Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Hizbullah: Ushirikiano wetu na Syria upo imara na utaendelea

    Hizbullah: Ushirikiano wetu na Syria upo imara na utaendelea

    Jul 25, 2018 08:34

    Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesisitiza kwamba, Syria iko katika kambi ya mapambano na muqawama na kwamba uhusiano wa harakati hiyo na serikali ya Damascus upo imara na utaendelea.

  • Askari wa Marekani waigeuza shule kuwa jela ya kuogofya nchini Syria

    Askari wa Marekani waigeuza shule kuwa jela ya kuogofya nchini Syria

    Jul 22, 2018 23:23

    Askari vamizi wa Marekani wamegeuza jengo la shule moja huko katika mji wa Raqqa kuwa jela ya kuogofya.

  • Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Nyaraka za ushahidi wa msaada wa silaha wa Saudia kwa magaidi nchini Syria

    Jul 21, 2018 02:42

    Gazeti la Independent la Uingereza limechapisha nyaraka zinazoonyesha namna ambavyo Saudi Arabia imekuwa ikiwapatia silaha magaidi nchini Syria.

  • Balozi wa Russia mjini Tehran: Uwepo wa Iran nchini Syria  ni wa kisheria

    Balozi wa Russia mjini Tehran: Uwepo wa Iran nchini Syria ni wa kisheria

    Jul 19, 2018 02:59

    Balozi wa Russia mjini Tehran, amesema kuwa uwepo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria ni wa kisheria na kwamba, kwa utashi wa Damascus, Iran itaendelea kuwepo nchini humo katika operesheni za kuwaangamiza magaidi.

  • Mashia waliozingirwa na magaidi wakufurishaji Syria kuokolewa

    Mashia waliozingirwa na magaidi wakufurishaji Syria kuokolewa

    Jul 18, 2018 08:29

    Mabasi kadhaa yamefika katika miji ya Kefraya na al-Foua katika mkoa wa Idlib kaskazini magharibi mwa Syria kwa lengo la kuwahamisha Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji hiyo ambao kwa miaka kadhaa sasa wamezingirwa na magaidi wakufurishaji wanaopata himaya ya nchi za kigeni.

  • Shehena ya mabomu ya Israel yapatikana katika maficho ya ISIS, Syria

    Shehena ya mabomu ya Israel yapatikana katika maficho ya ISIS, Syria

    Jul 18, 2018 03:09

    Jeshi la Syria limegundua shehena iliyojaa mabomu yaliyotengenezwa Israel katika mkoa wa Hama, magharibi mwa nchi; huku vikosi vya serikali vikizidi kupata mafanikio na kusonga mbele katika jitihada za kuyasafisha mabaki ya wanachama wa magenge ya kigaidi na ukufurishaji.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia akosoa malengo ya Marekani Syria

    Jul 15, 2018 02:36

    Baada ya kuibuka machafuko ya ndani nchini Syria mwaka 2011, Marekani na waitifaki wake walianza kuunga mkono makundi ya kigaidi yaliyoibua ghasia kwa lengo la kuipundua serikali halali ya nchi hiyo.

  • Daraa Yakombolewa, Jeshi la Syria Lakaribia Kudhibiti Kikamilifu Eneo la Kusini

    Daraa Yakombolewa, Jeshi la Syria Lakaribia Kudhibiti Kikamilifu Eneo la Kusini

    Jul 13, 2018 22:47

    Jeshi la Syria limetangaza kwamba mji wa Daraa ulioko kusini mwa nchi hiyo umekombolewa kikamilifu.

  • Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Velayati: Iran haiondoki Syria kwa vitisho vya Marekani

    Jul 13, 2018 10:45

    Mshauri wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesisitiza kuwa Iran na Russia zitaendelea kuwepo huko Syria na kwamba Iran haitaondoka nchini humo kwa vitisho vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Syria yaua 30 mjini Bukamal

    Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Syria yaua 30 mjini Bukamal

    Jul 13, 2018 03:07

    Kwa akali raia 30 wameuawa katika mashambulizi ya anga ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika mji wa Bukamal, mkoa wa Dayr al-Zawr mashariki mwa Syria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS