Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Iran yataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Iran yataka kufanyike uchunguzi wa kimataifa kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Apr 14, 2017 00:03

    Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) ametoa wito wa kuundwa timu ya kimataifa isiyopendelea upande wowote itakayochunguza matukio ya hivi karibuni nchini Syria na jinsi silaha za kemikali zilivyoingizwa nchini humo.

  • Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Lavrov: Magharibi inazuia kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Syria

    Apr 13, 2017 23:44

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa nchi za Magharibi zinazuia kufanyika uchunguzi wa kuweka wazi uhakika kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali nchini Syria.

  • Jeshi la Syria: Magaidi wangali wana silaha za kemikali na wanajiandaa kuzitumia tena

    Jeshi la Syria: Magaidi wangali wana silaha za kemikali na wanajiandaa kuzitumia tena

    Apr 13, 2017 12:04

    Kwa mara nyingine kamandi kuu ya Jeshi la Syria imetoa tahadhari ya uwezekano wa kutumiwa silaha za kemikali na makundi ya kigaidi dhidi ya raia wa kawaida nchini humo.

  • Russia yatumia kura ya turufu kupinga azimio dhidi ya Syria

    Russia yatumia kura ya turufu kupinga azimio dhidi ya Syria

    Apr 13, 2017 02:55

    Russia imetumia kura ya veto kupinga azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya Syria, lililoandaliwa kwa tuhuma bandia kwamba serikali ya nchi hiyo ya Kiarabu imetimua silaha za kemikali dhidi ya raia katika eneo la Khan Sheikhoun.

  • Iran, Russia na Syria zazungumzia mashambulizi ya US dhidi ya Damascus

    Iran, Russia na Syria zazungumzia mashambulizi ya US dhidi ya Damascus

    Apr 12, 2017 03:15

    Mawaziri wa ulinzi wa Iran, Russia na Syria wamefanya mazungumzo ya simu kuhusu mashambulizi ya makombora ya Marekani dhidi ya kituo cha kijeshi cha Syria, huku pande tatu hizo zikisisitizia umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wao katika vita dhidi ya ugaidi.

  • Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Amnesty yasema mashambulizi ya Marekani dhidi ya Syria ni ya jazba

    Apr 12, 2017 02:41

    Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limelaani vikali hatua ya Marekani ya kukishambulia kituo cha kijeshi cha Syria kwa makombora na kusisitiza kuwa 'mashambulizi hayo ya jazba' sio njia mbadala ya kufanyika uchunguzi wa kina juu ya mashambulizi ya silaha za kemikali katika eneo la Khan Sheikhoun.

  • Zarif: Uchunguzi wa kimataifa ufanyike kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Khan Sheikhoun

    Zarif: Uchunguzi wa kimataifa ufanyike kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali Khan Sheikhoun

    Apr 11, 2017 23:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo udharura wa kuundwa tume ya kimataifa ya kufanyika uchunguzi kuhusu mashambulizi ya silaha za kemikali yaliyolenga eneo la Khan Sheikhoun nchini Syria.

  • OIC yasema mgogoro wa Syria unahitaji suluhisho la kisiasa

    OIC yasema mgogoro wa Syria unahitaji suluhisho la kisiasa

    Apr 11, 2017 10:57

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiisalmu (OIC) amesema njia pekee ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria ni mazungumzo na mikakati ya kisiasa.

  • Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia

    Hujuma ya Marekani Syria inaweza sababisha vita vya nyuklia

    Apr 11, 2017 00:56

    Mbunge mmoja nchini Russia amelaani vikali hujuma ya hivi karibuni ya Marekani nchini Syria na kuonya kuwa hujuma hiyo yamkini ikaibua vita vya nyuklia duniani.

  • Rais Rouhani: Shambulio la Marekani Syria lilikuwa kwa ajili ya kufidia kushindwa kwa magaidi

    Rais Rouhani: Shambulio la Marekani Syria lilikuwa kwa ajili ya kufidia kushindwa kwa magaidi

    Apr 10, 2017 10:27

    Rais Hassan Rouhani amelaani shambulio la makombora lililofanywa na Marekani nchini Syria na kueleza kuwa: Shambulio hilo limefanywa kufidia kushindwa kwa magaidi nchini Syria na limewahamasisha magaidi hao kuendelea kufanya jinai zao nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS