Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria

    Kufeli siasa za Uturuki mkoani Idlib, Syria

    Feb 28, 2020 23:08

    Wajumbe wa kisiasa wa Russia na Uturuki wamekutana mjini Ankara kujadiliana masuala ya kaskazini mwa Syria hasa ya mkoa wa Idlib.

  • Askari wengi wa jeshi la Uturuki waangamizwa kaskazini mwa Syria, Ankara yasema italipiza kisasi

    Askari wengi wa jeshi la Uturuki waangamizwa kaskazini mwa Syria, Ankara yasema italipiza kisasi

    Feb 28, 2020 04:24

    Vyombo vya habari katika eneo vimeripoti kuwa askari wasiopungua 33 wa jeshi la Uturuki wameangamizwa katika mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib

    Jeshi la Syria lakomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib

    Feb 27, 2020 21:47

    Taasisi inayoitwa 'Watetezi wa Haki za Binaadamu Syria' imetangaza kuwa jeshi la Syria limefanikiwa kukomboa kikamilifu kusini mwa mkoa wa Idlib, kaskazini mwa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria

    Majibu ya hapana ya Russia kwa ombi la Marekani la kuzungumza na magaidi wa Syria

    Feb 25, 2020 07:06

    Ushindi wa mfululizo wa jeshi la Syria na waitifaki wake katika mkoa wa Idlib umepokewa kwa hisia kali, si na Uturuki pekee na uvamizi wake wa kijeshi huko Syria, lakini pia Marekani nayo ambayo inaongoza muungano wa nchi za Magharibi na za Kiarabu wa eti kupambana na ugaidi nchini humo, imeitaka Russia ifanye mazungumzo na magaidi hao.

  • Madai ya Erdogan kwamba Uturuki inafanya juhudi za kurejesha utulivu kaskazini mwa Syria

    Madai ya Erdogan kwamba Uturuki inafanya juhudi za kurejesha utulivu kaskazini mwa Syria

    Feb 25, 2020 04:30

    Rais wa Uturuki amedai kwamba nia ya nchi yake ni kurejesha utulivu na uthabiti katika mkoa wa Idlib nchini Syria.

  • Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Algeria yataka Syria irejeshwe katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Feb 22, 2020 21:46

    Rais wa Algeria ametoa wito wa kurejeshwa Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.

  • Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu

    Ujerumani yaitaka Saudi Arabia ichunge haki za binadamu

    Feb 22, 2020 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Ujerumani amewataka viongozi wa Saudi Arabia wafanyie marekebisho sheria zao na wachunge haki za binadamu.

  • Mwakilishi wa UN katika masuala ya Syria atoa wito wa kusimamishwa vita Idlib

    Mwakilishi wa UN katika masuala ya Syria atoa wito wa kusimamishwa vita Idlib

    Feb 20, 2020 04:18

    Mwakilishi maalumu wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Syria ametoa wito wa kusimamishwa vita mara moja katika eneo la Idlib huko kaskazini mwa Syria.

  • Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Algeria yataka Syria irejeshwe kwenye Jumuiya ya Nchi za Kiarabu

    Feb 14, 2020 04:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Algeria ameziasa nchi za Kiarabu ziharakishe mchakato wa kuirejesha Syria katika Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League).

  • Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani

    Wakazi wa mkoa wa al Hasakah Syria waanzisha mapambano ya kuwafukuza wanajeshi wa Marekani

    Feb 13, 2020 23:10

    Gavana wa mkoa wa al Hasakah nchini Syria amezitaja hatua za mapambano zilizochukuliwa na raia wa vijiji kadhaa vya mkoa huo dhidi ya wanajeshi wa Marekani kuwa ni kuanza kwa mapambano ya wananchi ya kuwafukuza wanajeshi vamizi wa Marekani huko Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS