Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua makumi ya raia Syria

    Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua makumi ya raia Syria

    Oct 20, 2018 04:32

    Kwa akali raia 32 wameuawa katika hujuma mpya ya anga iliyofanywa na ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaongozwa na Marekani katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.

  • Syria kupambana na magaidi wa Furat baada ya ushindi wa Idlib

    Syria kupambana na magaidi wa Furat baada ya ushindi wa Idlib

    Oct 15, 2018 23:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema vikosi vya nchi hiyo vitaelekeza nguvu na mapambano yao dhidi ya ngome za magaidi Mashariki mwa Furat, baada ya kuukomboa mkoa wa Idlib, ulioko magharibi mwa Syria.

  • Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria

    Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria

    Oct 14, 2018 04:19

    Baada ya kuzuka machafuko na vita vya ndani nchini Syria Marekani imekuwa ikishirikiana kwa karibu na magaidi wa kitakfiri pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu kwa ajili ya kuing'oa madarakani serikali halali ya Rais Bashar al-Asad wa nchi hiyo.

  • Kumbukumbu ya hamasa ya Arubaini ya Imam Hussein AS; nembo ya umoja wa Waislamu ulimwenguni na mshikamano wa mataifa ya Iran na Iraq

    Kumbukumbu ya hamasa ya Arubaini ya Imam Hussein AS; nembo ya umoja wa Waislamu ulimwenguni na mshikamano wa mataifa ya Iran na Iraq

    Oct 14, 2018 03:19

    Viongozi wa makabila yanayohamahama ya maeneo ya kusini mwa Iran na Iraq Ijumaa iliyopita walifanya mkutano katika mji wa Basra uliokuwa na nara inayosema. "Kumpenda Imam Hussein AS, Sababu ya Umoja Wetu".

  • Iran: Suala la kutia dosari ushirikiano wa Syria na shirika la OPCW linapasa kuepukwa

    Iran: Suala la kutia dosari ushirikiano wa Syria na shirika la OPCW linapasa kuepukwa

    Oct 10, 2018 11:27

    Balozi na Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali (OPCW) amezungumzia kuangamizwa silaha za kemikali huko Syria na kusisitiza kuwa suala la kuchafua ushirikiano mkubwa unaotolewa na Damascus kwa shirika hilo linapasa kuepukwa.

  • Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina

    Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina

    Oct 06, 2018 11:43

    Mufti Mkuu wa Syria, Sheikh Ahmad Badreddin Hassoun amesema kuwa ushindi wa Syria dhidi ya ugaidi ni ushindi wa Palestina.

  • Rais Bashar al-Assad: Muda si mrefu vita vitamalizika nchini Syria

    Rais Bashar al-Assad: Muda si mrefu vita vitamalizika nchini Syria

    Oct 03, 2018 10:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muda si mrefu vita ilivyotwishwa nchi hiyo vitamalizika na nchi hiyo kuwa na nafasi kama iliyokuwa nayo hapo awali katika ulimwengu wa Kiarabu.

  • UN: Wakimbizi 30 elfu wanahitajia misaada ya haraka, mashariki mwa Syria

    UN: Wakimbizi 30 elfu wanahitajia misaada ya haraka, mashariki mwa Syria

    Sep 29, 2018 21:55

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kuna wakimbizi 30 elfu waliokimbia makazi yao mashariki mwa Syria kutokana na mashambulizi ya miezi mitatu iliyopita dhidi ya maeneo ya magaidi wa Daesh (ISIS) mkoani Deir ez-Zor.

  • Iran: Israel itajuta kwa kuwaunga mkono magaidi na kuishambulia Syria

    Iran: Israel itajuta kwa kuwaunga mkono magaidi na kuishambulia Syria

    Sep 27, 2018 12:39

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuzishambulia ngome za jeshi la Syria na waitifaki wake na kusisitiza kuwa, Tel Aviv itakabiliwa na jibu kali iwapo haitasitisha uvamizi wake na kuyaunga mkono makundi ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jinamizi la mfumo wa makombora wa ulinzi wa anga wa S-300 linainyemelea Israel

    Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jinamizi la mfumo wa makombora wa ulinzi wa anga wa S-300 linainyemelea Israel

    Sep 26, 2018 00:36

    Vyombo vya habari vya Israel vimesema uamuzi wa serikali ya Russia wa kulipatia jeshi la Syria mfumo wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-300 ni jinamizi kwa utawala huo wa Kizayuni.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS