Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria

    Marekani yatuma wanajeshi wake katika mpaka wa Iraq na Syria

    Sep 21, 2018 23:34

    Duru za Iraq zimearifu kuwa Marekani imetuma wanajeshi wake karibu na kivuko cha al Qaim katika mpaka wa Iraq na Syria.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Mashambulizi ya Israel nchini Syria hayavumiliki tena

    Sayyid Hassan Nasrullah: Mashambulizi ya Israel nchini Syria hayavumiliki tena

    Sep 19, 2018 23:22

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria hayavumiliki tena na inabidi yakomeshwe.

  • Russia: Uchokozi wa Israel wa kutuulia watu wetu Syria lazima utajibiwa

    Russia: Uchokozi wa Israel wa kutuulia watu wetu Syria lazima utajibiwa

    Sep 19, 2018 23:16

    Mbali na Rais Vladimir Putin na viongozi wengine mbalimbali wa kiserikali wa Russia kusisitizia wajibu wa kujibiwa mauaji yaliyofanywa na Israel dhidi ya wanajeshi wa nchi hiyo huko Syria, mkuu wa akademia ya masuala ya jeopolitiki ya Russia naye ametilia mkazo msimamo huo.

  • Maafikiano ya Sochi na uungaji mkono wa Iran kwa utumizi wa diplomasia kutatua kadhia ya Idlib

    Maafikiano ya Sochi na uungaji mkono wa Iran kwa utumizi wa diplomasia kutatua kadhia ya Idlib

    Sep 19, 2018 09:48

    Makubaliano yaliyofikiwa mjini Sochi kati ya Russia na Uturuki kuhusu kadhia ya eneo la Idlib lililoko kaskazini magharibi mwa Syria baada ya kikao kilichofanyika mjini Tehran kati ya marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki yamekaribishwa na kuungwa mkono na Iran. Maafikiano hayo ni ishara ya mwendelezo wa njia athirifu za kidiplomasia.

  • Putin: Operesheni za anga za Israel zinakiuka uhuru wa kujitawala Syria

    Putin: Operesheni za anga za Israel zinakiuka uhuru wa kujitawala Syria

    Sep 19, 2018 03:22

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema operesheni za anga za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika anga ya Syria ni ukiukaji wa mamlaka na kujitawala serikali halali ya sasa ya Damascus. Putin amesema hayo huku mgogoro kuhusu ajali ya kutunguliwa ndege ya Russia katika anga ya Syria wakati wa shambulio la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya nchi hiyo Kiarabu ukiendelea kutokota.

  • Russia: IAEA haina ushahidi wowote wa kuitia hatiani Syria

    Russia: IAEA haina ushahidi wowote wa kuitia hatiani Syria

    Sep 17, 2018 23:27

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema kuwa, kutoa madai ya uongo kuhusu Syria kunauondolea itibari wakala huo wa atomiki.

  • Russia: Magaidi wapeleka Idlib matanki ya gesi ya kemikali

    Russia: Magaidi wapeleka Idlib matanki ya gesi ya kemikali

    Sep 16, 2018 03:07

    Msemaji wa kituo cha usitishaji vita cha Russia huko Syria amearifu kuwa magaidi wanajiandaa kuanzisha chokochoko dhidi ya raia wa Syria kwa kutumia mada za kemikali na kwamba tayari wamepelekea matanki yenye gesi ya klorini katika eneo la kiraia katika mkoa wa Idlib magharibi mwa Syria.

  • Walid al Mualim: Marekani inafuatilia malengo ya Israel nchini Syria

    Walid al Mualim: Marekani inafuatilia malengo ya Israel nchini Syria

    Sep 10, 2018 23:48

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa lengo la Marekani ni kudhibiti shughuli zote za Syria kwa maslahi ya Israel.

  • Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Iran katu haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora

    Sep 09, 2018 23:07

    Mshauri wa Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi Yote ya Iran katika masuala ya viwanda vya kijeshi amesisitiza kuwa: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitafanya mazungumzo kuhusu uwezo wake wa makombora."

  • Harakati za kijeshi za muungano wa Kimarakeni nchini Syria

    Harakati za kijeshi za muungano wa Kimarakeni nchini Syria

    Sep 09, 2018 07:25

    Ijumaa usiku jeshi la Marekani lilitangaza kwamba limeendesha maneva ya askari wa muungano wa kijeshi unaoongozwa na nchi hiyo huko Syria na ambao unadaiwa kuwa dhidi ya magaidi wa Daesh.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS