Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Sudan

  • Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa

    Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa

    Sep 15, 2023 02:23

    Vita nchini Sudan vingali vinaendelea na pande mbili zimeendelea kung'ang'ania misimamo yao hali ambayo imezifanya juhudi za kuhitimisha vita hivyo kutozaa matunda.

  • Mamia wauawa katika makabiliano ya kikabila Darfur, Sudan

    Mamia wauawa katika makabiliano ya kikabila Darfur, Sudan

    Sep 13, 2023 03:45

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Darfur Magharibi nchini Sudan.

  • Watu 40 wauawa katika hujuma za anga Khartoum, Sudan

    Watu 40 wauawa katika hujuma za anga Khartoum, Sudan

    Sep 10, 2023 07:13

    Watu wasiopungua 40 wameuawa katika mashambulizi ya anga kusini mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.

  • Kutolewa dikrii ya kufutiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan

    Kutolewa dikrii ya kufutiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan

    Sep 07, 2023 23:13

    Abd al-Fattah al-Barhan, Kamanda wa Jeshi na Mkuu wa Baraza Tawala la Sudan, ametoa dikrii ya kufuiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka kwa mujibu wa kipengee cha katiba ya nchi hiyo.

  • Dagalo ataka RSF iunganishwe na vikosi vya jeshi la Sudan

    Dagalo ataka RSF iunganishwe na vikosi vya jeshi la Sudan

    Sep 05, 2023 23:42

    Kamanda wa Vikosi vya Radiamali ya Haraka vya Sudan (RSF) amesema njia bora ya kuhitimisha mapigano nchini humo ni kuviunganisha vikosi hivyo na Jeshi la Sudan.

  • UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023

    Sep 05, 2023 07:24

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) linakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 1.8 watakuwa wameikimbia Sudan kutokana na mapigano ya silaha ya kuwania madaraka nchini humo, ambayo yamekuwa yakiendelea tangu Aprili 15 kati ya vikosi vya jeshi na vya Msaada wa Haraka RSF.

  • Kutunguliwa ndege ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka

    Kutunguliwa ndege ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka

    Sep 05, 2023 04:02

    Vikosi vya Radiamali ya Haraka vya Sudan vimetangaza kutungua ndege ya kivita ya jeshi la nchi hiyo.

  • Al Burhan atembelea Juba huku vita vikiendelea nchini Sudan

    Al Burhan atembelea Juba huku vita vikiendelea nchini Sudan

    Sep 04, 2023 09:27

    Rais wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, mapema leo alikuwa Juba, mji mkuu wa Sudan Kusini, kwa ziara rasmi ya siku moja, kujadili hali ya Sudan na uhusiano kati ya nchi hizo mbili, huku mapigano makali yakiendelea kuripotiwa nchini kwake.

  • Mgogoro wa Sudan umesababisha raia milioni 4.8 kuhama makazi yao

    Mgogoro wa Sudan umesababisha raia milioni 4.8 kuhama makazi yao

    Sep 03, 2023 03:45

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano makali yanayoendelea kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) yamelazimisha mamilioni ya watu katika nchi hiyo kuyahama makazi yao.

  • Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan

    Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan

    Aug 29, 2023 08:21

    Mkuu wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, leo Jumanne amewasili nchini Misri, katika ziara yake ya kwanza ya kigeni tangu kuanza mapigano ya ndani nchini Sudan yapata miezi 5 iliyopita, huku mapigano yakiendelea kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Khartoum na maeneo mengine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS