Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Ndege za Marekani zaua raia wengine 11 Raqqah, Syria

    Ndege za Marekani zaua raia wengine 11 Raqqah, Syria

    Jan 07, 2017 23:42

    Raia 11 wasio na hatia wamepoteza maisha baada ya ndege za muungano vamizi wa kimataifa unaodai kupambana na Daesh na ambao unaongozwa na Marekani kufanya mashambulizi huko Raqqah, nchini Syria.

  • Jinai za kivita Syria na jukumu la Katibu Mkuu mpya wa UN

    Jinai za kivita Syria na jukumu la Katibu Mkuu mpya wa UN

    Jan 06, 2017 23:49

    Katika radiamali yake ya kwanza kabisa kuhusiana na mgogoro wa Syria katika kipindi cha katibu mkuu António Guterres, Umoja wa Mataifa umelaani kitendo cha magenge ya kigaidi cha kuwakatia maji wananchi wa Damascus Syria na kusema hiyo ni jinai ya kivita.

  • Muungano wa Marekani waharibu kwa makusudi miundombinu ya Syria

    Muungano wa Marekani waharibu kwa makusudi miundombinu ya Syria

    Jan 05, 2017 01:04

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa muungano unaoongozwa na Marekani unabomoa kwa makusudi miundombinu ya Syria.

  • Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria

    Dakta Veleyati: Katu Iran haitolitelekeza taifa la Syria

    Jan 04, 2017 04:09

    Ali Akbar Velayati, Mshauri Mkuu wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Ali Khamenei amesema hakuna siku Jamhuri ya Kiislamu itawatelekeza wananchi na serikali ya Syria.

  • Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria

    Marekani yakiri kuuliwa raia katika mashambulizi huko Syria

    Jan 03, 2017 03:46

    jeshi la Marekani limekiri kuwa makumi ya raia wameuawa katika mashambulizi ya anga ya ndege za kivita za nchi hiyo huko Syria.

  • Velayati: Wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo ya Astana

    Velayati: Wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo ya Astana

    Jan 02, 2017 00:48

    Mkuu wa kituo cha utafiti wa kistratjia cha Halmashauri ya Kuainisha Maslahi ya Mfumo wa Kiislamu wa Iran amesema, wapinzani wabeba silaha wa Syria hawatoshirikishwa katika mazungumzo yajayo ya kutatua mgogoro wa nchi hiyo yaliyopangwa kufanyika katika mji mkuu wa Kazakhstan, Astana.

  • Rais Rouhani: Iran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria

    Rais Rouhani: Iran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria

    Dec 31, 2016 13:54

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran inakaribisha kwa mikono miwili usitishaji vita nchini Syria na kusisitiza kwamba, kuna haja ya kuwa macho ili usitishaji vita huo usitumiwe kama fursa ya kujiimarisha makundi ya kigaidi.

  • Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Syria wafanya mazungumzo mjini Tehran

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran na Syria wafanya mazungumzo mjini Tehran

    Dec 31, 2016 11:36

    Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Syria wamekutana na kufanya mazungumzo hapa mjini Tehran na kujadili masuala mbalimbali ya kieneo na kimatifa.

  • Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe

    Hizbullah: Tutabakia Syria hadi magaidi wote waangamizwe

    Dec 30, 2016 03:33

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah amesema wanamapambano wa muqawama wako nchini Syria katika fremu ya ushirikiano na serikali ya Damascus na kusisitiza kuwa wataendelea kubakia nchini humo hadi magaidi watakapotokomezwa kikamilifu.

  • Makubaliano ya kutekeleza usitishaji vita  kote nchini Syria yafikiwa

    Makubaliano ya kutekeleza usitishaji vita kote nchini Syria yafikiwa

    Dec 29, 2016 11:04

    Komandi kuu ya vikosi vya ulinzi vya Syria imetangaza habari ya kufikiwa mapatano ya kusimamisha vita na kutekeleza makubaliano ya kusitisha mapigano kote nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS