-
UNICEF yatahadharisha kuhusiana na hali mbaya ya watoto Sudan Kusini
Jan 20, 2018 23:41Mfuko wa Watoto wa Umoja wa Mataifa UNICEF umetahadharisha kuhusu hali mbaya inayowakabili watoto katika nchi changa ya Sudan Kusini.
-
Raia 700,000 wa Sudan Kusini walikimbia njaa, vita, magonjwa mwaka jana
Jan 19, 2018 10:27Ofisi ya Uratibu wa Masuala ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa OCHA imesema raia takriabani laki 7 wa Sudan Kusini walikimbilia nchi jirani kutokana na migogoro, njaa na magonjwa katika mwaka 2017.
-
Troika ya Magharibi yatuhumiwa kukiuka makubaliano ya amani ya Sudan Kusini
Jan 17, 2018 23:03Jeshi la Ukombozi wa Sudan Kusini limeituhumu Troika ya Magharibi inayozijumuisha Uingereza, Marekani na Norway kwa kukiuka mtawalia makubaliano ya amani ya nchi hiyo.
-
Mapigano mapya yaripotiwa karibu na mji mkuu wa Sudan Kusini
Jan 06, 2018 03:47Mapigano mapya kati ya jeshi na waasi yameripotiwa karibu na mji mkuu wa Sudan Kusini, Juba, siku chache baada ya kuvurugika kwa makubaliano ya amani yaliyosainiwa kati ya pande hasimu za kisiasa mjini Addis Ababa nchini Ethiopia.
-
IGAD yalaumu wanaovuruga mapatano mapya ya kusitisha vita Sudan Kusini
Dec 31, 2017 00:02Mwenyekiti wa baraza la mawaziri katika Shirika la Maendeleo la Kiserikali la Nchi za Afrika Mashariki IGAD amelaani kitendo cha kuvunjika kwa makubaliano yaliyosainiwa na pande zinazohasimiana nchini Sudan Kusini.
-
Mahasimu Sudan Kusini warushiana tuhuma, waagizwa kuheshimu mapatano ya amani
Dec 25, 2017 03:45Wakuu wa serikali ya Sudan Kusini na kundi kubwa zaidi la waasi wamerushiana lawama kuhusu kukiuka mapatano ya usitishwaji mapigano yaliyaonza kutekelezwa jana.
-
Kuanza kutekelezwa usitishaji vita nchini Sudan Kusini
Dec 24, 2017 10:11Utekelezaji wa usitishaji vita huko Sudan Kusini umeanza kutekelezwa kwa shabaha ya kuhitimisha vita vya ndani katika nchi hiyo changa zaidi barani Afrika kufuatia makubaliano yaliyofikiwa kati ya pande zinazozozana katika nchi hiyo.
-
Matumaini Sudan Kusini baada ya Machar kuamuru wafuasi wake wasitishe vita
Dec 23, 2017 23:56Matumaini ya amani Sudan Kusini yameimarika baada ya kiongozi wa waasi, Riek Machar kuamuru wapiganaji wake kuacha kupigana na wanajeshi wa serikali.
-
Wasiwasi wa Umoja wa Mataifa wa kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu Sudan Kusini
Dec 22, 2017 23:14Kundi la wataalamu wa Kamisheni ya Haki za Binadamu ya Umoja wa Mataifa limeelezea wasiwasi lilionao wa kuendelea vitendo vya utumiaji mabavu katika nchi ya Sudan Kusini.
-
Umoja wa Afrika wakaribisha makubaliano ya amani ya Sudan Kusini
Dec 22, 2017 11:42Umoja wa Afrika (AU) umetoa taarifa rasmi na kukaribisha kwa mikono miwili makubaliano ya amani yaliyofikiwa kati ya mahasimu wa kisiasa huko Sudan Kusini.