Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria

    Wizara ya Ulinzi ya Russia yatoa jibu kwa chokochoko za Uturuki ndani ya ardhi ya Syria

    Feb 13, 2020 03:54

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imetangaza kuwa, kutoheshimu Uturuki ahadi zake kutotekeleza majukumu yake ndiko kulikosababisha kuzuka mgogoro huko Idlib nchini Syria.

  • Uturuki yaendelea kujizatiti kijeshi kinyume cha sheria kaskazini mwa Syria

    Uturuki yaendelea kujizatiti kijeshi kinyume cha sheria kaskazini mwa Syria

    Feb 09, 2020 23:38

    Jeshi la Uturuki limeendelea kujizatiti kaskazini mwa Syria baada ya kuingia msafara mpya wa kijeshi wa nchi hiyo katika mkoa wa Idlib.

  • Al Sisi atahadharisha kuhusu kupelekwa magaidi wa Syria katika nchi ya Libya

    Al Sisi atahadharisha kuhusu kupelekwa magaidi wa Syria katika nchi ya Libya

    Feb 08, 2020 23:12

    Rais wa Miisri ametahadharisha kuwa kuhamisha magaidi walioko Syria na kuwapelekwa Libya kutakuwa na matokeo hatari kwa nchi zote jirani za Kiafrika.

  • Ndege za kivita za Israel zatumia ndege ya abiria kama ngao Syria

    Ndege za kivita za Israel zatumia ndege ya abiria kama ngao Syria

    Feb 07, 2020 23:28

    Wizara ya Ulinzi ya Russia imesema ndege za kijeshi za utawala haramu wa Israel zimetumia ndege ya abiria kama ngao ya kujikinga katika uvamizi wake mpya dhidi ya Syria.

  • Mapigano yashtadi kati ya majeshi ya Uturuki na Syria, askari kadhaa wa pande mbili wauawa

    Mapigano yashtadi kati ya majeshi ya Uturuki na Syria, askari kadhaa wa pande mbili wauawa

    Feb 04, 2020 04:10

    Askari kadhaa wameuawa na kujeruhiwa katika mapigano kati ya majeshi ya Syria na Uturuki yaliyotokea kwenye eneo la kaskazini ya ardhi ya Syria.

  • Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Russia yatiwa wasi wasi na mashambulizi ya magaidi katika mkoa wa Idlib, Syria

    Feb 04, 2020 01:15

    Serikali ya Russia imetoa radiamali yake kufuatia baadhi ya ripoti zinazohusu kushambuliwa askari wa Uturuki katika operesheni zinazofanywa na askari wa Syria.

  • Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria

    Tisho la Erdoğan kuishambulia kijeshi Syria

    Feb 02, 2020 22:59

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki ametishia kuishambulia kijeshi Syria.

  • Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu kushadidi mapigano kaskazini mwa Syria

    Katibu Mkuu wa UN atahadharisha kuhusu kushadidi mapigano kaskazini mwa Syria

    Feb 02, 2020 12:38

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu kuongezeka mapigano na mivutano ya kijeshi katika maeneo ya kaskazini magharibi mwa Syria.

  • Kukombolewa Khan Tuman; ushindi muhimu nchini Syria

    Kukombolewa Khan Tuman; ushindi muhimu nchini Syria

    Jan 31, 2020 08:29

    Vikosi vya jeshi la Syria vimelikomboa eneo la Khan Tuman katika operesheni za kuyatimua makundi ya kigaidi katika maeneo ya nchi hiyo yaliyokuwa yamevamiwa na kukaliwa kwa mabavu na makundi hayo.

  • Syria: Ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa ugaidi wa kifizikia

    Syria: Ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa ugaidi wa kifizikia

    Jan 30, 2020 09:59

    Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa ugaidi wa kiuchumi ni mwendelezo wa hatua zilizo dhidi ya ubinaadamu za kuyatumia makundi ya kigaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS