-
Assad: Kukombolewa Aleppo ni ushindi kwa Syria, Iran na Russia
Dec 22, 2016 11:15Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kukombolewa kikamilifu mji wa kistratejia wa Aleppo (Halab), kaskazini magharibi mwa nchi ni ushindi mkubwa sio tu kwa taifa hilo, bali pia kwa Iran na Russia.
-
Syria yataja majina ya maafisa wa kigeni iliowatia mbaroni Halab; wamo Wamarekani, Wazayuni, Wasaudia
Dec 21, 2016 05:08Jeshi la Syria limefanikiwa kuwatia mbaroni maafisa wengi wa kigeni waliokuwa wanashirikiana na magaidi kufanya jinai dhidi ya wananchi na maafisa wa serikali ya nchi hiyo, huko mashariki mwa mji uliokombolewa wa Halab.
-
Dakta Zarif: Iran, Russia na Uturuki zimesisitiza juu ya kuhifadhiwa ardhi yote ya Syria
Dec 21, 2016 03:45Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kikao cha pande tatu cha Iran, Russia na Uturuki kilichofanyika Moscow mji mkuu wa Russia kimesisitiza juu ya kuhitimishwa mgogoro wa Syria kupitia mazungumzo ya kisiasa.
-
Rais Rouhani asisitiza kuimarishwa ushirikiano wa Iran na Russia katika kuwasaidia wananchi wa Syria
Dec 20, 2016 00:43Marais wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuwasaidia wananchi wa Syria.
-
Ayatullah Amoli Larijani: Syria si mahala salama tena kwa magaidi
Dec 19, 2016 23:36Mkuu wa Vyombo vya Mahakama nchini Iran amesema kuwa, Syria si mahala salama tena kwa magaidi na waungaji mkono wao wa Mashariki ya Kati na wa nje ya eneo hili.
-
Maeneo ya Halab nchini Syria yazidi kupata utulivu
Dec 19, 2016 00:54Mji wa Halab wa kaskazini mwa Syria umezidi kuwa na utulivu baada ya makundi ya kigaidi kufurushwa mjini humo.
-
Mufti Mkuu wa Syria aishukuru Iran kwa misaada yake
Dec 15, 2016 10:48Mufti Mkuu wa Syria ameishukuru Iran kwa misaada yake kwa wakazi wa mji wa Halab (Aleppo) kaskazini mwa Syria.
-
Marekani, mhusika wa kujitokeza ugaidi katika Mashariki ya Kati
Dec 15, 2016 08:11Vitalin Churkin, balozi na mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amesema uingiliaji wa Marekani katika nchi za Iraq na Syria ndio uliosababisha kujitokeza Daesh na ugaidi katika eneo la Mashariki ya Kati. Churkin aidha amesema Uingereza na Ufaransa ni washirika wa jinai za Marekani katika kuvuruga amani Mashariki ya Kati.
-
Kukombolewa Halab ni ushindi mkubwa na wa kistratejia
Dec 15, 2016 00:37Kufuatia kukombolewa kikamilifu mji wa Halab au kwa jina jingine Aleppo kutoka mikononi mwa magaidi wa kitakfiri, wakazi wa mji huo siku ya Jumanne walimiminika mabarabarani na mitaani kusherehekea kwa vifijo na nderemo ushindi huo mkubwa na wa kistratijia.
-
Assad: Wamagharibi wanawapa himaya magaidi na sio raia
Dec 15, 2016 00:52Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema serikali za nchi za Magharibi zinawapa himaya na kuwakingia kifua magaidi wanaofanya jinai nchini humo na wala hazijali hali ya raia wa kawaida wa nchi hiyo.