-
Kuendelea mgogoro wa Sudan; kujiuzulu mwakilishi wa Umoja wa Mataifa
Sep 15, 2023 02:23Vita nchini Sudan vingali vinaendelea na pande mbili zimeendelea kung'ang'ania misimamo yao hali ambayo imezifanya juhudi za kuhitimisha vita hivyo kutozaa matunda.
-
Mamia wauawa katika makabiliano ya kikabila Darfur, Sudan
Sep 13, 2023 03:45Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema mamia ya watu wameuawa katika mapigano ya kikabila katika eneo la Darfur Magharibi nchini Sudan.
-
Watu 40 wauawa katika hujuma za anga Khartoum, Sudan
Sep 10, 2023 07:13Watu wasiopungua 40 wameuawa katika mashambulizi ya anga kusini mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.
-
Kutolewa dikrii ya kufutiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka vya Sudan
Sep 07, 2023 23:13Abd al-Fattah al-Barhan, Kamanda wa Jeshi na Mkuu wa Baraza Tawala la Sudan, ametoa dikrii ya kufuiliwa mbali Vikosi vya Msaada wa Haraka kwa mujibu wa kipengee cha katiba ya nchi hiyo.
-
Dagalo ataka RSF iunganishwe na vikosi vya jeshi la Sudan
Sep 05, 2023 23:42Kamanda wa Vikosi vya Radiamali ya Haraka vya Sudan (RSF) amesema njia bora ya kuhitimisha mapigano nchini humo ni kuviunganisha vikosi hivyo na Jeshi la Sudan.
-
UN: Watu milioni 1.8 kuikimbia Sudan kufikia mwishoni mwa 2023
Sep 05, 2023 07:24Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) linakadiria kuwa zaidi ya watu milioni 1.8 watakuwa wameikimbia Sudan kutokana na mapigano ya silaha ya kuwania madaraka nchini humo, ambayo yamekuwa yakiendelea tangu Aprili 15 kati ya vikosi vya jeshi na vya Msaada wa Haraka RSF.
-
Kutunguliwa ndege ya jeshi la Sudan na vikosi vya radiamali ya haraka
Sep 05, 2023 04:02Vikosi vya Radiamali ya Haraka vya Sudan vimetangaza kutungua ndege ya kivita ya jeshi la nchi hiyo.
-
Al Burhan atembelea Juba huku vita vikiendelea nchini Sudan
Sep 04, 2023 09:27Rais wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, mapema leo alikuwa Juba, mji mkuu wa Sudan Kusini, kwa ziara rasmi ya siku moja, kujadili hali ya Sudan na uhusiano kati ya nchi hizo mbili, huku mapigano makali yakiendelea kuripotiwa nchini kwake.
-
Mgogoro wa Sudan umesababisha raia milioni 4.8 kuhama makazi yao
Sep 03, 2023 03:45Umoja wa Mataifa umesema mapigano makali yanayoendelea kati ya Jeshi la Sudan (SAF) na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) yamelazimisha mamilioni ya watu katika nchi hiyo kuyahama makazi yao.
-
Al Burhan akutana na al Sisi mjini Cairo katika safari ya kwanza nje ya nchi baada ya kuanza vita Sudan
Aug 29, 2023 08:21Mkuu wa Baraza la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah Al-Burhan, leo Jumanne amewasili nchini Misri, katika ziara yake ya kwanza ya kigeni tangu kuanza mapigano ya ndani nchini Sudan yapata miezi 5 iliyopita, huku mapigano yakiendelea kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) katika mji wa Khartoum na maeneo mengine.