-
Magaidi 600 wajisalimisha kwa jeshi la Syria
Oct 24, 2016 00:10Magaidi 600 na watu wenye silaha wamejisalimisha kwa jeshi la Syria magharibi mwa Damascus mji mkuu wa nchi hiyo.
-
Syria: Magaidi wanazuia raia kutoka mji wa Aleppo
Oct 21, 2016 10:23Balozi na mwakilishi wa kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh wanawazuia raia kuugura mji wa Aleppo, ambao kwa sasa unashuhudia makabiliano makali kati ya vikosi vya serikali na magenge ya kigaidi.
-
Mufti wa Syria awataka magaidi kujisalimisha huko Aleppo
Oct 21, 2016 01:12Mufti wa Syria amewataka magaidi walioko nchini humo kujisalimisha wenyewe kabla ya kuanza operesheni kubwa na ya pande zote ya jeshi la nchi hiyo ya kukomboa kikamilifu maeneo yote ya mji huo.
-
Russia yaionya Marekani dhidi ya kuwatoa magaidi Iraq hadi Syria
Oct 20, 2016 00:34Russia imeionya Marekani dhidi ya kuwafurusha wanachama wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh kutoka Iraq hadi Syria, katika mashambulizi yake ya kuukomboa mji wa Mosul, kaskazini mwa Iraq.
-
Assad: Mashambulizi ya Aleppo yanalenga kuwapa usalama raia
Oct 19, 2016 11:53Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwaangamiza magaidi katika mji wa Aleppo, kaskazini magharibi mwa nchi ndio chagua la pekee na la kisheria la kuwadhaminia usalama raia.
-
Rais Assad: Saudia ilinipa sharti la kukata uhusiano na Iran ili niwe muitifaki wake
Oct 15, 2016 04:54Rais Bashar al-Assad wa Syria amefichua kuwa, Saudi Arabia ilimpa sharti la kukata uhusiano na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ili iwe mwitifaki wake sanjari na kupata misaada yake.
-
Russia: Hatuna matumaini ya kufanikiwa mazungumzo ya Lausanne
Oct 15, 2016 00:27Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametabiri kuwa mazungumzo yatakayofanyika leo (Jumamosi) katika mji wa Lausanne nchini Uswisi kuhusu Syria hayatakuwa na natija ya maana.
-
Saudia ilishambulia kwa makusudi kikao cha maombolezo mjini Sanaa
Oct 12, 2016 00:36Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Saudi Arabia ilishambulia kwa makusudi kikao cha khitma na maombolezo mjini Sanaa ambapo mamia ya watu waliuawa na kujeruhiwa siku ya Jumamosi.
-
Magaidi wa Kiwahabi washambulia shule Syria, waua wanafunzi
Oct 11, 2016 11:50Magaidi wa Kiwahabi wamefanya shambulio dhidi ya shule moja kusini mwa Syria na kuua watoto kadhaa waliokuwa darasani.
-
Kuongezeka uungaji mkono wa Marekani kwa magaidi wa Syria
Oct 11, 2016 03:11Duru za habari zimeripoti kuwa, baada ya dola la kibeberu la Marekani kuwapatia magaidi wa Syria makombora ya Grad, hivi sasa Washington imeyapa magenge hayo makombora ya kutungulia ndege ya kubeba begani.