-
SAUTI, Viongozi Chadema Tanzania: Tume ya Uchaguzi isimamie vyema uchaguzi wa Buyugu kuepusha ghasia
Jul 12, 2018 11:27Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Demokrasia na Maendelea (CHADEMA) kimeitaka Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kusimamia kwa haki uchaguzi mdogo wa ubunge na udiwani katika eneo la Buyugu mkoani Kigoma.
-
SAUTI, Viongozi wa upinzani Tanzania waendelea kuishambulia bajeti ya serikali, waitaja kuwa si rafiki wa Watanzania
Jun 28, 2018 11:19Viongozi wa upinzani nchini Tanzania wameendelea kukosoa bajeti ya serikali yam waka wa fedha 2018-2019 wakidai kuwa bajeti hiyo si rafiki wa wananchi.
-
Polisi ya Tanzania yawatia mbaroni wezi wakubwa wa mitandao ya simu
Jun 27, 2018 09:55Jeshi la polisi maalamu ya Dar es salaam nchini Tanzania limetanza kuwa, linawashikilia watu 15 kwa kujihusisha na wizi kwa njia ya mtandao.
-
Homa ya Chikungunya na Dengue zaripotiwa nchini Tanzania (RIPOTI)
Jun 26, 2018 10:30Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto nchini Tanzania imetoa taarifa kwa umma kuhusu kuwepo kwa magonjwa wa homa ya Chikungunya na Dengue nchini humo.
-
Watu 14 wafariki dunia katika ajali mbaya iliyotokea asubuhi ya leo Mkuranga, Tanzania
Jun 25, 2018 03:48Watu 14 wameripotiwa kufariki dunia katika ajali mbaya ya gari iliyotokea mapema leo mkoani Pwani nchini Tanzania.
-
LHRC: Kuna njia tatu kuu zitakazofanikisha kupatikana katiba mpya Tanzania
Jun 22, 2018 09:27Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) nchini Tanzania kimetoa mapendekezo matatu ambayo kwa mujibu wake yatasaidia kupatikana katiba mpya nchini humo.
-
SAUTI, Mawaziri wa Nishati wa Rwanda na Tanzania watembelea mradi wa umeme wa Rusumo wahimiza kasi zaidi
Jun 10, 2018 12:38Serikali za Rwanda na Tanzania zimekubaliana kuzidisha ushirikiano katika ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo kwa ajili ya manufaa ya wananchi wa nchi mbili.
-
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds nchini Tanzania 2018
Jun 09, 2018 08:29Siku ya Kimataifa ya Quds ni Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani. Mwaka huu imesadifiana na tarehe 8 Juni 2018 na imefanyika kwa kufana zaidi duniani kuliko miaka yote iliyopita. Hapa tumeweka baadhi ya picha za maandamano ya siku hiyo nchini Tanzania.
-
RIPOTI MATUKIO YA KIISLAMU, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam awataka wanawake kuacha kuvaa nguo fupi na zenye kubana
Jun 08, 2018 11:35Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda, amewataka wanawake na wasichana wanaovaa nguo fupi na nguo za kubana kuacha tabia hiyo hususan katika kipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhan.
-
Rais wa Tanzania aomboleza ajali mbaya iliyotokea mkoani Kigoma, atoa amri kwa vyombo vya usalama
Jun 06, 2018 10:26Rais John Pombe Magufuli wa Tanzania sambamba na kutoa salamu za rambirambi kwa familia zilizowapoteza ndugu na jamaa zao katika ajali mbaya iliyotokea eneo la Gungu mkoani Kigoma mjini, amewataka maafisa usalama barabarani kuchukua hatua madhubuti ili kudhibiti ajali za barabarani zinazoweza kuepukika.