Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Syria

  • Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria

    Marekani yaendeleza ukatili, yaua raia 38 katika hujuma za anga Syria

    Aug 17, 2017 02:18

    Ndege za kivita za muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani zimeendeleza hujuma zake za kikatili, na mara hii zimeua raia 38 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria, ndani ya masaa 48 yaliyopita.

  • Raia 30 wa Syria wauawa katika hujuma za ndege za muungano wa US

    Raia 30 wa Syria wauawa katika hujuma za ndege za muungano wa US

    Aug 09, 2017 02:30

    Ndege za kivita za muungano unaoongozwa na Marekani zimeendeleza hujuma zake za kikatili, na mara hii zimeua raia 30 katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.

  • Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani wakiri kuua mamia ya raia wa Syria na Iraq

    Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani wakiri kuua mamia ya raia wa Syria na Iraq

    Aug 04, 2017 22:09

    Muungano wa kijeshi unaoongozwa na Marekani katika kile kinachoitwa vita vya kupambana na ugaidi umetangaza katika takwimu zake za kila mwezi kuwa umeua raia 624 kwenye mashambulizi ya anga uliyofanya katika nchi za Iraq na Syria.

  • Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria

    Iran na Russia kuendelea kushirikiana kuhusu mgogoro wa Syria

    Aug 02, 2017 03:42

    Wanadiplomasia wa ngazi za juu wa Iran na Russia wamesisitizia udharura wa kuendelezwa mazungumzo ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria, sambamba na kupambana na magenge ya kigaidi.

  • Syria nayo yaikosoa Saudia kwa kuingiza siasa katika suala la Hijja

    Syria nayo yaikosoa Saudia kwa kuingiza siasa katika suala la Hijja

    Aug 01, 2017 09:19

    Serikali ya Syria imelalamikia vikali uendeshaji wa kisiasa wa ibada tukufu ya Hijja unaofanywa na utawala wa Aal-Saud wa Saudi Arabia.

  • Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja

    Rais Bashar al-Assad: Uelewa wa mataifa ya Kiarabu ni sababu ya umoja

    Aug 01, 2017 08:35

    Rais Bashar al-Assad wa Syria amesema kuwa, raia wa mataifa ya Kiarabu wamethibitisha kuwa, wana kiwango cha hali ya juu cha uelewa kuhusu matukio yanayojiri katika eneo la Mashariki ya Kati na kwamba suala hilo linatakiwa liwe kivutio kwa ajili ya umoja wa mataifa yote.

  • Bashar Assad: Syria inakabiliwa na ugaidi hatari

    Bashar Assad: Syria inakabiliwa na ugaidi hatari

    Aug 01, 2017 03:20

    Rais wa Syria amesema kuwa, nchi hiyo inakabiliwa na ugaidi ambao hauna kifani katika historia ya sasa katika upande wa ukubwa wake, chuki na ukatili wake.

  • Tunisia: Hatukuwahi kukata mahusiano yetu na taifa la Syria

    Tunisia: Hatukuwahi kukata mahusiano yetu na taifa la Syria

    Jul 31, 2017 03:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Tunisia amesema kuwa, hakuna wakati ambapo mahusiano ya nchi yake na Syria yalikatika.

  • Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria

    Ndege za kivita za Marekani zaendelea kuua raia Syria

    Jul 30, 2017 23:57

    Raia sita wameuawa na wengine zaidi ya kumi kujeruhiwa mashariki mwa Syria, katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kupambana na Daesh (ISIS) unaoongozwa na Marekani.

  • Syria: Uungaji mkono wa Iran, Russia na Hizbullah kwetu umebadilisha hali ya mlingano duniani

    Syria: Uungaji mkono wa Iran, Russia na Hizbullah kwetu umebadilisha hali ya mlingano duniani

    Jul 29, 2017 03:20

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amesema kuwa ugaidi hauwezi kuyashinda mataifa na kusisitiza kwamba jeshi la nchi hiyo na mhimili wa muqawama zitaendelea kupambana na ugaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS