-
Watoto 10 wapoteza maisha katika mlipuko Omdurman, Sudan
Mar 24, 2019 19:43Watoto wasipungua 10 wamepoteza maisha baada ya chombo kisichojulikana kulipuka katika mji wa Omdurman karibu na mji mkuu wa Sudan, Khartoum.
-
Maelfu ya watu wanahitaji kuokolewa Msumbiji baada ya kimbunga cha Idai
Mar 22, 2019 03:47Habari kutoka nchini Msumbiji zinasema kuwa, watu zaidi ya 15,000 wanahitaji kuokolewa haraka na kupewa hifadhi kufuatia kimbunga cha Idai kilichotokea hivi karibuni nchini humo na kusababisha vifo vya mamia ya watu.
-
Sudan na Sudan Kusini zakubaliana kufungua tena kivuko cha mpakani
Mar 19, 2019 03:13Kamati ya usalama wa kisiasa ya pamoja kati ya Sudan na Sudan Kusini imeafiki suala la kufungua tena kivuko cha mpakani kati ya nchi mbili hizo.
-
Maandamano dhidi ya Rais Omar al-Bashir yaendelea kushuhudiwa nchini Sudan
Mar 18, 2019 01:02Maelfu ya raia wa Sudan jana walifanya maandamano katika miji mbalimbali ya nchi hiyo wakisisitiza kutekelezwa takwa lao la kuondoka madarakani Rais Omar Hassan al-Bashir wa nchi hiyo.
-
Maandamano ya upinzani yaendelea Sudan sambamba na kuapishwa baraza jipya la mawaziri
Mar 15, 2019 04:13Wakati mawaziri wa serikali mpya iliyoundwa nchini Sudan wakiwa wanakula kiapo cha utiifu, mamia ya watu wameandamana katika miji miwili mikubwa ya nchi hiyo ya Khartoum na Omdurman.
-
Waziri Mkuu mpya wa Sudan aunda Baraza la Mawaziri likiwa na mabadiliko madogo mno
Mar 14, 2019 04:42Waziri Mkuu mpya wa Sudan ameunda baraza jipya la mawaziri lenye mabadiliko madogo mno kama moja ya njia ya kupunguza mashinikizo na malalamiko ya wananchi yanayoendelea kwa miezi kadhaa sasa nchini humo.
-
Muda wa hali ya hatari Sudan wapunguzwa huku maandamano yakishadidi
Mar 11, 2019 23:28Muda wa kutekelezwa sheria ya hali ya hatari nchini Sudan umepunguzwa kutoka mwaka mmoja na sasa ni miezi sita.
-
Wanawake 9 na viongozi wa upinzani wasukumwa jela Sudan
Mar 10, 2019 23:09Naibu Mwenyekiti wa chama cha upinzani cha Umma na binti ya kinara wa chama hicho ni miongoni mwa wanawake tisa wa upinzani waliohukumiwa kifungo jela kwa tuhuma za kukiuka sheria ya hali ya hatari nchini Sudan.
-
Rais al Bashir wa Sudan atoa amri ya kuwastaafisha maafisa wa jeshi
Mar 09, 2019 04:01Rais Omar al Bashir wa Sudan ametoa amri ya kuwastaafisha maafisa kadhaa wa jeshi la nchi hiyo.
-
Wasudan wafanya mgomo kumshinikiza Rais Bashir ajiuzulu
Mar 05, 2019 10:44Mgomo wa siku moja uliotishwa hii leo kwa ajili ya kumshinikiza Rais Omar al-Bashir wa Sudan aachie ngazi umelemaza shughuli za kila siku katika mji mkuu wa nchi hiyo Khartoum.