Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC: Najisikia aibu hatujafanya kazi nzuri huko Sudan

    Mwendesha Mashtaka Mkuu wa ICC: Najisikia aibu hatujafanya kazi nzuri huko Sudan

    Sep 27, 2023 23:29

    Karim Khan, Mwendesha Mashtaka Mkuu wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amezungumza na televisheni ya France 24 pambizoni mwa Mkutano wa 78 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa huko New York akikiri kwamba taasisi hiyo haijafanya kazi nzuri kuhusiana na yanayojiri nchini Sudan.

  • OCHA: Mamilioni ya Wasudan wamekuwa wakimbizi kutokana na kuendelea vita na mapigano

    OCHA: Mamilioni ya Wasudan wamekuwa wakimbizi kutokana na kuendelea vita na mapigano

    Sep 23, 2023 23:45

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa mamilioni ya watu wamelazimika kuyahama makazi yao na kuwa wakimbizi kutokana na kuendelea vita na mapigano kati ya Jeshi na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF nchini Sudan.

  • Ethiopia: Tumeanza duru mpya ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu Bwawa Kuu la Renaissance

    Ethiopia: Tumeanza duru mpya ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu Bwawa Kuu la Renaissance

    Sep 23, 2023 10:38

    Ethiopia imesema imeanza duru ya pili ya mazungumzo na Misri na Sudan kuhusu bwawa lenye utata lililojengwa na nchi hiyo kwenye mto Nile na kuwa chanzo cha mvutano wa muda mrefu kati ya mataifa hayo matatu.

  • Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan

    Madhara ya kuendelea vita baina ya majenerali wa kijeshi nchini Sudan

    Sep 23, 2023 02:54

    Licha ya kupita miezi mingi, lakini ndio kwanza vita baina ya majenerali wa kijeshi vinaendelea nchini Sudan na hali ya kisiasa na kiuchumi ya nchi hiyo inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku. Cha kusikitisha ni kuwa pamoja na hali kuwa mbaya kiasi hicho, lakini bado pande hasimu zinaendelea kufanya ukaidi wa kutokubali kusimamisha mapigano.

  • Al-Burhan: Vita vya Sudan huenda vikaenea Afrika Mashariki

    Al-Burhan: Vita vya Sudan huenda vikaenea Afrika Mashariki

    Sep 23, 2023 00:34

    Jenerali Abdul Fattah al-Burhan, mkuu wa baraza la uongozi la Sudan ameuonya Umoja wa Mataifa kuwa, vita vinavyoendelea kushuhudiwa katika nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika yumkini vitatanuka zaidi na kuenea katika nchi za Afrika Mashariki.

  • Mgogoro wa Sudan wajadiliwa kwa kina katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Mgogoro wa Sudan wajadiliwa kwa kina katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Sep 20, 2023 23:16

    Kandoni mwa Kikao cha 78 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kumefanyika mkutano maalumu wa serikali na mashirika ya kimataifa ili kujadili mgogoro unaonedelea sasa nchini Sudan.

  • UN yashtushwa na vifo vya watoto katika kambi za wakimbizi Sudan

    UN yashtushwa na vifo vya watoto katika kambi za wakimbizi Sudan

    Sep 19, 2023 22:53

    Umoja wa Mataifa umesema watoto zaidi ya 1,200 wameaga dunia kutokana na ugonjwa wa surua na utapiamlo katika kambi za wakimbizi nchini Sudan.

  • Baraza Kuu la UN kujadili mgogoro wa Sudan kesho Jumatano

    Baraza Kuu la UN kujadili mgogoro wa Sudan kesho Jumatano

    Sep 19, 2023 09:53

    Jumatano wiki hii Septemba 20, kutakuwa na kikao maalumu kandoni mwa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa ili kukusanya misaada na kuonesha uungaji mkono kwa watu wa Sudan.

  • Mapigano makali yanaendelea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum

    Mapigano makali yanaendelea katika mji mkuu wa Sudan, Khartoum

    Sep 16, 2023 07:16

    Duru za habari nchini Sudan zimeripoti kuwa, mapigano makali yanaendelea kati ya vikosi vya Jeshi na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka, RSF.

  • Vikosi vya RSF kuunda serikali katika maeneo vinavyoyadhibiti

    Vikosi vya RSF kuunda serikali katika maeneo vinavyoyadhibiti

    Sep 15, 2023 08:32

    Vikosi vya Usaidizi wa Haraka vya Sudan (RSF) vimetishia kuunda mamlaka ya utawala katika maeneo yanayodhibitiwa na vikosi hivyo, iwapo 'maadui wao' wataunda serikali ya aina yoyote kwenye maeneo hayo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS