Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Taliban

  • Trump atoa vitisho dhidi ya Afghanistan endapo Taliban haitaikabidhi US kituo cha anga cha Bagram

    Trump atoa vitisho dhidi ya Afghanistan endapo Taliban haitaikabidhi US kituo cha anga cha Bagram

    Sep 21, 2025 03:24

    Rais wa Marekani Donald Trump ametishia kuchukua hatua kali ambazo hakuzitaja iwapo serikali ya Taliban nchini Afghanistan itakataa kukabidhi kituo cha jeshi la anga cha Bagram, ambacho kilitelekezwa wakati majeshi ya Marekani. yalipoondoka kifedheha katika ardhi ya nchi hiyo.

  • Taliban yamjibu Trump: Tunaweza kuzungumza, lakini Marekani haitaruhusiwa kuwepo tena kijeshi Afghanistan

    Taliban yamjibu Trump: Tunaweza kuzungumza, lakini Marekani haitaruhusiwa kuwepo tena kijeshi Afghanistan

    Sep 19, 2025 11:05

    Serikali ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban imetupilia mbali wito wa Rais wa Marekani Donald Trump wa kutaka jeshi la nchi hiyo lirejee Afghanista na kupatiwa tena kambi ya jeshi la anga ya Bagram.

  • Taliban: Iran ni mfano wa kwanza wenye mafanikio wa kuunda utawala wa Kiislamu katika zama hizi

    Taliban: Iran ni mfano wa kwanza wenye mafanikio wa kuunda utawala wa Kiislamu katika zama hizi

    Feb 11, 2025 07:15

    Mkuu wa Ofisi ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Serikali ya Muda ya Afghanistan inayoongozwa na Taliban amesema kuasisiwa Mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mfano wa kwanza wenye mafanikio wa kuunda utawala wa Kiislamu katika zama za sasa na kwamba utawala huo umekuwa na taathira kwa matukio ya kikanda.

  • Kundi la Taliban kushiriki mkutano wa Doha Qatar

    Kundi la Taliban kushiriki mkutano wa Doha Qatar

    Jun 17, 2024 03:16

    Serikali inayoongozwa na kundi la wanamgambo wa Taliban nchini Afghanistan imetangaza rasmi nia yake ya kutuma wajumbe katika mkutano wa Doha Qatar utakaozungumzia hali ya taifa hilo.

  • Ombi la jamii ya Shia wa Afghanistan kwa kundi la Taliban

    Ombi la jamii ya Shia wa Afghanistan kwa kundi la Taliban

    Mar 16, 2024 02:22

    Wawakilishi wa jamii ya Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Afghanistan wamewasilisha mapendekezo yao ya maandishi kwa Mohammed Abdul Kabir, naibu wa masuala ya kisiasa wa Waziri Mkuu wa utawala wa Taliban.

  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban afanya mazungumzo na wabunge wa Iran mjini Kabul

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Taliban afanya mazungumzo na wabunge wa Iran mjini Kabul

    Aug 27, 2023 14:21

    Ujumbe wa wabunge wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) walioko ziarani nchini Afghanistan wamekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya Taliban katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul.

  • Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan

    Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan

    Aug 18, 2023 02:24

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imesema kuwa njama za wavamizi na madola ya kibeberu zitashindwa tu nchini humo.

  • Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN

    Taliban yaadhimisha mwaka wa pili wa kurudi madarakani Afghanistan huku ikiandamwa na lawama za UN

    Aug 16, 2023 02:48

    Kundi la Taliban la Afghanistan limeadhimisha mwaka wa pili wa kurejea madarakani kwa kuutangaza mnasaba huo kuwa siku rasmi ya mapumziko ikiwa ni kusherehekea kutekwa kwa mji mkuu Kabul na kuanzishwa kile kilichotajwa kuwa ni hali kamili ya usalama kote nchini chini ya uongozi wa "Mfumo wa Kiislamu".

  • Vita vya maneno baina ya Taliban na serikali ya Pakistan vingali vinaendelea

    Vita vya maneno baina ya Taliban na serikali ya Pakistan vingali vinaendelea

    Aug 12, 2023 03:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan amelihutubu kundi la Taliban linalotawala nchini Afghanistan akisema: "amani na usalama wa Pakistan haviwezi kufanyiwa mchezo".

  • Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya viongozi kadhaa wa Taliban

    Vikwazo vya Umoja wa Ulaya dhidi ya viongozi kadhaa wa Taliban

    Jul 23, 2023 02:17

    Baraza la Ulaya tarehe 20 mwezi huu wa Julai lilitangaza kuwawekea vikwazo Abdul Hakim Haqani Jaji Mkuu wa Mahakama ya Juu ya Afghanistan, Abdul Hakim Sharei Waziri wa Sheria na Moulavi Habibullah Agha Kaimu Waziri wa Elimu katika serikali ya mpito ya Afghanistan kwa kuhusika katika kuwanyima wasichana na wanawake wa Afghanistan haki yao ya kupata elimu, kupata haki ya kisheria, na haki sawa na wanaume wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS