-
Russia: Magaidi, White Helmets wakutana kupanga igizo la shambulizi la kemikali Idlib
Sep 09, 2018 03:03Russia imesema magenge ya kigaidi na kundi eti la 'kutoa misaada' la White Helmets linaloungwa mkono na Wamagharibi yamekutana kaskazini magharibi mwa mkoa wa Idlib, kwa shabaha ya kuratibu igizo la hujuma ya kemikali nchini Syria ili kuielekezea kidole cha lawama serikali halali ya Rais Bashar al-Assad.
-
Uturuki yazisaidia kifedha familia za wapinzani wa serikali ya Syria
Sep 08, 2018 02:32Duru za habari zimefichua uungaji mkono wa kifedha wa serikali ya Uturuki kwa familia za wapinzani wa serikali ya Syria waliouawa.
-
Mkutano wa pande tatu Tehran; azma ya kweli ya kuangamiza ugaidi katika mji wa Idlib Syria
Sep 08, 2018 02:27Mkutano wa Marais wa Iran, Russia na Uturuki umefanyika hapa mjini Tehran ajenda kuu ikiwa ni matukio ya Syria.
-
Taarifa ya pamoja ya marais wa Iran, Russia na Uturuki kuhusu Syria katika kikao cha Tehran
Sep 07, 2018 10:37Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia, na Uturuki wametoa taarifa ya pamoja baada ya mkutano wao wa pande tatu mjini Tehran ambapo wamesisitiza kuhusu msimamo wao wa kudumishwa uhuru, mamlaka ya kujitawala na kulinda mipaka yote ya Syria.
-
Imad Khamis: Hivi karibuni Syria itarejea katika hali yake ya kawaida
Sep 07, 2018 03:16Waziri Mkuu wa Syria, Imad Khamis amesema kuwa kwa mara nyingine nchi hiyo itakuwa mchezaji muhimu katika nyuga tofauti kieneo na duniani na kwamba hivi karibuni taifa la Syria litarejea katika hali yake ya kawaida.
-
Mkutano wa Troika ya Syria mjini Tehran, kigezo bora cha kuigwa cha uishirikiano wa kikanda
Sep 07, 2018 02:50Leo Ijumaa Tehran ni mwenyeji wa kikao cha viongozi wa nchi tatu muhimu katika mchakato wa kurejesha amani nchini Syria, yaani Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Russia na Uturuki.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran avipongeza vikosi vilivyokabiliana na magaidi wa Daesh nchini Syria
Sep 05, 2018 22:29Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, vikosi vya kijeshi vilivyopambana na magaidi nchini Syria vimeweza kusambaratisha njama kubwa iliyokuwa imeratibiwa dhidi ya usalama wa Mashariki ya Kati.
-
Waziri wa Syria: Kuna baadhi ya nchi zinafanya njama kufelisha maridhiano Idlib
Sep 04, 2018 22:01Waziri wa Maridhiano ya Kitaifa nchini Syria amesema kuwa, kuna baadhi ya nchi zinafanya njama ya kufelisha mpango wa usuluhishi katika mkoa wa Idlib, kaskazini magharibi mwa Syria.
-
Hizbullah: Marekani haina ubavu wa kuwawekea masharti walioshinda vita Syria
Sep 04, 2018 03:37Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imesema kuwa Marekani ambayo sera zake za kuyasaidia makundi ya kigaidi kwa ajili ya kuindoa madarakani serikali halali ya Syria zimefeli na kushindwa haina haki na ubavu wa kutoa masharti ya kuondoka washauri wa kijeshi wa Iran na wapiganaji wa Hizbullah nchini Syria ambao wameshinda vita dhidi ya magaidi.
-
Ufaransa yakiri, Syria imeshinda vita vya ndani
Sep 03, 2018 03:09Ufaransa na Uingereza ambazo ni nchi mbili wanachama katika Umoja wa Ulaya (EU) tangu mwaka 2011 zikiwa katika muungano wa nchi za Magharibi na za Kiarabu wa kutaka kuiondoa madarakani serikali halali ya Syria, zimekuwa zikitoa misaada ya pande zote kwa makundi ya waasi na ya kigaidi kwa shabaha eti ya kuipindua serikali ya Rais Bashar Assad.