-
Wahajiri kutoka Syria, kisingizio kinachotumiwa na Rais Erdoğan wa Uturuki kuushinikiza Umoja wa Ulaya
Mar 05, 2020 03:15Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amelikataa pendekezo la Umoja wa Ulaya kuhusu kadhia ya wahajiri na kusema: Hakuna mtu yeyote mwenye haki na ustahiki wa kuichezea ghururi ya Uturuki. Erdoğan ameyasema hayo mjini Ankara katika mkutano na waandishi wa habari aliofanya pamoja na Waziri Mkuu wa Bulgaria, Boyko Borisov.
-
Syria yakaribisha suala la kupanuliwa uhusiano na nchi za Kiarabu
Mar 04, 2020 09:57Balozi wa Syria nchini Lebanon sambamba na kubainisha kwamba serikali ya Damascus inakaribisha kupanuliwa uhusiano na nchi za Kiarabu, amesema kuwa hata kama baadhi ya tawala za Kiarabu zilihusika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi nchini Syria, lakini raia wa mataifa ya Kiarabu wameonyesha huruma kwa raia wa Syria.
-
Askari wa Uturuki wakimbia kwa makundi katika viunga vya Idlib, Syria + Video
Mar 04, 2020 09:54Kufuatia mashambulizi makali ya anga na mizinga ya jeshi la Syria dhidi ya maeneo ya jeshi la Uturuki katika viunga vya mkoa wa Idlib, askari wa Uturuki wameonekana wakikimbia kwa makundi katika maeneo hayo.
-
Putin: Moscow haina nia ya kuingia vitani na nchi yoyote
Mar 02, 2020 10:07Rais Vladimir Putin wa Russia ametoa radiamali yake kufuatia kushtadi mizozo kati ya nchi yake na Uturuki kuhusiana na kadhia ya Idlib, Syria na kusisitiza kwamba, Moscow haina nia ya kuingia vitani na nchi yoyote.
-
Arab League yaunga mkono kurejeshwa Syria katika jumuiya hiyo
Mar 01, 2020 20:50Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) amekaribisha kurejeshwa Syria katika jumuiya hiyo.
-
Kura ya turufu ya Ugiriki na hatua ya Uturuki ya kuwaweka rehani wakimbizi
Mar 01, 2020 07:09Uingiliaji wa wazi wa askari wa Uturuki katika mkoa wa Idlib nchini Syria, katika kuyaunga mkono makundi ya kigaidi yanayoendesha harakati zake mkoani humo, umepata uungaji mkono wa Wamagharibi.
-
Guterres asema yuko tayari kutuma ujumbe kaskazini mwa Syria
Feb 29, 2020 23:10Kufuatia kushtadi mizozo katika eneo la kaskazini mwa Syria, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, António Guterres ametangaza utayarifu wake kwa ajili ya kutuma ujumbe wa umoja huo katika mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo.
-
Ugiriki yazuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa NATO kwa Uturuki
Feb 29, 2020 23:09Serikali ya Ugiriki imetumia haki yake ya turufu kuzuia kutolewa taarifa ya uungaji mkono wa Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO) kwa Uturuki.
-
Wasiwasi wa Iran juu ya kushadidi machafuko katika eneo la magharibi mwa Asia
Feb 29, 2020 05:49Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa kuhusiana na yanayojiri katika eneo la Idlib nchini Syria na kueleleza wasiwasi wa Tehran kuhusu uwezekano wa kushadidi zaidi mivutano na machafuko katika eneo hilo. Taarifa hiyo pia imelaani hatua zinazofanywa na pande nyingine kwa ajili ya kukwamisha mwenendo wa mazungumzo ya Astana.
-
Syria: Kuunga mkono ugaidi ni sera ya kudumu ya Uturuki na Wamagharibi
Feb 29, 2020 03:42Wizara ya Mambo ya Nje ya Syria imekosoa sera za Uturuki na Magharibi za kuyaunga mkono makundi ya kigaidi na kusisitiza kuwa, Damascus haitaruhusu nchi za Magharibi na waitifaki wao waendelee kuwabebesha daima dawamu wananchi wa Syria mzigo wa magaidi.