-
Guterres: Mgogoro wa Syria ni saratani ya kimataifa
Dec 29, 2016 03:41Katibu Mkuu mteule wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mgogoro wa Syria umegeuka na kuwa 'saratani ya kimataifa.'
-
Syria yaendeleza oparesheni dhidi ya magaidi karibu na Damascus
Dec 27, 2016 23:21Jeshi la Syria limeanzisha oparesheni kali ya kuwapokonya magaidi udhibiti wa eneo la kistratijia karibu na Damascus ambalo lina chemichemi ambayo maji yake yanatumika katika mji mkuu huo.
-
Iran yatuma misaada zaidi ya kibinaadamu Aleppo, Syria
Dec 27, 2016 11:49Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetuma shehena zingine mbili za misaada ya kibinadamu katika mji wa Aleppo (Halab) uliokombolewa hivi karibuni kutoka mikononi mwa magaidi wakufurishaji.
-
Saudia inaendelea kutoa misaada ya kifedha kwa magaidi Syria
Dec 27, 2016 11:17Saudia Arabia hivi karibuni imetoa msaada mwingine wa Riali Milioni 100 za Kisaudi ($ Milioni 26.5) kwa ajili ya magaidi nchini Syria.
-
Iran na Russia; juhudi za kidiplomasia za kuanzisha mazungumzo ya kisiasa kuhusu Syria
Dec 25, 2016 09:28Jitihada za kidiplomasia zinafanyika tena kwa ajili ya kuanzisha mazungumzo ya kisiasa huko Syria baada ya kukombolewa mji wa kistratejia wa Halab (Aleppo) kutoka mikononi mwa magaidi wa Daesh.
-
Russia kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria
Dec 24, 2016 12:14Mbunge mmoja wa Russia amesema kuwa, Moscow imeamua kuimarisha nguvu zake za kijeshi nchini Syria.
-
Putin ampongeza Bashar Assad kwa kukombolewa kikamilifu Aleppo
Dec 23, 2016 23:37Rais Vladimir Putin wa Russia amempigia simu mwenzake wa Syria, Bashar al-Assad, na kumpongeza kutokana na kukombolewa kikamilifu mji wa Aleppo (Halab), uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria.
-
Ayatullah Siddiqi: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Waislamu wote duniani
Dec 23, 2016 12:55Khatibu wa Sala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amepongeza wanajeshi wa Syria na vikosi vya vya kujitolea vya wananchi kwa kuukomboa mji wa Aleppo (Halab) uliokuwa ukishikiliwa na magaidi huko kaskazini mwa Syria, na kubainisha kuwa, ushindi huo sio tu wa taifa la Syria bali ni ushindi pia kwa Waislamu wote duniani.
-
Ndege za kivita za Uturuki zauwa raia kaskazini mwa Syria
Dec 23, 2016 03:18Makumi ya raia wameuliwa katika mashambulizi ya ndege za kivita za Uturuki kaskazini mwa Syria.
-
Magaidi wasafishwa kikamilifu katika mji wa Halab Syria, wananchi washerehekea + Video
Dec 23, 2016 00:35Mji wa Halab yaani Aleppo huko kaskazini mwa Syria hivi sasa umesafishwa kikamilifu baada ya magaidi kufurushwa katika mji huo baada ya kuteka baadhi ya maeneo yake na kufanya jinai kwa muda wa zaidi ya miaka minne.