Wajasiriamali "Muhajjaba" waandaliwa shindano la uvaaji bora wa Hijab + Sauti
https://parstoday.ir/sw/news/africa-i54765-wajasiriamali_muhajjaba_waandaliwa_shindano_la_uvaaji_bora_wa_hijab_sauti
Wanawake wajasiriamali nchini Tanzania ambao wamedumisha vazi la Hijabu wameandaliwa shindano maalumu kwa wale wanaovaa vazi hilo tukufu hata wakiwa katika mishughuliko yao, lengo likiwa ni kuwapa motisha wale wasiovaa, wawezee kuvaa vazi hilo la heshima la Kiislamu. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam
(last modified 2026-01-14T08:12:18+00:00 )
Jul 15, 2019 00:06 UTC

Wanawake wajasiriamali nchini Tanzania ambao wamedumisha vazi la Hijabu wameandaliwa shindano maalumu kwa wale wanaovaa vazi hilo tukufu hata wakiwa katika mishughuliko yao, lengo likiwa ni kuwapa motisha wale wasiovaa, wawezee kuvaa vazi hilo la heshima la Kiislamu. Ammar Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam