-
Hatimaye mji wa Aleppo nchini Syria wakombolewa kikamilifu
Dec 13, 2016 01:02Hatimaye wanajeshi wa Syria wakishirikiana na wanamapambano wa kujitolea wameukomboa kikamilifu mji wa Aleppo (Halab).
-
Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo
Dec 12, 2016 03:48Serikali ya Russia imekanusha ripoti za kipropaganda zinazodai kuwa nchi hiyo imesaini mapatano na Marekani ya kuwapa kinga na msamaha magaidi waliosalia katika mji wa Aleppo nchini Syria.
-
Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria
Dec 11, 2016 11:19Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesifu na kupongeza ushindi muhimu wa kimuqawama katika mji wa Halab (Aleppo) huko Syria.
-
Syria yalaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa
Dec 10, 2016 04:00Syria imelaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalotaka kusimamishwa "mara moja" mapambano dhidi ya makundi yanayobeba silaha ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jeshi la Syria laendeleza mashambulizi dhidi ya magaidi huko Halab
Dec 09, 2016 10:49Duru za Syria zimearifu kuwa jeshi la nchi hiyo limeendelea kuwashambulia magaidi ili kuukomboa kikamilifu mji wa kihistoria wa Halab yaani Aleppo.
-
Ulinzi waimarishwa katika mpaka wa Iraq na Syria
Dec 09, 2016 04:09Duru za usalama nchini Iraq zimetangaza kuwa, usalama umeimarishwa katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.
-
Bashar Assad asisitiza kushindwa njama za Magharibi huko Syria na katika eneo
Dec 08, 2016 07:47Akizungumza katika mahojiano na gazeti la Al Watan, Rais wa Syria amesema kuwa Halab au kwa jina jingine Aleppo ndilo tumaini la mwisho la magaidi nchini humo baada ya kushindwa kwao huko Damascus na Homs na kwamba kukombolewa kikamilifu mji huo kutabadili mwenendo wa vita huko Syria.
-
Assad: Kuikomboa Aleppo, hatua kubwa ya kumaliza vita Syria
Dec 08, 2016 01:05Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema iwapo jeshi la nchi hiyo litafanikiwa kuukomboa mji wa Aleppo, itakua ni hatua kubwa ya kuelekea kumaliza vita na harakati za kigaidi katika nchi hiyo.
-
Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul
Dec 06, 2016 04:14Vyombo vya kuaminika katika mkoa wa Nineveh huko kaskazini mwa Iraq vimeripoti kuwa, makamanda wa kundi la Daesh akiwemo kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakar al Baghdadi, wameukimbia mji wa Mosul na kuelekea katika maeneo ya mpaka wa Iraq na Syria.
-
Uingereza, Marekani zinawatumia magaidi misaada ya silaha
Dec 06, 2016 00:08Marekani na Uingereza zinapanga mikakati mipya kuhusu namna ya kuwafikishia silaha magaidi katika maeneo wanayoyadhibiti ya Aleppo au Halab nchini Syria.