Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Assad: Syria yaanzisha mkakati wa ujenzi mpya baada ya magaidi kutimuliwa

    Jul 10, 2018 09:17

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kipaumbele chake ni ujenzi mpya wa nchi hiyo baada ya kutimuliwa magaidi walioanzisah vita nchini humo mwaka 2011 kwa uungaji mkono wa kigeni.

  • Iran: Washauri wetu wa kijeshi kusalia Syria kuzima chokochoko za Israel

    Iran: Washauri wetu wa kijeshi kusalia Syria kuzima chokochoko za Israel

    Jul 08, 2018 09:41

    Mshauri wa Masuala ya Kimataifa wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, washauri wa kijeshi wa Iran watasalia nchini Syria kuisaidia nchi hiyo ya Kiarabu kuzima chokochoko za mabaki ya magenge ya kigaidi yanayoungwa mkono na nchi ajinabi.

  • Russia yaitaka jamii ya kimataifa kutegua mabomu ya ardhini nchini Syria

    Russia yaitaka jamii ya kimataifa kutegua mabomu ya ardhini nchini Syria

    Jul 08, 2018 03:36

    Russia imezitolea wito nchi mbalimbali ziisaidie Moscow kutegua mabomu ya ardhi katika maeneo yaliyokombolewa kutoka mikononi mwa magaidi huko Syria.

  • OPCW: Hakuna ushahidi wa kutekelezwa shambulizi la kemikali Douma, Syria

    OPCW: Hakuna ushahidi wa kutekelezwa shambulizi la kemikali Douma, Syria

    Jul 07, 2018 02:56

    Uchunguzi wa Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) umebainisha kwamba hakuna shambulizi lolote la silaha za kemikali lililofanyika katika mji wa Douma, ulioko katika viunga ya mji mkuu wa Syria, Damascus.

  • Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jeshi la Syria lakomboa vijiji zaidi vilivyokuwa vimetekwa na magaidi wa ISIS mkoani Daraa

    Jul 06, 2018 22:50

    Jeshi la Syria limewatimua magaidi na kukomboa kikamilifu vijiji kadhaa katika mkoa wa kusini magharibi wa Daraa karibu na mpaka wa Jordan kwa lengo la kufungua kituo cha kistratijia cha Nasib.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 05:22

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Ombi la Russia la kutaka kufutwa haraka vikwazo dhidi ya Syria

    Jul 05, 2018 02:46

    Sergei Lavrov, Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia jana Jumatano akihutubia waandishi wa habari akiwa ameandamana na waziri mwenzake wa Jordan Ayman Safadi mjini Moscow, alitangaza kuwa, vikwazo vyote dhidi ya Syria vinapaswa kuondolewa na Wasyria wasaidiwe kurejea katika nchi yao.

  • Syria: Magaidi wanashirikiana na Wazayuni kubomoa nyumba za Wapalestina wanaoishi Syria

    Syria: Magaidi wanashirikiana na Wazayuni kubomoa nyumba za Wapalestina wanaoishi Syria

    Jul 03, 2018 03:13

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, Faisal Miqdad amesema kuwa wanachama wa makundi ya kigaidi na ukufurishaji kwa uungaji mkono wa utawala haramu wa Kizayuni, wanabomoa nyumba za Wapalestina walioko Syria.

  • Uungaji mkono wa Russia kuhusu kuendelea nafasi chanya ya Iran nchini Syria

    Uungaji mkono wa Russia kuhusu kuendelea nafasi chanya ya Iran nchini Syria

    Jul 02, 2018 02:56

    Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Mjumbe wa Rais Vladmir Putin wa Russia katika masuala ya Mashariki ya Kati, ameitaja nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Syria kuwa chanya.

  • Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi

    Bashar al Ja'far: Nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahahu kupambana na ugaidi

    Jun 28, 2018 03:19

    Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa ametetea oparesheni zinazofanywa na jeshi la nchi yake dhidi ya magaidi kusini mwa nchi na kueleza kuwa nchi za Magharibi na Umoja wa Mataifa zimesahau kupambana dhidi ya ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS