Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Kuangamizwa DAESH kumetokana na mshikamano wa wananchi wa Syria na Iraq

    Feb 20, 2018 04:42

    Mkuu wa Baraza Kuu la Kiislamu la Iraq amesema mshikamano wa wananchi wa nchi hiyo na wenzao wa Syria ndio uliowezesha kuangamizwa kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh katika eneo.

  • Saudia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo

    Saudia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo

    Feb 18, 2018 04:00

    Mshauri wa Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, Bunge la Iran, katika masuala ya kimataifa amesema Saudi Arabia inalenga kuvuruga uthabiti katika eneo kwa kuvuruga serikali zilizopo.

  • Mufti wa Syria asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Mufti wa Syria asisitiza kuhusu umoja wa nchi za Kiislamu

    Feb 17, 2018 23:43

    Mufti Mkuu wa Syria Sheikh Ahmad Badruddin Hassoun amesisitiza kuhusu ulazima wa kuungana mataifa na nchi za Kiislamu duniani.

  • Marekani na Israel; chimbuko la ukosefu wa usalama na amani nchini Syria

    Marekani na Israel; chimbuko la ukosefu wa usalama na amani nchini Syria

    Feb 15, 2018 07:31

    Takribani wiki moja baada ya ndege ya kijeshi ya utawala haramu wa Israel aina ya F16 kutunguliwa huko nchini Syria, viongozi wa Marekani wakiwa na lengo la kuuunga mkono utawala huo ghasibu, walidai bila hata soni kwamba, uwepo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran huko Syria eti ndio chimbuko la ukosefu wa usalama na amani katika Mashariki ya Kati.

  • Iran yajibu tuhuma za Marekani: Siasa zenu ndio chanzo hasa cha kuvurugika uthabiti Mashariki ya Kati

    Iran yajibu tuhuma za Marekani: Siasa zenu ndio chanzo hasa cha kuvurugika uthabiti Mashariki ya Kati

    Feb 15, 2018 04:52

    Ofisi ya Uwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa imetoa jibu kwa tuhuma za balozi wa Marekani katika umoja huo na kueleza kuwa: uungaji mkono wa kila hali kwa siasa za kichokozi na uvamizi za utawala wa Kizayuni ndio chanzo kikuu cha machafuko na ukosefu wa amani katika Mashariki ya Kati.

  • Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Syria yaionya Israel isithubutu tena kuingiza ndege zake nchini humo

    Feb 15, 2018 00:34

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria ametoa onyo kali akisema kuwa utawala wa Kizayuni wa Israel usithubutu tena kuishambulia nchi yake vinginevyo itakumbwa na majibu yatakayouweka mdomo wazi.

  • Jeshi la Uturuki lashambulia kwa makombora maeneo ya makazi ya raia mjini Afrin, Syria

    Jeshi la Uturuki lashambulia kwa makombora maeneo ya makazi ya raia mjini Afrin, Syria

    Feb 14, 2018 13:05

    Katika kuendelea na operesheni za kijeshi za Uturuki kaskazini mwa Syria, jeshi la nchi hiyo limeshambulia kwa makombora maeneo ya makazi ndani ya mji wa Afrin.

  • Kiongozi wa DAESH Abu Bakr al-Baghdadi angali hai nchini Syria lakini amejeruhiwa vibaya

    Kiongozi wa DAESH Abu Bakr al-Baghdadi angali hai nchini Syria lakini amejeruhiwa vibaya

    Feb 13, 2018 13:14

    Mkuu wa Idara ya Intelijinsia na Kukabiliana na Ugaidi ya Iraq amesema, kiongozi wa kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS) Abubakar al-Baghdadi angali hai na anapatiwa matibabu katika kituo kimoja cha tiba kaskazini mashariki mwa Syria baada ya kujeruhiwa vibaya katika shambulio la anga.

  • Russia: Marekani inahatarisha umoja wa ardhi yote ya Syria

    Russia: Marekani inahatarisha umoja wa ardhi yote ya Syria

    Feb 13, 2018 13:14

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia Sergei Lavrov amesema Marekani inachukua hatua hatarishi na za upande mmoja ndani ya ardhi ya Syria zinazohatarisha umoja wa ardhi yote ya nchi hiyo.

  • Velayati: Iran ni nchi muhimu katika eneo la Asia Magharibi

    Velayati: Iran ni nchi muhimu katika eneo la Asia Magharibi

    Feb 12, 2018 23:28

    Mshauri wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu katika Masuala ya Kimataifa amesema kuwa Iran ni nchi muhimu katika eneo la Asia ya Magharibi na inayo haki ya kujibu na kuitikia miito ya nchi rafiki na mhimili wa muqawama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS