Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Magaidi 50 waangamizwa na jeshi la Syria katika miji ya Idlib na Hama

    Magaidi 50 waangamizwa na jeshi la Syria katika miji ya Idlib na Hama

    Dec 05, 2016 04:38

    Magaidi wasiopungua 50 wameangamizwa nchini Syria kufuatia mashambulio ya kijeshi ya jeshi la nchi hiyo katika viunga vya miji ya Idlib na Hama.

  • Silaha za kisasa za Marekani mikononi mwa magenge ya kigaidi

    Silaha za kisasa za Marekani mikononi mwa magenge ya kigaidi

    Dec 05, 2016 03:04

    Habari kutoka nchini Marekani zinasema kuwa, bunge la nchi hiyo limeipa idhini Serikali kuyaimarisha kwa silaha za kisasa magenge ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Syria.

  • Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi

    Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi

    Dec 04, 2016 11:32

    Kikosi cha anga cha Syria kimefanya mashambulio makubwa dhidi ya ngome za kundi la kigaidi linalojulikana kama Jaish al-Fat'h katika maeneo ya kaskazini mwa mji wa Hama ulioko magharibi mwa nchi hiyo.

  • Madai ya makosa ya kibinadamu, mbinu kuu ya kuhalalisha jinai za Marekani

    Madai ya makosa ya kibinadamu, mbinu kuu ya kuhalalisha jinai za Marekani

    Dec 01, 2016 08:38

    Tume ya uchunguzi ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imekiri rasmi kuwa ndege za kivita za nchi hiyo zilishambulia maeneo ya wanajeshi wa Syria huko Deir ez-Zor, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria

    Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria

    Nov 30, 2016 04:22

    Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimevurumisha makombora manne katika maeneo mawili nchini Syria karibu na barabara inayounganisha mji mkuu wa Syria, Damascus na mji mkuu wa Lebanon, Beirut.

  • Syria yajibu madai ya nchi za Magharibi kuhusu silaha za kemikali

    Syria yajibu madai ya nchi za Magharibi kuhusu silaha za kemikali

    Nov 30, 2016 00:43

    Syria imekadhibisha madai yaliyotolewa na nchi za Magharibi zinazodai kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumia silaha za kemikali katika mapambano yake dhidi ya makundi ya kigaidi.

  • Askari watano wa Marekani wauawa kaskazini mashariki mwa Syria

    Askari watano wa Marekani wauawa kaskazini mashariki mwa Syria

    Nov 27, 2016 13:27

    Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanajeshi watano wa Marekani na wanamgambo wawili wa Kikurdi wameuawa katika kambi moja ya kijeshi inayomilikiwa na magenge ya kigaidi katika kiunga cha mji wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.

  • Moscow: Magharibi inanyamazia kimya utumiaji wa silaha za sumu wa magaidi Syria

    Moscow: Magharibi inanyamazia kimya utumiaji wa silaha za sumu wa magaidi Syria

    Nov 26, 2016 11:01

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezikosoa nchi za Magharibi kwa kunyamazia kimya vitendo vya makundi ya kigaidi vya kutumia silaha za kemikali nchini Syria.

  • Ndege za Marekani zashambulia kambi ya wakimbizi Syria, zaua watu kadhaa

    Ndege za Marekani zashambulia kambi ya wakimbizi Syria, zaua watu kadhaa

    Nov 25, 2016 01:24

    Raia kadhaa wa Syria waliokuwa wakiishi katika kambi ya wakimbizi eneo la Al-Raqqah, wamepoteza maisha yao katika shambulizi lililofanywa na ndege za kijeshi za Marekani dhidi yao.

  • Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria

    Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria

    Nov 22, 2016 13:04

    Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia mkazo uungaji mkono wa Russia kwa nchi yake katika nyanja tofauti hususan ya kiuchumi kwa ajili ya kupunguza machungu na mateso yanayowakabili wananchi wa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS