Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Russia: Marekani inafanya propaganda chafu kuhusu hospitali za Aleppo

    Russia: Marekani inafanya propaganda chafu kuhusu hospitali za Aleppo

    Nov 20, 2016 00:54

    Msemaji wa Wizara ya Ulinzi ya Russia amesema kuwa, madai ya kushambuliwa hospitali katika mji wa Aleppo nchini Syria ni wenzo wa kipropaganda unaotumiwa na Marekani dhidi ya serikali ya Moscow.

  • Rais Assad: Sina imani na Trump lakini akiwa na nia ya kweli ya kupambana na ugaidi, Syria itashirikiana naye

    Rais Assad: Sina imani na Trump lakini akiwa na nia ya kweli ya kupambana na ugaidi, Syria itashirikiana naye

    Nov 17, 2016 01:13

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, ikiwa Donald Trump, rais mteule wa Marekani atapambana kwa dhati na magaidi, basi serikali yake itashirikiana naye.

  • UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria

    UN yawasilisha mpango wa kuunusuru mji wa Aleppo, Syria

    Nov 11, 2016 11:51

    Mshauri wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa huko Syria amesema kuwa umoja huo umewasilisha mpango wenye vipengee vinne kwa ajili ya kuunusuru mji wa Aleppo kutoka katika udhibiti wa magaidi.

  • Syria: Jinai za magaidi zitakoma kwa kusimamishwa misaada wanayopata kutoka nje

    Syria: Jinai za magaidi zitakoma kwa kusimamishwa misaada wanayopata kutoka nje

    Nov 11, 2016 04:32

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imesema jinai za makundi ya kigaidi dhidi ya raia wasio na hatia wa nchi hiyo zitakoma pale tu utakapohitimishwa uungaji mkono na misaada kutoka nje inayotolewa kwa magaidi hao.

  • Zarif: Msaada wa kibinadamu kwa Yemen na Syria, jambo la dharura

    Zarif: Msaada wa kibinadamu kwa Yemen na Syria, jambo la dharura

    Nov 10, 2016 10:42

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema msaada wa kibinadamu kwa ajili ya watu wa Yemen na Syria ni jambo la dharura.

  • Putin: Syria ni uwanja wa kudhihirisha azma ya dunia ya kupambana na ugaidi

    Putin: Syria ni uwanja wa kudhihirisha azma ya dunia ya kupambana na ugaidi

    Nov 10, 2016 03:35

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa, Syria ni medani ya kuonesha azma na ustahiki wa jamii ya kimataifa kwa ajili ya kupambana na ugaidi.

  • Manowari za Russia kushambulia magaidi Aleppo, Syria

    Manowari za Russia kushambulia magaidi Aleppo, Syria

    Nov 09, 2016 04:37

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema hii leo vikosi vyake vya majini vitaanzisha operesheni kali ya kuangamiza magaidi katika mji wa Aleppo nchini Syria.

  • Zarif asisitiza kukomeshwa mauaji ya raia katika nchi za Syria na Yemen

    Zarif asisitiza kukomeshwa mauaji ya raia katika nchi za Syria na Yemen

    Nov 08, 2016 23:08

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametaka kukomeshwa mara moja mauaji ya raia katika nchi za Syria na Yemen.

  • Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqah Syria yaanza

    Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqah Syria yaanza

    Nov 07, 2016 00:46

    Askari wa chama cha Umoja wa Kidemokrasia cha Wakurdi wa Syria kimeanzisha operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqah wa kaskazini mwa Syria kutoka mikononi mwa genge la kigaidi la Daesh (ISIS).

  • Magaidi 500 wauawa, 1000 wajeruhiwa Aleppo chini ya masaa 24

    Magaidi 500 wauawa, 1000 wajeruhiwa Aleppo chini ya masaa 24

    Oct 30, 2016 03:43

    Mamia ya magaidi wameangamizwa na jeshi la Syria likishirikiana na vikosi vya kujitolea vya wananchi mjini Aleppo, kusini mashariki mwa nchi, chini ya masaa 24 yaliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS