-
Rais Samia wa Tanzania: Wapinzani si maadui wa taifa
Mar 05, 2023 12:37Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameendelea kuukumbatia upinzani na kusisitiza kuwa, wapinzani si maadui wa taifa, bali ni nguzo muhimu ya demokrasia ya nchi hiyo. Serikali ya mtangulizi wake hayati John Magufuli ilikuwa inatuhumiwa kuwawekea mbinyo wakosoaji na viongozi wa upinzani.
-
Matukio ya Kiislamu wiki hii na Harith Subeit + Sauti
Mar 04, 2023 03:54Matukio ya Kiislamu wiki hii yamejumuisha maeneo tofauti ya Afrika Mashariki na Kati. Yameandaliwa na mwandishi wetu Harith Subeit. Ingia kwenye Sauti kusikiliza ripoti hiyo iliyo na matukio tofauti ya Kiislamu wiki hii.
-
Mufti wa Tanzania alaani vikali mahusiano ya kingono ya watu wa jinsia moja
Mar 03, 2023 03:07Mufti wa Tanzania Sheikh Abubakar Zubeir Bin Ali, amelaani vikali unyanyasaji wa watoto na kumpongeza Rais wa nchi hiyo Samia Suluhu Hassan pamoja na serikali kwa ujumla kwa kupiga vita tabia hiyo mbaya.
-
UNHCR yaipongeza Tanzania kwa kuendelea kuwa kimbilio la waliofukuzwa makwao
Feb 11, 2023 11:57Kamishna Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR Filippo Grandi amepongeza utamaduni wa muda mrefu wa Tanzania wa kukaribisha wakimbizi, sambamba na juhudi za taifa hilo za kuendelea kukidhi mahitaji ya wale wanaokimbia ghasia makwao.
-
Watu 14 wapoteza maisha katika ajali ya barabarani nchini Kenya
Feb 05, 2023 11:33Watu wasiopungua 14 wamepoteza maisha katika ajali mbaya ya barabarani iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika barabara ya Lodwar- Kakuma eneo la Kakwamunyen, kaunti ya Turkana, kaskazini magharibi mwa Kenya.
-
Iran na Tanzania zahimiza ushirikiano zaidi baina yao hasa katika uwekezaji viwandani
Jan 27, 2023 06:40Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema: Tuko tayari kutoa ujuzi na uzoefu wetu, hasa katika nyanja za elimu, kilimo, uvuvi, ujenzi wa mabwawa, usimamizi wa vyanzo vya maji na kilimo umwagiliaji, ili kuisaidia Tanzania katika juhudi zake za mapinduzi ya viwanda.
-
Lissu arejea nyumbani kwa kishindo; ujio wake utahuisha upinzani Tanzania?
Jan 25, 2023 12:09Kiongozi wa upinzani nchini Tanzania Tundu Lissu amerejea nyumbani kutoka uhamishoni baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuondoa marufuku ya mikutano ya kisiasa ya hadhara.
-
Vigogo wa upinzani kurejea Tanzania kufuatia tangazo la Rais Samia
Jan 10, 2023 07:39Huku Chama cha Demokrasia ya Maendeleo 'Chadema' kikitarajia kuzindua mikutano ya hadhara Januari 21 mwaka huu nchini Tanzania, viongozi wa chama hicho kikuu cha upizani walioko nje ya nchi, Tundu Lissu, Godbless Lema na Ezekia Wenje wanatazamiwa kuwa miongoni mwa washiriki katika mikutano hiyo.
-
Askari wa Tanzania, Botswana wauawa Cabo Delgado, Msumbiji
Dec 02, 2022 02:44Wanajeshi wawili wa kikosi cha Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika SADC wameuawa katika makabiliano baina yao na wanamgambo katika jimbo la Cabo Delgado kaskazini mwa Msumbiji.
-
Viongozi wa Tanzania watakiwa kutoa uhuru wa kisiasa + SAUTI
Nov 21, 2022 02:21Viongozi Wakuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar wametakiwa kuhakikisha harakati za kisiasa zinafanyika katika mazingira ya uhuru na haki nchini humo. Harith Subeit na maelezo zaidi kutoka Zanzibar.