-
Magaidi 50 waangamizwa na jeshi la Syria katika miji ya Idlib na Hama
Dec 05, 2016 04:38Magaidi wasiopungua 50 wameangamizwa nchini Syria kufuatia mashambulio ya kijeshi ya jeshi la nchi hiyo katika viunga vya miji ya Idlib na Hama.
-
Silaha za kisasa za Marekani mikononi mwa magenge ya kigaidi
Dec 05, 2016 03:04Habari kutoka nchini Marekani zinasema kuwa, bunge la nchi hiyo limeipa idhini Serikali kuyaimarisha kwa silaha za kisasa magenge ya kigaidi yanayofanya mauaji nchini Syria.
-
Jeshi la Syria laendeleza operesheni za kijeshi dhidi ya magaidi
Dec 04, 2016 11:32Kikosi cha anga cha Syria kimefanya mashambulio makubwa dhidi ya ngome za kundi la kigaidi linalojulikana kama Jaish al-Fat'h katika maeneo ya kaskazini mwa mji wa Hama ulioko magharibi mwa nchi hiyo.
-
Madai ya makosa ya kibinadamu, mbinu kuu ya kuhalalisha jinai za Marekani
Dec 01, 2016 08:38Tume ya uchunguzi ya Wizara ya Ulinzi ya Marekani Pentagon imekiri rasmi kuwa ndege za kivita za nchi hiyo zilishambulia maeneo ya wanajeshi wa Syria huko Deir ez-Zor, mashariki mwa nchi hiyo.
-
Ndege za kivita za Israel zaihujumu Syria
Nov 30, 2016 04:22Ndege za kivita za utawala haramu wa Israel zimevurumisha makombora manne katika maeneo mawili nchini Syria karibu na barabara inayounganisha mji mkuu wa Syria, Damascus na mji mkuu wa Lebanon, Beirut.
-
Syria yajibu madai ya nchi za Magharibi kuhusu silaha za kemikali
Nov 30, 2016 00:43Syria imekadhibisha madai yaliyotolewa na nchi za Magharibi zinazodai kuwa, jeshi la nchi hiyo limetumia silaha za kemikali katika mapambano yake dhidi ya makundi ya kigaidi.
-
Askari watano wa Marekani wauawa kaskazini mashariki mwa Syria
Nov 27, 2016 13:27Vyombo vya habari vimeripoti kuwa, wanajeshi watano wa Marekani na wanamgambo wawili wa Kikurdi wameuawa katika kambi moja ya kijeshi inayomilikiwa na magenge ya kigaidi katika kiunga cha mji wa Hasakah, kaskazini mashariki mwa Syria.
-
Moscow: Magharibi inanyamazia kimya utumiaji wa silaha za sumu wa magaidi Syria
Nov 26, 2016 11:01Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amezikosoa nchi za Magharibi kwa kunyamazia kimya vitendo vya makundi ya kigaidi vya kutumia silaha za kemikali nchini Syria.
-
Ndege za Marekani zashambulia kambi ya wakimbizi Syria, zaua watu kadhaa
Nov 25, 2016 01:24Raia kadhaa wa Syria waliokuwa wakiishi katika kambi ya wakimbizi eneo la Al-Raqqah, wamepoteza maisha yao katika shambulizi lililofanywa na ndege za kijeshi za Marekani dhidi yao.
-
Rais Assad atilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Russia kwa Syria
Nov 22, 2016 13:04Rais Bashar al-Assad wa Syria ametilia mkazo uungaji mkono wa Russia kwa nchi yake katika nyanja tofauti hususan ya kiuchumi kwa ajili ya kupunguza machungu na mateso yanayowakabili wananchi wa Syria.