Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Tanzania yatangaza siku tatu za maombolezo, vifo vya ajali ya gari la mafuta Morogoro

    Tanzania yatangaza siku tatu za maombolezo, vifo vya ajali ya gari la mafuta Morogoro

    Aug 11, 2019 09:32

    Rais wa Tanzania, John Magufuli amewatembelea majeruhi 43 wa ajali ya moto iliyotokea jana mkoani Morogoro waliolazwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na kuwapatia kila mmoja Shilingi 500,000 kwa ajili ya matumizi.

  • Watu 62 wamepoteza  maisha Tanzania katika ajali ya lori la mafuta; Rais Magufuli atuma salamu pole

    Watu 62 wamepoteza maisha Tanzania katika ajali ya lori la mafuta; Rais Magufuli atuma salamu pole

    Aug 10, 2019 03:45

    Watu 62 wameripotiwa kuaga dunia hadi sasa kufuatia ajali ya lori la mafuta katika eneo la Msamvu mjini Morogoro, Mashariki mwa Tanzania.

  • Benki ya Dunia yaitahadharisha serikali ya Tanzania kutokana na ongezeko la madeni

    Benki ya Dunia yaitahadharisha serikali ya Tanzania kutokana na ongezeko la madeni

    Jul 25, 2019 21:05

    Benki ya Dunia imeitahadharisha serikali ya Tanzania kuhusiana na ongezeko la deni la taifa inalodaiwa ndani na nje ya nchi.

  • Jeshi la polisi Tanzania lawapiga kalamu nyekundu askari wake 54, Magufuli aunga mkono

    Jeshi la polisi Tanzania lawapiga kalamu nyekundu askari wake 54, Magufuli aunga mkono

    Jul 15, 2019 11:13

    Jeshi la polisi nchini Tanzania limewapiga kalamu nyekundu askari wake 54 kuanzia Januari hadi mwezi Juni mwaka huu kutokana na kwenda kinyume na maadili ya kazi yao ikiwamo kufanya vitendo vya uhalifu na kushirikiana na wahalifu.

  • Wajasiriamali

    Wajasiriamali "Muhajjaba" waandaliwa shindano la uvaaji bora wa Hijab + Sauti

    Jul 15, 2019 00:06

    Wanawake wajasiriamali nchini Tanzania ambao wamedumisha vazi la Hijabu wameandaliwa shindano maalumu kwa wale wanaovaa vazi hilo tukufu hata wakiwa katika mishughuliko yao, lengo likiwa ni kuwapa motisha wale wasiovaa, wawezee kuvaa vazi hilo la heshima la Kiislamu. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam

  • TI: Jitihada za Magufuli za kupambana na ufisadi Tanzania zinazaa matunda

    TI: Jitihada za Magufuli za kupambana na ufisadi Tanzania zinazaa matunda

    Jul 14, 2019 02:58

    Utendakazi na jitihada za kupambana na ufisadi za Rais John Magufuli wa Tanzania zimeifanya nchi hiyo ya Afrika Mashariki ishike nafasi ya kwanza barani Afrika katika vita dhidi ya ufisadi.

  • Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Watanzania na Wakenya ni miongoni mwa 26 waliouawa katika shambulizi Somalia

    Jul 13, 2019 08:14

    Idadi ya watu waliouawa katika shambulio la kigaidi dhidi ya hoteli moja kusini mwa Somalia imeongezeka na kufikia watu 26. Awali Polisi ya Kismayo iliripoti kuwa waliouawa katika hujuma hiyo ya kigaidi ni watu saba.

  • Chama Tawala Tanzania: Polisi wasitumie mabavu kukabiliana na wanasiasa, nao wapinzani wapongeza kauli hiyo

    Chama Tawala Tanzania: Polisi wasitumie mabavu kukabiliana na wanasiasa, nao wapinzani wapongeza kauli hiyo

    Jul 13, 2019 03:20

    Chama cha Mapinduzi nchini Tanzania, ambacho ni chama tawala (CCM), kimekemea vikali vitendo vya polisi wa nchi hiyo vya kutumia mabavu bila sababu za msingi katika kushughulikia migogoro ya kisiasa.

  • Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania: Wanaharakati wanaopinga mradi wa Stigler’s Gorge watabanwa mbavu

    Waziri wa Maliasili na Utalii Tanzania: Wanaharakati wanaopinga mradi wa Stigler’s Gorge watabanwa mbavu

    Jul 09, 2019 09:33

    Waziri wa Maliasili na Utalii wa Tanzamia, Dk Hamis Kigwangalla amesema kuwa, wanaharakati wanaopinga mradi wa kufua umeme wa nchi hiyo unaoitwa 'Stigler’s Gorge' watabanwa mbavu sambamba na kufanyiwa fujo hata kabla ya wao kufika kwa Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo.

  • Maonyesho ya Sabasaba yaanza rasmi nchini Tanzania + Sauti

    Maonyesho ya Sabasaba yaanza rasmi nchini Tanzania + Sauti

    Jul 07, 2019 11:17

    Katika kuelekea Tanzania ya viwanda, Waziri wa Viwanda na Biashara wa nchi hiyo, Mheshimiwa Innocent Bashugwa amewataka Watanzania kuitumia Sabasaba kama sehemu ya kuwakutanisha wafanyabiashara na wenye viwanda wa Tanzania na wanaotoka nchi mbalimbali kwaajili ya kujikuza kibiashara na wasiifanye kuwa ni sehemu ya kuwapeleka watoto matembezini tu. AMARI DACHI na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS