Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Tanzania

  • Serikali ya Tanzania yaahidi kutafuta soko la uhakika la korosho + Sauti

    Serikali ya Tanzania yaahidi kutafuta soko la uhakika la korosho + Sauti

    Nov 08, 2018 13:10

    Serikali ya Tanzania imewataka wananchi hususan wakulima wa korosho nchini humo kuendelea kuwa watulivu wakati ikiendelea kuongea na wanunuzi wakubwa wa korosho kutoka maeneo mbalimbali duniani ili kupata masoko ya uhakika wa zao hilo. Amari Dachi na maelezo zaidi kutoka Dar es Salaam...

  • Mchungaji Msigwa: Wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania hawana amani wala uhuru       

    Mchungaji Msigwa: Wafanyabiashara wakubwa nchini Tanzania hawana amani wala uhuru      

    Nov 07, 2018 04:25

    Mbunge wa Iringa Mjini nchini Tanzania kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mchungaji Peter Msigwa amesema kuwa, wafanyabiashara wakubwa nchini humo hawana raha wala uhuru wa kufanya biashara ndani ya nchi hiyo.

  • Suitafahamu yaibuka kuhusu kuondoka balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania

    Suitafahamu yaibuka kuhusu kuondoka balozi wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania

    Nov 03, 2018 04:47

    Duru za habari nchini Tanzania zimeeleza kuwa, balozi wa Umoja wa Ulaya nchini humo, Roeland Van de Geer ameondoka nchi hiyo, huku ikielezwa kuwa huwenda amepewa notisi iliyomtaka kuondoka Tanzania.

  • Polisi Tanzania: Waliomteka MO Dewji walihitaji tu fedha; mjadala waendelea mitandaoni

    Polisi Tanzania: Waliomteka MO Dewji walihitaji tu fedha; mjadala waendelea mitandaoni

    Oct 20, 2018 12:54

    Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) nchini Tanzania Simon Sirro amesema kuwa, watu waliomteka mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika Mohammed Dewji ‘MO’ walitaka kupewa fedha ingawa hakutaja kiwango hicho cha fedha walichokihitaji.

  • Polisi Tanzania: Tumefanikiwa kupata taarifa muhimu za gari lililohusika katika utekaji wa MO Dewji, Zitto na Lema wapinga

    Polisi Tanzania: Tumefanikiwa kupata taarifa muhimu za gari lililohusika katika utekaji wa MO Dewji, Zitto na Lema wapinga

    Oct 19, 2018 12:09

    Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) nchini Tanzania Simon Sirro amesema kuwa polisi ya nchi hiyo imefanikiwa kupata taarifa muhimu juu ya gari lililohusika na tukio la kutekwa nyara mfanyabiashara mkubwa wa Tanzania na Afrika, Mohammed Dewji na kwamba liliingia nchini humo kutoka nchi jirani Septemba Mosi, 2018.

  • Familia ya Mohammed Dewji: Bado hatujapata taarifa yoyote mpya yenye matumaini kuhusu MO

    Familia ya Mohammed Dewji: Bado hatujapata taarifa yoyote mpya yenye matumaini kuhusu MO

    Oct 18, 2018 04:50

    Familia ya mfanyabiashara mkubwa wa Tanzania na Afrika Mohammed Dewji imesema kuwa, hadi sasa haijapokea taarifa yoyote yenye kutia matumaini ya kupatikana kwa mtoto wao Mohammed Dewji aliyetekwa nyara siku saba silizopita.

  • Serikali ya Tanzania: Hatutoruhusu wachunguzi kutoka nje kuja kuchunguza tukio la kutekwa nyara Mo Dewji

    Serikali ya Tanzania: Hatutoruhusu wachunguzi kutoka nje kuja kuchunguza tukio la kutekwa nyara Mo Dewji

    Oct 17, 2018 01:13

    Naibu Waziri wa Mambo  ya Ndani nchini Tanzania,  Hamad Masauni amesema kuwa, serikali haiwezi kuruhusu vyombo vya ulinzi na usalama kutoka nje ya nchi kuja kuchunguza tukio la kutekwa nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika Mohammed Dewji ‘Mo Dewji’.

  • Mbunge Lema: Ili serikali ya Tanzania ijinasue na lawama, iruhusu vyombo vya nje vichunguze kutekwa kwa Mo Dewji

    Mbunge Lema: Ili serikali ya Tanzania ijinasue na lawama, iruhusu vyombo vya nje vichunguze kutekwa kwa Mo Dewji

    Oct 16, 2018 12:27

    Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, na mbunge wa chama kikuu cha upinzani cha CHADEMA, Godbless Lema amesema kuwa njia pekee itakayoiepusha serikali ya Dar es Salaam na lawama kuhusiana na tukio la kutekwa nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika, Mohammed Dewji (MO), ni kuviruhusu vyombo vya nje vifanye uchunguzi wa tukio hilo.

  • Watu 75 watekwa nyara Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu

    Watu 75 watekwa nyara Tanzania katika kipindi cha miaka mitatu

    Oct 13, 2018 12:34

    Serikali ya Tanzania imesema kuwa, watu wapatano 75 wametekwa nyara katika nyakati na maeneo tofauti nchini humo kwenye kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

  • Licha ya juhudi kubwa za polisi Tanzania, mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika MO Dewji, bado hajapatikana

    Licha ya juhudi kubwa za polisi Tanzania, mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika MO Dewji, bado hajapatikana

    Oct 13, 2018 04:46

    Jeshi la polisi nchini Tanzania limeendelea kuwasaka watu waliomteka nyara mfanyabiashara mkubwa wa nchi hiyo na Afrika, Mohammed Dewji, huku juhudi hizo zikiwa bado hazijazaa matunda.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS