Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Iran yalaani hujuma za Israel nchini Syria

    Iran yalaani hujuma za Israel nchini Syria

    Apr 29, 2017 03:10

    Iran imelaani vikali hujuma za mara kwa mara za kijeshi za utawala haramu wa Israel katika ardhi ya Syria na kusema lengo ni kuwapa nguvu magaidi wa kitakfiri Syria ambao wanaendelea kudhoofishwa kila siku na jeshi la nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia kuhusu Syria

    Kuongezeka mivutano baina ya Marekani na Russia kuhusu Syria

    Apr 28, 2017 22:00

    Kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kilichofanyika Alkhamisi jioni katika makao makuu ya Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani, kimejikita kwenye hali ya kibinadamu katika nchi ya Syria iliyoharibiwa vibaya na vita.

  • Utawala haramu wa Israel hauna nafasi aktika mustakabali wa Mashariki ya Kati

    Utawala haramu wa Israel hauna nafasi aktika mustakabali wa Mashariki ya Kati

    Apr 28, 2017 10:10

    Katibu Mkuu wa Kongamano la Kimataifa la Kuunga Mkono Intifadha ya Palestina amesema: "Maadui hatimaye watasalimu amri kuhusu utatuzi wa kisiasa wa kadhia ya Syria na kwa yakini utawala haramu na wa kigaidi wa Israel hauna nafasi katika mustakabali wa Mashariki ya Kati."

  • Iran, Syria, Russia zalaani shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege Damascus

    Iran, Syria, Russia zalaani shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege Damascus

    Apr 28, 2017 03:01

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Syria na Russia zimelaani vikali shambulizi la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus jana alfajiri.

  • Wazayuni washambulia kwa makombora uwanja wa ndege Damascus, Syria

    Wazayuni washambulia kwa makombora uwanja wa ndege Damascus, Syria

    Apr 27, 2017 03:48

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel umefanya shambulizi la anga dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus nchini Syria, wiki tatu baada ya Marekani kutekeleza hujuma kama hiyo ya kichokozi.

  • Russia yasisitiza kuundwa muungano wa kimataifa wa kutegua mabomu huko Syria

    Russia yasisitiza kuundwa muungano wa kimataifa wa kutegua mabomu huko Syria

    Apr 26, 2017 08:46

    Russia imetaka kuundwa muungano wa kimataifa kwa ajili ya kutegua mabomu ya kutegwa ardhini huko Syria.

  • Damascus yajibu propaganda chafu za Washington kuhusu silaha za kemikali

    Damascus yajibu propaganda chafu za Washington kuhusu silaha za kemikali

    Apr 25, 2017 00:19

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Syria amekadhibisha propaganda chafu zinazoenezwa na vyombo vya habari vya Kimarekani na kusisitiza tena kwamba Syria haina aina yoyote ya silaha za kemikali.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ana imani na nafasi ya Syria katika kurejesha amani

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ana imani na nafasi ya Syria katika kurejesha amani

    Apr 24, 2017 06:47

    Antonio Guterres Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia ujumbe Rais Bashar al Assad wa Syria akimpongeza yeye na Wasyria wote kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya nchi hiyo.

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ampongeza Rais wa Syria katika maadhimisho ya Siku ya Taifa

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ampongeza Rais wa Syria katika maadhimisho ya Siku ya Taifa

    Apr 23, 2017 09:15

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amemtumia salamu za pongezi Rais Bashar al-Assad wa Syria kwa mnasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya nchi hiyo.

  • Lavrov: Russia, Iran, Hizbullah zitaendelea kuiunga mkono Syria kupambana na magaidi

    Lavrov: Russia, Iran, Hizbullah zitaendelea kuiunga mkono Syria kupambana na magaidi

    Apr 23, 2017 03:22

    Sergey Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametilia mkazo wajibu wa kubadilishwa misimamo ya nchi za Magharibi katika suala zima la kupambana na magenge ya kigaidi nchini Syria na kusema kuwa, Moscow, Tehran na Hizbullah zinaiunga mkono Damascus katika vita dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS