-
Syria yakosoa kuendelezwa vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi yake
Jul 28, 2017 21:51Bashar Jaafari, Mwakilishi wa Kudumu wa Syria katika Umoja wa Mataifa amelaani mwendelezo wa vikwazo vya kidhalimu vya nchi za Magharibi dhidi yake na kusema kwamba vikwazo hivyo vimelemaza kabisa shughuli za mashirika ya misaada ya kibinadamu nchini humo.
-
Raia 29 wauawa katika jinai mpya za muungano unaoongozwa na Marekani nchini Syria
Jul 27, 2017 03:34Raia 29 wa Syria jana waliuawa katika mashambulizi ya ndege za kivita za muungano eti wa kimataifa wa kupambana na Daesh unaoongozwa na Marekani. Mashambulizi hayo yalifanywa katika mji wa Raqqah kaskazini mwa Syria.
-
China iko tayari kusaidia kuimarisha usitishaji vita Syria
Jul 23, 2017 23:21Mjumbe Maalumu wa China katika masuala ya Syria amekaribisha na kuunga mkono ubunifu wa Iran, Russia na Uturuki kwa ajili ya kusaidia kupunguza machafuko huko Syria na kueleza kuwa nchi yake iko tayari kutoa misaada inayohitajika ili kuimarisha usitishaji vita nchini humo.
-
Syria yaitaka Marekani na washirika wake walipe fidia ya uharibifu
Jul 22, 2017 22:19Serikali ya Syria imeliandikia barua Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ikiitaka Marekani na muungano wake usio halali kuilipa fidia serikali ya Damascus kutokana na uharibifu unaotokana na mashambulizi ya muungano huo yanayolenga na kuharibu miundombinu ya nchi huyo.
-
Israel kujenga hospitali itakayotoa matibabu kwa magaidi wa Syria
Jul 20, 2017 09:15Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umekusudia kujenga hospitali katika miinuko ya Golan inayokaliwa kwa mabavu na utawala huo nchini Syria, ambayo itakuwa na jukumu la kutoa matibabu kwa magaidi wanaopigana dhidi ya serikali ya Syria, ikiwa ni katika mwendelezo wa misaada ya utawala huo kwa magaidi hao.
-
Syria yapongeza mchango wa Iran, Russia, Hizbullah katika vita dhidi ya ugaidi
Jul 14, 2017 03:14Waziri wa Ulinzi wa Syria amepongeza msaada inaopata nchi yake kutoka Iran, Russia, na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon katika vita dhidi ya makundi ya kigaidi nchini humo.
-
Kamanda katika Jeshi la Israel akiri jeshi hilo linashirikiana na magaidi Syria
Jul 10, 2017 22:37Naibu Mkuu wa Kamandi Kuu ya Majeshi ya Utawala wa Kizayuni wa Israel amekiri kuwepo ushirikiano wa karibu baina ya jeshi la utawala huo na magaidi walioko nchini Syria.
-
Rais Bashar al-Assad: Umoja na mshikamano ndio umeshinda fikra za ukufurishaji nchini Syria
Jul 09, 2017 23:43Rais Bashar al-Assad wa Syria amekutana na shakhsia mbalimbali na wawakilishi wa asasi za kiraia mjini Hama na kusema kuwa, uelewa wa Wasyria umezuia kupenya fikra ghalati za uchupaji mipaka na ukufurishaji nchini humo.
-
Marekani yakiri kuuwa mamia ya raia Syria na Iraq
Jul 08, 2017 22:20Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) imekiri kuwa, ndege za kivita za nchi hiyo na waitifaki wake zimeuwa mamia ya raia huko Syria na Iraq.
-
Hizbullah: Marekani na EU zinazuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao
Jul 08, 2017 03:25Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani na Umoja wa Ulaya zimekuwa zikizuia wakimbizi wa Syria kurejea nchini kwao.