Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Assad: Magaidi wanapata himaya ya Marekani, wanatumia kila mbinu vitani Syria

    Assad: Magaidi wanapata himaya ya Marekani, wanatumia kila mbinu vitani Syria

    Apr 22, 2017 23:24

    Rais Bashar al Assad wa Syria amesema maadui wa taifa la Syria hasa magaidi wakufurishaji wanaopata himaya ya Marekani wanatumia kila mbinu katika vita vyao dhidi ya watu wa Syria.

  • Russia yailaumu Marekani kwa kukwamisha uchunguzi, Khan Shaykhun

    Russia yailaumu Marekani kwa kukwamisha uchunguzi, Khan Shaykhun

    Apr 22, 2017 02:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameeleza kusikitishwa na upinzani wa Marekani dhidi ya pendekezo lililotolewa na Moscow na Tehran kwa ajili ya kufanyika uchunguzi wa shambulizi la silaha za kemikali katika eneo la Khan Shaykhun nchini Syria.

  • Assad: Nchi za Magharibi zinazuia uchunguzi kuhusu

    Assad: Nchi za Magharibi zinazuia uchunguzi kuhusu

    Apr 21, 2017 02:33

    Rais Bashar la al-Assad wa Syria anasema nchi za Magharibi zinalenga kuzuia uchunguzi huru kuhusu kile kilichotajwa kuwa ni hujuma ya silaha za kemikali nchini humo hivi karibuni.

  • Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Al Jaafari: Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja

    Apr 20, 2017 23:44

    Mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, utawala wa Kizayuni wa Israel na ugaidi ni pande mbili za sarafu moja na amemlaumu vikali Nikolay Mladenov, mratibu maalumu wa umoja huyo katika mazungumzo ya mapatano ya Mashariki ya Kati kwa kudharau kutaja milima ya Golan ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Israel, katika ripoti yake kwa umoja huo.

  • HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    HRW yalaani shambulizi la Marekani dhidi ya msikiti nchini Syria

    Apr 18, 2017 11:03

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch limelaani shambulizi la anga la Marekani dhidi ya msikiti mmoja nchini Syria mwezi uliopita, ambapo makumi ya watu waliuawa.

  • Kikao cha wataalamu wa amani ya Syria chaanza mjini Tehran

    Kikao cha wataalamu wa amani ya Syria chaanza mjini Tehran

    Apr 18, 2017 03:41

    Kikao cha wataalamu wa masuala ya amani na utulivu wa Syria ambacho ni muendelezo wa mazungumzo ya amani ya Astana Kazakhstan, kimeanza leo Jumanne hapa mjini Tehran.

  • Mkutano wa kusaka amani Syria unafanyika Tehran

    Mkutano wa kusaka amani Syria unafanyika Tehran

    Apr 17, 2017 23:22

    Mkutano wa wataalamu kuhusu mazungumzo ya amani Syria unafanyika leo mjini Tehran, Iran katika fremu ya mchakato wa amani wa Astana, Kazakhstan.

  • Lavrov: Marekani imevuruga mchakato wa kisiasa wa Syria

    Lavrov: Marekani imevuruga mchakato wa kisiasa wa Syria

    Apr 17, 2017 09:21

    Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa mashambulizi ya makombora ya Marekani huko Syria yamekwamisha kutatuliwa mgogoro wa Syria kwa njia za kidiplomasia.

  • Wataalamu wanasema US ilitumia ripoti bandia kuishambulia Syria

    Wataalamu wanasema US ilitumia ripoti bandia kuishambulia Syria

    Apr 16, 2017 03:01

    Mtaalamu wa mada za kemikali wa Marekani amesema serikali ya Washington ilitumia ripoti bandia kutekeleza mashambulizi ya makombora ya tomahawk dhidi ya Syria.

  • Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya mabasi huko Aleppo, Syria

    Iran yalaani hujuma ya kigaidi dhidi ya mabasi huko Aleppo, Syria

    Apr 16, 2017 00:13

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali mashambulizi ya mabomu dhidi ya mabasi yaliyokuwa yanawahamisha watu kutoka vijiji ambavyo aghalabu ya wakazi wake ni Waislamu wa madhehebu ya Shia huko katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS