Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Mgogoro wa Syria na ukwamishaji wa viongozi wa Marekani

    Mgogoro wa Syria na ukwamishaji wa viongozi wa Marekani

    Oct 08, 2016 02:50

    Marekani imekuwa ikifanya njama mbalimbali za kukwamisha jitihada za kuutafutia ufumbuzi wa kisiasa mgogoro wa nchi ya Kiarabu ya Syria, suala ambalo limewafanya maafisa wa Umoja wa Mataifa washindwe kuvumilia na kuamua kuilalamikia Marekani kwa njama zake hizo.

  • Russia yaipatia Syria ngao ya ulinzi ya makombora ya S 300 kwa ajili ya kujilinda

    Russia yaipatia Syria ngao ya ulinzi ya makombora ya S 300 kwa ajili ya kujilinda

    Oct 04, 2016 11:36

    Duru za habari zimeripoti kujiri makabidhiano ya ngao ya ulinzi ya makombora ya S 300 kati ya Russia na serikali halali ya Syria. Viongozi wa Marekani wametangaza kuwa, tayari Russia imeikabidhi ngao hiyo ya makombora serikali ya Damascus.

  • Raia wa Syria watumiwa kama ngao ya binadamu

    Raia wa Syria watumiwa kama ngao ya binadamu

    Oct 03, 2016 23:27

    Raia zaidi ya 100 wameuawa huko Syria katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.

  • Magaidi wazidi kuangamizwa katika maeneo tofauti ya Syria

    Magaidi wazidi kuangamizwa katika maeneo tofauti ya Syria

    Oct 03, 2016 03:55

    Habari kutoka nchini Syria zinasema kuwa, makumi ya magaidi wanaendelea kuuawa katika mashambulizi ya jeshi la Syria na ndege za Russia.

  • Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Makumi wauawa na kujeruhiwa katika hujuma Aleppo Syria

    Oct 01, 2016 04:42

    Habari kutoka Syria zinasema kwa akali watu 18 wameuwa na makumi ya wengine wamejeruhiwa katika hujuma ya maroketi iliyotekelezwa na makundi ya kitakfiri katika eneo la makazi ya watu mjini Aleppo.

  • Sisitizo la Iran la kuendelea kuiunga mkono Syria katika kupambana na ugaidi

    Sisitizo la Iran la kuendelea kuiunga mkono Syria katika kupambana na ugaidi

    Sep 28, 2016 09:24

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaitakidi kuwa kulindwa umoja, mshikamano na ardhi yote ya nchi zote za Mashariki ya Kati ikiwemo Syria ni suala la msingi. Aidha ni jukumu lake kutoa msaada katika kupambana na ugaidi na kurejesha amani na usalama nchini Syria na kwamba kubadilishwa mipaka ya nchi hiyo hakuwezi kamwe kuwa na maslahi kwa eneo hili.

  • Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Nasrallah: Uwahhabi ni hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni

    Sep 27, 2016 10:38

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon, Hizbullah, amesema anaitazama itikadi ya misimamo mikali ya Uwahhabi kuwa hatari zaidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa

    Russia yakosoa vikali matamshi ya Marekani na Magharibi katika Umoja wa Mataifa

    Sep 26, 2016 11:02

    Russia imekosoa matamshi yaliyotolewa na Mabalozi wa Marekani, Uingereza na Ufaransa katika Umoja wa Mataifa kwa mashambulizi ya jeshi la Russia katika ngome za makundi ya kigaidi huko Syria.

  • Madola ya Magharibi yanatumia vibaya hali ya kibinadamu Syria

    Madola ya Magharibi yanatumia vibaya hali ya kibinadamu Syria

    Sep 25, 2016 04:51

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Walid al-Muallem amekosoa baadhi ya madola ya Magharibi na Mashariki ya Kati kwa kutumia vibaya masaibu ya kibinadamu ya Wasyria kufikia malengo yao ya kisiasa.

  • Obama ampigia magoti Rais Assad, kufuatia shambulio la ndege za US huko Syria

    Obama ampigia magoti Rais Assad, kufuatia shambulio la ndege za US huko Syria

    Sep 24, 2016 11:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia amesema kuwa, Rais Barack Obama wa Marekani amemuomba radhi Rais Bashar al-Assad wa Syria kufuatia shambulio la ndege za nchi hiyo dhidi ya maeneo ya jeshi la Syria hivi karibuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS