-
Umuhimu wa kufanyika Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran
May 15, 2025 08:02Kongamano la 31 la Nyuklia la Iran linafanyika katika mji mtakatifu wa Mashhad, na kuhudhuriwa na wasomi wa kisayansi, sekta binafsi na wasomi vijana wa Iran.
-
Iran ni miongoni mwa nchi zinazoongoza duniani katika teknolojia ya nyuklia
Nov 04, 2024 02:23Kutokana na juhudi za wanasayansi na wataalamu wake vijana, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, hivi sasa ni miongoni mwa nchi zinazoongoza duniani kwa teknolojia ya nyuklia.
-
Mkuu wa AEOI: Iran haina nia ya kuunda silaha za nyuklia
Oct 03, 2023 07:38Mkuu wa Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran (AEOI) amesema: Iran haina nia ya kuunda silaha za nyuklia na inachofuatilia siku zote ni nishati ya nyuklia kwa matumizi ya amani.
-
Iran yazalisha bidhaa ya pili ya kimkakati katika sekta ya nyuklia
Aug 23, 2023 02:24Maji mazito ni bidhaa ya pili ya kimkakati ya sekta ya nishati ya nyuklia baada ya uranium duniani na Iran ni moja kati ya nchi tano zinazozalisha bidhaa hii kwa usafi wa hali ya juu kiasi kwamba, nchi nyingi zinatazamia kununua maji mazito ya Iran licha ya vikwazo vya nchi za Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran: Tunaunga mkono haki ya matumizi ya amani ya teknolojia ya nyuklia
May 14, 2023 06:41Balozi wa Afrika Kusini nchini Iran amesisitiza kwamba nchi yake inaunga mkono haki ya kila nchi kutumia kwa amani teknolojia ya nyuklia.
-
Siku ya Taifa ya Teknolojia ya Nyuklia ya Iran yaadhimishwa nchini
Apr 08, 2020 08:07Leo Jumatano tarehe 8 Aprili sawa na tarehe 20 Farvardin imepewa jina la "Siku ya Taifa ya Teknolojia ya Nyuklia" katika kutambua jitihada za kujivunia za wasomi wa nyuklia wa Iran katika kukamilisha mzunguko wa utengenezaji wa fueli ya nyuklia.
-
Iran yazindua mafanikio 114 ya nyuklia
Apr 09, 2019 15:07Katika sherehe za 13 za Siku ya Kitaifa ya Nyuklia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amezindua mafanilkio 114 ya nyuklia nchini.
-
Russia yakanusha madai ya Marekani kwamba imeipatia Korea Kaskazini teknolojia ya makombora
Jan 18, 2019 15:38Balozi wa Russia nchini Korea Kaskazini amekanusha tuhuma za viongozi wa Marekani dhidi ya nchi yake kwamba Moscow imeipatia Pyongyang teknolojia ya makombora na kuongeza kwamba, tuhuma hizo ni za kuudhi kama ambavyo hazina msingi wowote.