Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • MSF: Theluthi moja ya waliojeruhiwa vitani huko Sudan ni wanawake au watoto wadogo

    MSF: Theluthi moja ya waliojeruhiwa vitani huko Sudan ni wanawake au watoto wadogo

    Jul 17, 2024 09:39

    Baada ya kupita zaidi ya mwaka mmoja wa vita vya wenyewe kwa wenyewe huko Sudan, karibu theluthi moja ya waliojeruhiwa ni wanawake au watoto walio na umri wa chini ya miaka 10. Ripoti hii imeelezwa na Shirika la Misaada ya Kimatibabu la Madaktari Wasio na Mipaka (MSF).

  • Makundi ya kisiasa Sudan yakataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo

    Makundi ya kisiasa Sudan yakataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo

    Jul 08, 2024 03:37

    Mkutano wa makundi ya kisiasa na kiraia ya Sudan ulimalizika jana mjini Cairo, Misri ambapo vyama vya Sudan vilijadili njia za kutatua mgogoro wa ndani wa nchi hiyo, huku baadhi ya makundi yakikataa kutia saini taarifa ya mwisho ya mkutano wa Cairo.

  • Shambulio la RSF laua watu 8 wa familia moja msikitini Sudan

    Shambulio la RSF laua watu 8 wa familia moja msikitini Sudan

    Jul 02, 2024 02:40

    Watu wanane wa familia moja wameripotiwa kuuawa katika shambulio linalodaiwa kufanywa na wapiganaji wa kundi la Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) magharibi mwa Sudan.

  • Malik Agar: Kuporomoka kwa Sudan ni hatari kwa nchi zote za kanda hii

    Malik Agar: Kuporomoka kwa Sudan ni hatari kwa nchi zote za kanda hii

    Jul 02, 2024 00:41

    Malik Agar, Makamu wa Rais wa Baraza la Utawala wa Sudan, ameonya juu ya hatari ya kuporomoka kwa Sudan, ambayo haitakuwa kwa nchi hiyo pekee, bali athari zake mbaya zitaenea katika nchi jirani na kwingineko.

  • Watu  755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan

    Watu 755,000 wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula Sudan

    Jun 28, 2024 00:22

    Wataalamu na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Mataifa wameonya kuwa, mapigano yanayoendelea nchini Sudan baina ya wanajeshi wa serikali na wanamgambo wa Vikosi vya Msaada wa Haraka RSF yatapelekea watu 755,000 kuwajihiwa na baa la njaa na uhaba mkubwa wa chakula katika miezi michache ijayo.

  • Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Iran yashtushwa na kushtadi vita vya wenyewe kwa wenyewe Sudan

    Jun 12, 2024 22:57

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ameshtushwa na ripoti za kuogofya kuhusu idadi kubwa ya watu waliouawa kutokana na shambulio lililolenga kijiji cha Wad al-Nura katika jimbo la al-Jazeera nchini Sudan.

  • Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Rais wa Afrika Kusini: ANC itaunda serikali ya umoja wa kitaifa

    Jun 08, 2024 00:38

    Rais Cyril Ramaphosa wa Afrika Kusini ametangaza kuwa chama tawala cha African National Congress (ANC) kimekubali kuunda serikali ya umoja wa kitaifa baada ya kupoteza wingi wa kura katika uchaguzi wa wiki iliyopita.

  • Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Mapigano mapya yaripotiwa katika maeneo kadhaa ya Sudan

    Jun 03, 2024 07:57

    Watu kadhaa wanahofiwa kuuawa na kujeruhiwa baada ya kuzuka mapigano mapya kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na kundi la waasi wanaojulikana kama Kikosi cha Usaidizi wa Haraka (RSF) katika maeneo tofauti ya Sudan.

  • Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani

    Jeshi la Sudan lapuuzilia mbali mwito wa Marekani

    May 30, 2024 03:35

    Jeshi la Sudan limepinga mwito wa Marekani wa kurejea kwenye meza ya mazungumzo kati ya jeshi hilo na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF).

  • Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2

    Watu 120 wameuawa mjini el-Fasher, Sudan ndani ya wiki 2

    May 26, 2024 22:49

    Kwa akali watu 123 wameuawa katika kipindi cha wiki mbili zilizopita katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika mji wa el-Fasher, jimboni Darfur, magharibi mwa Sudan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS