-
Mkuu wa Jeshi la Sudan akataa kuzungumza na RSF, aahidi ushindi wa kishindo dhidi yake
Aug 29, 2023 03:47Mkuu wa jeshi la Sudan Jenerali Abdel Fattah al-Burhan amefutilia mbali suala la kufanya mazungumzo ya aina yoyote na kundi la wanamgambo hasimu wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF), na kuahidi kwamba jeshi litapata ushindi wa kishindo dhidi ya kundi hilo.
-
UN yatahadharisha kuhusu hatari ya maafa ya binadamu nchini Sudan
Aug 26, 2023 04:31Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na masuala ya kibinadamu amesema mzozo wa Sudan unaweza kulitumbukiza eneo zima kwenye maafa ya binadamu.
-
RSF yadai kwamba imeua wanajeshi 260 wa Sudan
Aug 23, 2023 06:51Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF) vimedai kuwa vimewaua mamia ya askari wa vikosi vya Jeshi la Sudan, huku mapigano baina ya pande mbili hizo yakishtadi.
-
UNICEF: Dola milioni 400 zinahitajika ili kutoa msaada kwa watoto milioni 9 wa Sudan
Aug 19, 2023 22:57Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) limetangaza kuwa linahitaji dola milioni 400 ili kutoa msaada kwa watoto milioni 9 kati ya watoto walio katika mazingira magumu zaidi nchini Sudan.
-
Mapigano makali yaripotiwa kusini mwa Khartoum baina ya jeshi la Sudan na kikosi cha RSF
Aug 14, 2023 00:30Duru za Sudan zinaripoti kuwa, mapigano makali yameshuhudiwa kusini mwa mji mkuu Khartoum baina ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Usaidizi wa Haraka (RSF).
-
Jarida la Wall Street: Imarati imetuma silaha kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko Sudan
Aug 11, 2023 04:26Jarida la Kimarekani la Wall Street Journal limefichua katika ripoti yake kwamba Umoja wa Falme za Kiarabu unatoa misaada ya kijeshi kwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF), vinavyopigana na jeshi la Sudan kwa miezi kadhaa sasa.
-
WHO: Asilimia 40 ya Wasudan wanasumbuliwa na njaa
Aug 10, 2023 22:49Shirika la Afya Dunia (WHO) limetangaza kuwa, asilimia 40 ya wananchi wa Sudan wakabiliwa na baa la njaa.
-
Amnesty International: Uhalifu wa kutisha wa kivita unafanyika nchini Sudan
Aug 04, 2023 08:39Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limesema katika ripoti yake mpya kwamba uhalifu mkubwa wa kivita unafanywa nchini Sudan, na kwamba raia kote nchini humo wanaishi katika hufo na woga "usiofikirika".
-
Hemedti atoa masharti kwa ajili ya kurejeshwa utulivu huko Sudan
Jul 29, 2023 04:21Kamanda wa Vikosi vya Usaidizi wa Haraka vya Sudan (RSF) ametaka kuuzuliwa kamanda wa jeshi la nchi hiyo ili kurejesha utulivu nchini humo.
-
Watu 16 wauawa katika mashambulizi mapya Khartoum, Sudan
Jul 26, 2023 02:41Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga na ardhini viungani mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.