-
Mashambulizi mapya ya anga ya US yaua makumi ya raia Syria
Oct 20, 2018 04:32Kwa akali raia 32 wameuawa katika hujuma mpya ya anga iliyofanywa na ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaongozwa na Marekani katika mkoa wa Dayr al-Zawr, mashariki mwa Syria.
-
Syria kupambana na magaidi wa Furat baada ya ushindi wa Idlib
Oct 15, 2018 23:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema vikosi vya nchi hiyo vitaelekeza nguvu na mapambano yao dhidi ya ngome za magaidi Mashariki mwa Furat, baada ya kuukomboa mkoa wa Idlib, ulioko magharibi mwa Syria.
-
Russia yataka uchunguzi ufanyike kuhusu muungano wa Marekani kutumia silaha zilizopigwa marufuku nchini Syria
Oct 14, 2018 04:19Baada ya kuzuka machafuko na vita vya ndani nchini Syria Marekani imekuwa ikishirikiana kwa karibu na magaidi wa kitakfiri pamoja na nchi kadhaa za Kiarabu kwa ajili ya kuing'oa madarakani serikali halali ya Rais Bashar al-Asad wa nchi hiyo.
-
Kumbukumbu ya hamasa ya Arubaini ya Imam Hussein AS; nembo ya umoja wa Waislamu ulimwenguni na mshikamano wa mataifa ya Iran na Iraq
Oct 14, 2018 03:19Viongozi wa makabila yanayohamahama ya maeneo ya kusini mwa Iran na Iraq Ijumaa iliyopita walifanya mkutano katika mji wa Basra uliokuwa na nara inayosema. "Kumpenda Imam Hussein AS, Sababu ya Umoja Wetu".
-
Iran: Suala la kutia dosari ushirikiano wa Syria na shirika la OPCW linapasa kuepukwa
Oct 10, 2018 11:27Balozi na Mwakilishi wa kudumu wa Iran katika Shirika Linalopiga Marufuku Silaha za Kemikali (OPCW) amezungumzia kuangamizwa silaha za kemikali huko Syria na kusisitiza kuwa suala la kuchafua ushirikiano mkubwa unaotolewa na Damascus kwa shirika hilo linapasa kuepukwa.
-
Mufti wa Syria: Ushindi wa nchi yetu ni ushindi wa Palestina
Oct 06, 2018 11:43Mufti Mkuu wa Syria, Sheikh Ahmad Badreddin Hassoun amesema kuwa ushindi wa Syria dhidi ya ugaidi ni ushindi wa Palestina.
-
Rais Bashar al-Assad: Muda si mrefu vita vitamalizika nchini Syria
Oct 03, 2018 10:17Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, muda si mrefu vita ilivyotwishwa nchi hiyo vitamalizika na nchi hiyo kuwa na nafasi kama iliyokuwa nayo hapo awali katika ulimwengu wa Kiarabu.
-
UN: Wakimbizi 30 elfu wanahitajia misaada ya haraka, mashariki mwa Syria
Sep 29, 2018 21:55Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, kuna wakimbizi 30 elfu waliokimbia makazi yao mashariki mwa Syria kutokana na mashambulizi ya miezi mitatu iliyopita dhidi ya maeneo ya magaidi wa Daesh (ISIS) mkoani Deir ez-Zor.
-
Iran: Israel itajuta kwa kuwaunga mkono magaidi na kuishambulia Syria
Sep 27, 2018 12:39Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya kuendelea kuzishambulia ngome za jeshi la Syria na waitifaki wake na kusisitiza kuwa, Tel Aviv itakabiliwa na jibu kali iwapo haitasitisha uvamizi wake na kuyaunga mkono makundi ya kigaidi katika nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jinamizi la mfumo wa makombora wa ulinzi wa anga wa S-300 linainyemelea Israel
Sep 26, 2018 00:36Vyombo vya habari vya Israel vimesema uamuzi wa serikali ya Russia wa kulipatia jeshi la Syria mfumo wa makombora ya ulinzi wa anga wa S-300 ni jinamizi kwa utawala huo wa Kizayuni.