-
Ndege za Marekani zaua raia wengine 11 Raqqah, Syria
Jan 07, 2017 23:42Raia 11 wasio na hatia wamepoteza maisha baada ya ndege za muungano vamizi wa kimataifa unaodai kupambana na Daesh na ambao unaongozwa na Marekani kufanya mashambulizi huko Raqqah, nchini Syria.
-
Jinai za kivita Syria na jukumu la Katibu Mkuu mpya wa UN
Jan 06, 2017 23:49Katika radiamali yake ya kwanza kabisa kuhusiana na mgogoro wa Syria katika kipindi cha katibu mkuu António Guterres, Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha magenge ya kigaidi cha kuwakatia maji wananchi wa Damascus Syria na kusema hiyo ni jinai ya kivita.
-
Muungano wa Marekani waharibu kwa makusudi miundombinu ya Syria
Jan 05, 2017 01:04Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa muungano unaoongozwa na Marekani unabomoa kwa makusudi miundombinu ya Syria.
-
Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria
Jan 04, 2017 04:09Ali Akbar Velayati, Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema hakuna siku Jamhuri ya Kiislamu itawatelekeza wananchi na serikali ya Syria.
-
Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria
Jan 03, 2017 03:46jeshi la Marekani limekiri kuwa makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.
-
Velayati: Wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo ya Astana
Jan 02, 2017 00:48Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratjia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo yajayo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo yaliyopangwa kufanyika katika mji mkuu wa Kazakhstan, Astana.
-
Rais Rouhani: Iran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria
Dec 31, 2016 13:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria na kusisitiza kwamba, kuna haja ya kuwa macho ili usitishaji vita huo usitumiwe kama fursa ya kujiimarisha makundi ya kigaidi.
-
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Syria wafanya mazungumzo mjini Tehran
Dec 31, 2016 11:36Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na kujadili masuala mbalimbali ya kieneo na kimatifa.
-
Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe
Dec 30, 2016 03:33Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah amesema wanamapambano wa muqawama wako nchini Syria katika fremu ya ushirikiano na serikali ya Damascus na kusisitiza kuwa wataendelea kubakia nchini humo hadi magaidi watakapotokomezwa kikamilifu.
-
Makubaliano ya kutekeleza usitishaji vita kote nchini Syria yafikiwa
Dec 29, 2016 11:04Komandi kuu ya vikosi vya ulinzi vya Syria imetangaza habari ya kufikiwa mapatano ya kusimamisha vita na kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano kote nchini Syria.