-
Russia yakanusha kuuliwa wanajeshi wake Syria
Feb 05, 2017 23:12Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amekanusha ripoti iliyotolewa kuhusu kuuliwa wanajeshi wake huko Syria.
-
Jeshi la Syria lazidi kupata ushindi, lakomboa mamia ya kilomita mraba
Feb 05, 2017 01:15Tangu mwanzoni mwa mwezi Januari mwaka huu hadi hivi sasa, jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa zaidi ya maeneo 30 ya makazi ya raia kutoka kwa genge la Kizayuni na la wakufurishaji la Daesh (ISIS).
-
Hatimaye jeshi la Syria ladhibiti vyanzo vya maji vya mji wa Damascus
Jan 28, 2017 10:33Hatimaye jeshi la Syria limefanikiwa kudhibiti kikamilifu vyanzo vikuu vya maji ya mji mkuu wa nchi hiyo Damascus, katika mji wa Ain al-Fijah uliopo eneo la Wadi al-Bardi ambalo miezi michache iliyopita lilikaliwa kwa mabavu na magaidi wakufurishaji waliowafungia maji wananchi.
-
Uingereza yabadili siasa zake kuhusu Syria na Rais Bashar Assad
Jan 27, 2017 00:22Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza amekiri katika Kamati ya Masuala ya Kigeni ya Bunge la nchi hiyo kwamba London imebadili siasa zake kuhusiana na Syria.
-
Hatimaye usafiri wa treni waanza tena Aleppo, Syria baada ya miaka minne ya hujuma za magaidi
Jan 26, 2017 04:19Waziri wa Usafirishaji nchini Syria amesema kuwa, huduma za usafiri wa treni kati ya mashariki na magharibi mwa mji wa kibiashara wa Aleppo, kaskazini mwa nchi hiyo imeanza baada ya kusimama kwa kipindi cha miaka 4 tangu magaidi wakufurishaji walipouvamia mji huo.
-
Mazungumzo ya Astana; ubunifu wa kieneo kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria
Jan 23, 2017 09:47Mji mkuu wa Kazakhstan, Astana, leo na kesho ni mwenyeji wa mazungumzo ya Wasyria kwa Wasyria chini ya usimamizi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki.
-
Sheikh Naim Qassim: Hizbullah itaendelea kubakia Syria kadiri itakavyohitajika kufanya hivyo
Jan 20, 2017 12:15Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo itaendelea kubakia nchini Syria na kupambana na magaidi wa kitakfiri kadiri itakavyohitajika kufanya hivyo.
-
Marekani yaendelea kusaidia magenge ya kigaidi nchini Syria
Jan 18, 2017 23:27Huku juhudi za kuitisha mazungumzo ya amani ya Syria huko Astana mji mkuu wa Kazakhstan zikiendelea, vyombo vya habari vimetangaza kuwa, Marekani imeongeza misaada yake kwa magenge ya kigaidi yanayofanya mauaji dhidi ya raia na maafisa wa serikali ya Rais Bashar al Assad wa nchi hiyo.
-
Marekani yazidisha utumaji misaada ya silaha kwa makundi ya kigaidi nchini Syria
Jan 18, 2017 03:48Huku juhudi za kuandaa kikao cha Astana nchini Kazakhstan kwa ajili ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria zikiwa zinaendelea, duru za habari zimearifu kwamba serikali ya Marekani imeongeza kiwango cha utumaji misaada ya silaha kwa makundi ya kigaidi yanayopigana dhidi ya serikali ya Rais Bashar al-Assad wa Syria.
-
Syria yaapa kulipiza kisasi shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Mezzah
Jan 13, 2017 00:43Jeshi la Syria limetangaza kuwa utawala wa kizayuni wa Israel umeshambulia uwanja wa ndege wa kijeshi wa Mezzah ulioko magharibi mwa mji wa Damascus na kuutahadharisha utawala huo kuhusu taathira mbaya za shambulizi hilo.