Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Hatimaye mji wa Aleppo nchini Syria wakombolewa kikamilifu

    Hatimaye mji wa Aleppo nchini Syria wakombolewa kikamilifu

    Dec 13, 2016 01:02

    Hatimaye wanajeshi wa Syria wakishirikiana na wanamapambano wa kujitolea wameukomboa kikamilifu mji wa Aleppo (Halab).

  • Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo

    Russia: Hatujaafikiana chochote na US kuhusu magaidi wa Aleppo

    Dec 12, 2016 03:48

    Serikali ya Russia imekanusha ripoti za kipropaganda zinazodai kuwa nchi hiyo imesaini mapatano na Marekani ya kuwapa kinga na msamaha magaidi waliosalia katika mji wa Aleppo nchini Syria.

  • Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria

    Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria

    Dec 11, 2016 11:19

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesifu na kupongeza ushindi muhimu wa kimuqawama katika mji wa Halab (Aleppo) huko Syria.

  • Syria yalaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Syria yalaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa

    Dec 10, 2016 04:00

    Syria imelaani azimio la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa linalotaka kusimamishwa "mara moja" mapambano dhidi ya makundi yanayobeba silaha ndani ya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Jeshi la Syria laendeleza mashambulizi dhidi ya magaidi huko Halab

    Jeshi la Syria laendeleza mashambulizi dhidi ya magaidi huko Halab

    Dec 09, 2016 10:49

    Duru za Syria zimearifu kuwa jeshi la nchi hiyo limeendelea kuwashambulia magaidi ili kuukomboa kikamilifu mji wa kihistoria wa Halab yaani Aleppo.

  • Ulinzi waimarishwa katika mpaka wa Iraq na Syria

    Ulinzi waimarishwa katika mpaka wa Iraq na Syria

    Dec 09, 2016 04:09

    Duru za usalama nchini Iraq zimetangaza kuwa, usalama umeimarishwa katika mpaka wa nchi hiyo na Syria.

  • Bashar Assad asisitiza kushindwa njama za  Magharibi huko Syria na katika eneo

    Bashar Assad asisitiza kushindwa njama za Magharibi huko Syria na katika eneo

    Dec 08, 2016 07:47

    Akizungumza katika mahojiano na gazeti la Al Watan, Rais wa Syria amesema kuwa Halab au kwa jina jingine Aleppo ndilo tumaini la mwisho la magaidi nchini humo baada ya kushindwa kwao huko Damascus na Homs na kwamba kukombolewa kikamilifu mji huo kutabadili mwenendo wa vita huko Syria.

  • Assad: Kuikomboa Aleppo, hatua kubwa ya kumaliza vita Syria

    Assad: Kuikomboa Aleppo, hatua kubwa ya kumaliza vita Syria

    Dec 08, 2016 01:05

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema iwapo jeshi la nchi hiyo litafanikiwa kuukomboa mji wa Aleppo, itakua ni hatua kubwa ya kuelekea kumaliza vita na harakati za kigaidi katika nchi hiyo.

  • Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul

    Viongozi wa kundi la Daesh watoroka mji wa Mosul

    Dec 06, 2016 04:14

    Vyombo vya kuaminika katika mkoa wa Nineveh huko kaskazini mwa Iraq vimeripoti kuwa, makamanda wa kundi la Daesh akiwemo kiongozi wa kundi hilo, Abu Bakar al Baghdadi, wameukimbia mji wa Mosul na kuelekea katika maeneo ya mpaka wa Iraq na Syria.

  • Uingereza, Marekani zinawatumia magaidi misaada ya silaha

    Uingereza, Marekani zinawatumia magaidi misaada ya silaha

    Dec 06, 2016 00:08

    Marekani na Uingereza zinapanga mikakati mipya kuhusu namna ya kuwafikishia silaha magaidi katika maeneo wanayoyadhibiti ya Aleppo au Halab nchini Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS