mvua, mafuriko Sudan wapindukia 50

    Aug 11, 2024 04:04

    Watu zaidi ya 50 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 200 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa inayoendelea kunyesha na kusababisha mafuriko katika maeneo mbali mbali ya Sudan.

  • WHO: Vita vimefanya tuluthi 2 ya Wasudan washindwe kutafuta matibabu

    WHO: Vita vimefanya tuluthi 2 ya Wasudan washindwe kutafuta matibabu

    Aug 09, 2024 03:48

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema thuluthi mbili ya wananchi wote wa Sudan hawawezi kutafuta huduma za matibabu kutokana na mgogoro na vita vinavyoendelea kushuhudiwa nchini humo.

  • Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu

    Mafuriko kaskazini mwa Sudan yaua na kujeruhi makumi ya watu

    Aug 06, 2024 23:50

    Shirika rasmi la Habari la Sudan (SUNA) limeripoti kuwa watu 11 wamefariki dunia na wengine 60 kujeruhiwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha na kusababisha mafuriko katika mji wa Abu Hamad kaskazini mwa Sudan. Mvua hiyo imebomoa makumi ya nyumba huku timu za uokoaji zikiendelea kusaka watu waliotoweka na wengine walionasa chini ya vifusi.

  • FAO: Hatua za haraka zichukuliwe kukabiliana na njaa katika baadhi ya maeneo ya Darfur

    FAO: Hatua za haraka zichukuliwe kukabiliana na njaa katika baadhi ya maeneo ya Darfur

    Aug 05, 2024 23:26

    Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO) limetoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka baada ya tatizo la njaa kuyaathiri baadhi ya maeneo ya Darfur. Shirika la FAO limeeleza haya katika ripoti yake ya karibuni kuhusu tathmini ya usalama wa chakula.

  • Mkuu wa jeshi la Sudan Abdel-Fattah al Burhan anusurika katika jaribio la mauaji

    Mkuu wa jeshi la Sudan Abdel-Fattah al Burhan anusurika katika jaribio la mauaji

    Jul 31, 2024 08:19

    Jeshi la Sudan limetangaza kuwa kamanda wake mkuu, Jenerali Abdel-Fattah al Burhan amenusurika katika shambulio la ndege mbili sisizo na rubani (droni) katika hafla ya wahitimu wa jeshi. Watu watano wameuawa katika hujuma hiyo ya droni mashariki mwa Sudan.

  • HRW: Pande hasimu Sudan zimeshiriki katika ukatili mkubwa wa kijinsia

    HRW: Pande hasimu Sudan zimeshiriki katika ukatili mkubwa wa kijinsia

    Jul 29, 2024 22:59

    Pande zinazozozana huko Sudan zimeshiriki katika ukatili mkubwa wa kingono na kijinsia katika mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

  • Shambulio la RSF laua watu 22 el-Fasher, magharibi mwa Sudan

    Shambulio la RSF laua watu 22 el-Fasher, magharibi mwa Sudan

    Jul 28, 2024 03:23

    Kwa akali watu 22 wameuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa el-Fasher, jimboni Darfur, magharibi mwa Sudan.

  • Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan

    Mvua kubwa yazidisha mateso ya wakimbizi mashariki mwa Sudan

    Jul 27, 2024 03:32

    Mvua kubwa inayoendelea kunyesha huko mashariki mwa Sudan imezidisha mateso ya watu waliokimbia makazi yao haswa katika miji ya Gedaref, Kassala na Halfa Aj Jadeedah.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS