Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Waziri Mkuu wa Syria: Ushirikiano wa Iran na Syria umeimarisha mhimili wa mapambano

    Waziri Mkuu wa Syria: Ushirikiano wa Iran na Syria umeimarisha mhimili wa mapambano

    Apr 04, 2016 02:55

    Waziri Mkuu wa Syria amesema kuwa ushirikiano wa pande zote kati ya Iran na Syria umeimarisha mhimili wa muqawama dhidi ya njama za Kizayuni na Marekani katika eneo.

  • Algeria yapokea wakimbizi wa Syria, Libya na Mali

    Algeria yapokea wakimbizi wa Syria, Libya na Mali

    Apr 03, 2016 09:02

    Gazeti moja linalochapishwa nchini Uingereza limeripoti kuwa Algeria imekuwa mwenyeji wa makumi ya maelfu ya wakimbizi kutoka Syria, Libya na Mali.

  • Katibu MKuu wa UN: Mgogoro wa Syria hautatuki kwa mtutu wa bunduki

    Katibu MKuu wa UN: Mgogoro wa Syria hautatuki kwa mtutu wa bunduki

    Apr 02, 2016 22:26

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa mgogoro wa Syria hauwezi kutatuliwa kwa kutumia nguvu za kijeshi.

  • Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Kaburi la umati lagunduliwa Palmyra, nchini Syria

    Apr 02, 2016 03:22

    Jeshi la Syria limegundua kaburi la umati ambalo lilikuwa limefukiwa makumi ya watu waliouawa na kundi la kigaidi na kitaifiri la Daesh katika mji uliokombolewa hivi karibuni wa Palmyra.

  • Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria

    Israeli imetoa matibabu kwa magaidi 2,100 kutoka Syria

    Apr 01, 2016 03:22

    Utawala wa Kizayuni wa Israel hadi sasa umetoa matibabu kwa magaidi zaidi ya 2,100 wanaopigana ndani ya Syria kuiangusha serikali halali ya nchi hiyo.

  • Bashar Assad aafiki uchaguzi wa mapema Syria

    Bashar Assad aafiki uchaguzi wa mapema Syria

    Mar 31, 2016 09:37

    Rais wa Syria ametangaza kuwa serikali ya nchi hiyo iko tayari kwa ajili ya kufanyika uchaguzi wa rais wa mapema.

  • Algeria kuendelea kuiunga mkono serikali ya Rais Bashar al Assad wa Syria

    Algeria kuendelea kuiunga mkono serikali ya Rais Bashar al Assad wa Syria

    Mar 30, 2016 11:34

    Waziri Mkuu wa Algeria amesema kuwa, nchi yake itaendelea kuiunga mkono serikali halali iliyochaguliwa na wananchi ya Rais Bashar al Assad wa Syria.

  • Mwanzo wa kuangamizwa magaidi wa ISIS baada ya kukombolewa Palmyra

    Mwanzo wa kuangamizwa magaidi wa ISIS baada ya kukombolewa Palmyra

    Mar 28, 2016 23:03

    Mafanikio ya kistratijia ya Jeshi la Syria katika kuukomboa kikamilifu mji wa kihistoria wa Tadmur au Palmyra ni jambo ambalo limezidi kumuimarisha Rais Bashar al Assad mbali na kuwa ni ujumbe kwa dunia kuwa, jeshi la Syria ndilo pekee linaloweza kuangamiza magaidi wa ISIS au Daesh nchini humo.

  • Mufti wa Syria: Tuliitahadharisha Ulaya kuhusu hatari ya ugaidi

    Mufti wa Syria: Tuliitahadharisha Ulaya kuhusu hatari ya ugaidi

    Mar 28, 2016 08:31

    Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesema nchi hiyo ilikwisha zitahadharisha hapo kabla nchi za Ulaya kuhusu hatari ya kupenya na kuenea ugaidi katika nchi hizo.

  • Ugaidi hauna mustakabali Mashariki ya Kati

    Ugaidi hauna mustakabali Mashariki ya Kati

    Mar 28, 2016 02:39

    Afisa mwandamizi wa Iran amepongeza ushindi wa hivi karibuni wa jeshi la Syria dhidi ya magaidi wa ISIS (Daesh) katika mji wa Kihistoria wa Palmyra na kusema makundi ya kigaidi hayana mustakabali Mashariki ya Kati.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS